Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbinu sahihi kuiua Malawi

Ni vita ya marafiki na mbinu sahihi ndiyo itaivusha Taifa Stars dhidi ya Malawi leo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Kopunovic kutumia mbinu za Barcelona kuiua Azam FC

Kocha Mkuu wa Simba, Mserbia, Goran Kopunovic. Na Wilbert Molandi
KOCHA Mkuu wa Simba, Mserbia, Goran Kopunovic, hatalinda goli lake wakati atakapowavaa wapinzani wake, Azam FC na badala yake atatumia mfumo wa kushambulia mwanzo mwisho.Aina hiyo ya uchezaji, inatumiwa sana na klabu ya Barcelona kwa kushambulia na kupiga pasi nyingi kati ya dimba, inayojulikana kwa jina la ‘Tik Taka’. Akizungumza na Championi...

 

9 years ago

Mwananchi

Bocco apewa jezi kuiua Malawi

Ikiwa imetanguliza mguu mmoja ili kusonga mbele kwenye mechi za kufuzu kushiriki Kombe la Dunia 2018 nchini Russia, timu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo itajitupa kwenye Uwanja wa Kamuzu Banda kupambana na wenyeji Malawi. Mchezo huo wa marudiano unaoanza saa 8.00 mchana za hapa (sawa na saa 9.00 za Afrika Mashariki) unatarajiwa mgumu na wa kusisimua.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbinu sahihi za kufanya biashara kwa mafanikio

Tumekuwa tukisoma na hata kusikia mazungumzo ya kawaida na kwenye vyombo vya habari juu ya ndoto za wajasiriamali. Baadhi yao wamekuwa wakisema wanataka kuwa kama mfanyabiashara fulani maarufu kutokana na biashara wanazozifanya.

 

11 years ago

Malawi Today

Deadlock in Malawi and Tanzania on Lake Malawi border mediation talks


Coastweek
Deadlock in Malawi and Tanzania on Lake Malawi border mediation talks
Malawi Today
Mediation talks between Malawi and neighbouring Tanzania on the border dispute over Lake Malawi ended in a deadlock last week. Head of the mediating team, former Mozambican President Joaquim Chissano is quoted by allafrica.com as having publicly ...
Tanzania: After Two Days, No Agreement Over Lake NiassaAllAfrica.com
Dar firm on border claimDaily News
Tanzania, Malawi fail to reach agreement on border...

 

11 years ago

TheCitizen

Malawi’s President Banda declares Malawi election ‘null and void’

Malawi’s President Joyce Banda on Saturday declared this week’s chaotic election “null and void” and called for a fresh vote, throwing the impoverished nation into crisis.

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MEMBE AWASILI MALAWI KUMWAKILISHA MHE. RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA ALIYEKUWA BALOZI WA MALAWI NCHIN

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Blantyre nchini Malawi kwa ajili ya kushiriki mazishi ya aliyekuwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania, Marehemu Flossie Gomile-Chidyaonga aliyefarikii dunia tarehe 09 mei, 2014 Jijini na Dar es Salaam na anatarajiwa kuzikwa tarehe 14 Mei, 2014. Mhe. Membe anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye mazishi hayo. 
Balozi wa...

 

9 years ago

Habarileo

Samatta, Ulimwengu watua kuiua Algeria

BAADA ya kuipa ubingwa wa Afrika klabu yao ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), washambuliaji nyota wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu wamewasili nchini tayari kuwavaa Algeria katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa Kombe la Dunia mwaka 2018 huko urusi.

 

9 years ago

Mtanzania

Simba yajipanga kuiua Mbeya City

simba-sports-club-212-768x403NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba imeanza kuipigia hesabu Mbeya City wanayotarajia kucheza nayo Oktoba 17 mwaka huu kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya, wekundu hao wamedai kuwa ili kuzoa pointi zote tatu wamepanga kufika mapema mkoani humo.

Wachezaji wa Simba ambao hawamo kwenye timu za Taifa, wanatarajia kuanza tena mazoezi leo baada ya mapumziko ya siku mbili, tayari kabisa kujiandaa na mchezo huo muhimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Msimu uliopita Simba iliambulia patupu mbele ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Azam yaandaa mikakati ya kuiua Simba

Klabu ya Azam imeanza mikakati ya kuifunga Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu mwezi ujao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani