Bocco apewa jezi kuiua Malawi
Ikiwa imetanguliza mguu mmoja ili kusonga mbele kwenye mechi za kufuzu kushiriki Kombe la Dunia 2018 nchini Russia, timu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo itajitupa kwenye Uwanja wa Kamuzu Banda kupambana na wenyeji Malawi. Mchezo huo wa marudiano unaoanza saa 8.00 mchana za hapa (sawa na saa 9.00 za Afrika Mashariki) unatarajiwa mgumu na wa kusisimua.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Mbinu sahihi kuiua Malawi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TYrvltUmOUgK4dzuBEoNi3vrOvmYM5-4xVlG8k9Lc36*SilZsMf*4g7mV47PxX3F78QLjAcytKmi3ciEyrTcMDt/kapombe.jpg?width=650)
Kapombe rasmi Azam, apewa jezi namba 33
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdZi0y21lV4tpyoVxvINGGzaiFW1JI5O4jEXgCdayqCJ-mWmrx4RUD6phKKAl9DiIIwtuxcq0ZSowF86PfsAe2TP/rojo.jpg?width=650)
MARCOS ROJO RASMI MAN UTD, APEWA JEZI NAMBA 5
11 years ago
Malawi Today24 Mar
Deadlock in Malawi and Tanzania on Lake Malawi border mediation talks
Coastweek
Malawi Today
Mediation talks between Malawi and neighbouring Tanzania on the border dispute over Lake Malawi ended in a deadlock last week. Head of the mediating team, former Mozambican President Joaquim Chissano is quoted by allafrica.com as having publicly ...
Tanzania: After Two Days, No Agreement Over Lake NiassaAllAfrica.com
Dar firm on border claimDaily News
Tanzania, Malawi fail to reach agreement on border...
11 years ago
TheCitizen25 May
Malawi’s President Banda declares Malawi election ‘null and void’
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AWASILI MALAWI KUMWAKILISHA MHE. RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA ALIYEKUWA BALOZI WA MALAWI NCHIN
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Bocco awatuliza mashabiki Azam
ADAM MKWEPU NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa Azam FC, John Bocco amewatuliza mashabiki wa timu hiyo na kuwataka wasubiri ushindi wa kishindo watakapocheza na Majimaji keshokutwa katika Uwanja wa Majimaji, Songea.
Azam ilipata matokeo ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Simba Jumamosi iliyopita na kufikisha pointi 26 zilizoifanya ishuke hadi nafasi ya pili na kuwapa wapinzani wao Yanga nafasi ya kurudi kileleni kwa kujikusanyia pointi 27.
Akizungumza na MTANZANIA jana nyota huyo...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Bocco atambia mafanikio Azam FC
NAHODHA wa Azam FC, John Rafael Bocco ‘Adebayor’ametambia rekodi na mafanikio ya kikosi chake, huku akiitaja namba 19 kuwa ni namba ya bahati katika maisha yake ya soka Azam Complex,...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Bocco kuikosa Mtibwa Jumamosi