MARCOS ROJO RASMI MAN UTD, APEWA JEZI NAMBA 5
![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdZi0y21lV4tpyoVxvINGGzaiFW1JI5O4jEXgCdayqCJ-mWmrx4RUD6phKKAl9DiIIwtuxcq0ZSowF86PfsAe2TP/rojo.jpg?width=650)
KLABU ya Manchester United imekamilisha usajili wa beki wa Sporting Lisbon, Marcos Rojo aliyesaini mkataba wa miaka mitano kuichezea klabu hiyo. Marcos Rojo akiwa na jezi yake namba 5. Marcos Rojo ametua klabuni hapo kwa ada ya pauni milioni 16 baada ya makubaliano na timu yake ya zamani ya Sporting Lisbon iliyomchukua kiungo wa Man United Luis Nani kwa mkopo.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TYrvltUmOUgK4dzuBEoNi3vrOvmYM5-4xVlG8k9Lc36*SilZsMf*4g7mV47PxX3F78QLjAcytKmi3ciEyrTcMDt/kapombe.jpg?width=650)
Kapombe rasmi Azam, apewa jezi namba 33
10 years ago
Jamtz.Com10 years ago
Mwananchi05 Sep
Marcos Rojo apata rasmi kibali
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TLmRyEsKECMZtCwOQaKIsDHIAPwccDbNaRzqx3SptmPrk9MaLH5TArWaCCAg0yCdefRojG3Vlge0AIMIQlxzU0sJpFsH9nk/zitto.jpg)
ZITTO RASMI ACT, APEWA KADI NAMBA 007194, KUONGEA NA WANAHABARI LEO
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/jezi4.jpg)
MAN U YATAMBULISHA RASMI JEZI ZAKE MPYA
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Bocco apewa jezi kuiua Malawi
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-tN5_pNAY5a4/VY6nmTRXsdI/AAAAAAAACRk/1bXwybgg-30/s72-c/download%2B%25283%2529.jpg)
FAHAMU KIUNDANI REKODI YA JEZI NAMBA 10 DUNIANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-tN5_pNAY5a4/VY6nmTRXsdI/AAAAAAAACRk/1bXwybgg-30/s400/download%2B%25283%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-V4ZXslWH2Yc/VY6nv4vVhOI/AAAAAAAACRs/-iuHpOH2dLY/s400/rooneysoccer-friendly-international-champions-cup-final-liverpool-vs-manchester-united-850x560.jpg)
Hilo limechangia kwa kiasi kikubwa jezi hii kuwa na mvuto wa aina yake na kupendwa na mastaa wengi wa...
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Beckham amtaka Depay asiogope jezi namba 7
MANCHESTER, ENGLAND
NYOTA wa zamani wa klabu ya Manchester United, David Beckham, amemtaka mshambuliaji mpya wa klabu hiyo, Memphis Depay, kuivaa jezi namba saba bila wasiwasi.
Beckham amemwambia kwamba hiyo ni jezi kama zilivyo jezi nyingine, lakini anatakiwa kuitendea haki kama ilivyo kwa wachezaji wengi waliopita ambao walivaa namba hiyo kama vile Beckham, George Best, Eric Cantona, Cristiano Ronaldo, Di Maria na wengine.
Beckham aliwahi kuivaa namba hiyo wakati anaitumikia klabu hiyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-tRXgGHTUdPVDAOSOiqmDIH*0INLGMtG0BWpfDyx2W5JTjNtff0z2uHmRtK0FPvWjZfHOcpFA56SNoKorTt1PszErWk69KMo/rojo7.jpg?width=650)
ROJO ATUA MAN UNITED KUKAMILISHA USAJILI