Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JEZI MPYA YA MANCHESTER UTD 2014/15

M…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

JEZI MPYA YA MANCHESTER UNITED MSIMU UJAO 2015/16

Imekuwa utamaduni wa klabu mbalimbali barani ulaya kuzindua jezi mpya kila msimu ambapo jezi hizi huingia sokoni na kuuzwa kwa mashabiki wa klabu husika huku klabu hiyo ikijiingizia kipato ambacho husaidia kwenye uendeshaji wa shughuli zake .Manchester United inatarajiwa kuzindua jezi mpya siku za hivi karibuni ambapo zitakuwa jezi ambazo zimetengenezwa na mdhamini mpya wa klabu hii ambaye ni Adidas . Adidas wameingia mkataba na United baada ya klabu hiyo kumaliza mkataba wake wa muda mrefu...

 

10 years ago

GPL

MARCOS ROJO RASMI MAN UTD, APEWA JEZI NAMBA 5

KLABU ya Manchester United imekamilisha usajili wa beki wa Sporting Lisbon, Marcos Rojo aliyesaini mkataba wa miaka mitano kuichezea klabu hiyo. Marcos Rojo akiwa na jezi yake namba 5. Marcos Rojo ametua klabuni hapo kwa ada ya pauni milioni 16 baada ya makubaliano na timu yake ya zamani ya Sporting Lisbon iliyomchukua kiungo wa Man United Luis Nani kwa mkopo.… ...

 

10 years ago

Mwananchi

UDHAMINI WA JEZI: Manchester United yaendelea kutesa duniani

Hivi karibuni Klabu ya Chelsea iliingia mkataba wa udhamini katika jezi za timu hiyo na kampuni ya matairi ya Yokohama ya Japan, hivyo kuwa kati ya timu mbili za juu barani Ulaya zenye udhamini mkubwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Manchester Utd 0 - 0 Newcastle

Manchester United wanawakaribisha Newcastle katika uwanja wa nyumbani wa old Trafford katika mechi hii ya mapema

 

10 years ago

Mwananchi

Aguero aizima Manchester Utd

Bao lililofungwa kipindi cha pili na Sergio Aguero jana liliipa Manchester City ushindi wa nne mfululizo wa Ligi Kuu England dhidi ya mahasimu wao, Manchester United kwenye Uwanja wa Etihad.

 

10 years ago

BBCSwahili

Guardiola: Manchester Utd hawana pesa !

Kocha wa Bayern ,Pep Guardiola amedai Manchester United hawana pesa zakutosha kuwanunua wachezaji kutoka Bayern Munich .

 

11 years ago

Mwananchi

Glazer aiacha Manchester Utd kwa watoto wake

>Mmiliki wa Manchester United, Malcom Glazer amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85, na kuacha umiliki wa klabu hiyo kwa watoto wake sita.

 

11 years ago

Mwananchi

Moyes kutoka mteule hadi mkosefu Manchester Utd

Hatimaye Manchester United imemtimua kocha wake  David Moyes ikiwa ni miezi 10 baada ya kuteuliwa kuwa mrithi wa Sir Alex Ferguson.

 

9 years ago

Mwananchi

Ukali wa Van Gaal wamtisha Pedro kutua Manchester Utd

Ndoto za Manchester United kumsajili winga Pedro aliyeichagua Chelsea zinasemekana kuwa ziliyeyushwa na ukali wa kocha Louis Van Gaal.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani