Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAN U YATAMBULISHA RASMI JEZI ZAKE  MPYA

Klabu ya Manchester United imekuwa miongoni mwa klabu ambazo zimetambulisha jei zao leo zitakazotumiwa kwa ajili ya msimu ujao. Klabu hiyo imevunja rekodi kwa kuwa ni klabu inayoingiza kipato kikubwa cha pesa duniani kutokana na utengezaji wa jezi . Baada ya miaka 13 ya matumizi ya jezi za Nike, Manchester United sasa imeamua kuzindua jezi mpya zitakazotumika katika msimu wa 2015/2016. Man United watatumia jezi zitakazokuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MARCOS ROJO RASMI MAN UTD, APEWA JEZI NAMBA 5

KLABU ya Manchester United imekamilisha usajili wa beki wa Sporting Lisbon, Marcos Rojo aliyesaini mkataba wa miaka mitano kuichezea klabu hiyo. Marcos Rojo akiwa na jezi yake namba 5. Marcos Rojo ametua klabuni hapo kwa ada ya pauni milioni 16 baada ya makubaliano na timu yake ya zamani ya Sporting Lisbon iliyomchukua kiungo wa Man United Luis Nani kwa mkopo.… ...

 

10 years ago

GPL

EATV, EAST AFRICA  RADIO ZAZUNGUMZIA KAMPENI YA  ‘ZAMU YAKO 2015’

 6.Wafanyakazi wa EATV na East Africa Radio wakiwa katika tukio hilo. Mmoja wa watangazaji wa EATV (kushoto) akizungumzia  walivyojipanga kuuhabarisha umma kuhusu suala hilo. Nikki wa Pili (kushoto) akitabasamu baada ya kuulizwa swali na mmoja wa wanahabari waliohudhuria hafla hiyo.…

 

9 years ago

MillardAyo

Zimevuja jezi mpya za Man City za msimu wa 2016/2017, rangi yake kuwashangaza wengi, cheki hapa …

Imekuwa ni kawaida kwa vilabu vya soka vya Ulaya ila mwaka kubadili aina ya jezi kwa ajili ya msimu mpya, lengo kubwa la kubadili aina ya jezi huwa inatajwa kuwa ni namna ya kutengeneza mauzo ya jezi na kuongezea mapato kwa klabu. January 5 footy headlines imetangaza kuvuja kwa aina ya jezi za ugenini watakazo […]

The post Zimevuja jezi mpya za Man City za msimu wa 2016/2017, rangi yake kuwashangaza wengi, cheki hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA ORIFLAME YATAMBULISHA BIDHAA ZAKE KWENYE SOKO LA TANZANIA

Bi. Maznat Yusuph Sinare akieleza namna bidhaa na vipodozi mbalimbali vilivyokuwa na ubora wa kimataifa kwenye uzinduzi wa vipodozi vipya vya kampuni ya ORIFLAME kwenye ukumbi wa ukumbi wa Zanzibar katika Hotel ya Hyatt Regenc  Kilimanjaro Hotel jijini Dar es salaam.Kampuni ya Vipozi vya aina mbalimbali vya urembo OriFlame wamefanya maonesho ya Bidhaa zao Tarehe 2.07.2014 katika ukumbi wa Zanzibar katika Hotel ya Hyatt Regency(The Kilimanjaro Hotel).Kampuni hiyo yenye wigo mpana wa...

 

11 years ago

GPL

KAMPUNI YA REX ENERGY YATAMBULISHA TEKNOLOJIA MPYA YA KUHIFADHI NA KUSAMBAZA UMEME

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya kusambaza vifaa vya umeme wa jua (solar) ya Rex Energy Bw Francis Kibhisa akizungumza na Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali (hawapo pichani),kuhusiana na uzinduzi na utambulisho wa teknolojia  mpya yenye uwezo mkubwa wa kuhifadhi na kusambaza Umeme,mkutano huo umefanyika mapema leo asubuhi kwenye makao makuu ya ofisi hizo zilizopo mtaa wa Makamba,Gerezani jijini Dar. Pichani mbele kushoto...

 

11 years ago

GPL

Kapombe rasmi Azam, apewa jezi namba 33

Shomari Kapombe. Hans Mloli na Musa Mateja
KIUNGO kiraka Shomari Kapombe, sasa mambo safi na amekamilisha kila kitu kurejea kucheza soka nchini na tayari amemalizana na klabu ya Azam FC na amekabidhiwa jezi yake kabisa. Imefahamika kuwa Kapombe amekubali kujiunga na Azam kutokana na kutokuwa katika maelewano mazuri na AS Cannes aliyojiunga nayo akitokea Simba, mwaka jana. Habari za uhakika, asilimia mia, Kapombe ameishavunja...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wadhamini wa jezi wa Man United, Adidas watoa ya moyoni, yapo hapa

adiddas

Mkurugenzi Mtendaji wa Adidas, Herbert Hainer.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Wadhamini wa Manchester United ambao ndiyo wanaoitengenezea klabu hiyo jezi, Adidas wametoa maoni yao kuhusu mwenendo wa klabu hiyo na kusema kuwa hawafurahishwi na aina ya uchezaji ya klabu hiyo ambayo wanaamini haiwavutii mashabiki wa soka.

Kampuni hiyo ya kutengeneza vifaa vya michezo ya Ujerumani ambayo imeingia mkataba na Manchester United wa miaka 10 wenye thamani ya Pauni Milioni 750 wameyasema hayo kupitia...

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani