Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samatta, Ulimwengu watua kuiua Algeria

BAADA ya kuipa ubingwa wa Afrika klabu yao ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), washambuliaji nyota wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu wamewasili nchini tayari kuwavaa Algeria katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa Kombe la Dunia mwaka 2018 huko urusi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Samatta, Ulimwengu send warning message to Algeria

Taifa Stars’ roving striker Mbwana Samatta has sent a ‘warning’ message to Algeria after scoring once to steer TP Mazembe to a 2-1 win over USM Alger of Algeria to claim a fifth CAF Champions League title.

 

9 years ago

Habarileo

‘Maguri ataisaidia Stars kuiua Algeria’

KOCHA Msaidizi wa Stand United, Athuman Bilali ‘Billo’ amesema Elias Maguri anaweza kuifunga Algeria endapo kocha Boniface Mkwasa atamtumia.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Ulimwengu, Samatta kiboko’

Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa amewapongeza washambuliaji wakeThomas Ulimwengu na Mbwana Samatta kwa kucheza vizuri licha ya kutopata muda wa kupumzika.

 

9 years ago

TheCitizen

Samatta, Ulimwengu, Ngassa out

Tanzanian TP Mazembe duo Mbwana Samatta and Thomas Ulimwengu as well as Mrisho Ngassa who ply his trade with South African Free State Stars have been left out of the Kilimanjaro Stars squad that will take part in the forthcoming Cecafa Senior Challenge Cup to be held in Ethiopia.

 

9 years ago

Mtanzania

Samatta, Ulimwengu waikosa Barcelona

Samatta-UlimwenguBADI MCHOMOLO, DAR ES SALAAM

NDOTO za Watanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu wanaokipiga TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kucheza na Barcelona zilizimwa jana na Sanfrecce Hiroshima ya Japan.

TP Mazembe ambao ni mabingwa wa Afrika ngazi ya klabu ilipokea kipigo cha mabao 3-0 dhidi ya wapinzani wao katika michuano ya Klabu Bingwa Dunia inayoendelea nchini Japan.

Mazembe waliweza kumiliki mchezo huo kwa dakika 40 za kipindi cha kwanza kabla ya kuruhusu wapinzani wao kupata...

 

9 years ago

Mwananchi

Kila kona ni Samatta, Ulimwengu

Wakati washambuliaji Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu wakisaka rekodi ya kuwa Watanzania wa kwanza kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika, TP Mazembe wanayoichezea inasaka taji la tano la mashindano hayo leo dhidi ya USM Alger.

 

9 years ago

Habarileo

Malinzi awapongeza Samatta, Ulimwengu

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi (pichani) amewatumia salamu za pongezi wachezaji Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu wanaochezea klabu ya TP Mazembe ya Congo DR kufuatia kutwaa Ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CL) juzi kwa kuifunga timu ya USM Algiers kwa jumla ya mabao 4-1.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Samatta, Ulimwengu wawafuata Msumbiji

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania wanaochezea klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu, wanatarajiwa kuwasili nchini kesho. Wachezaji hao wanakuja kujiunga na kambi ya timu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Samatta,Ulimwengu, kuikabili Malawi

Wachezi wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu wamewasili nyumbani Tanzania kujiunga na timu ya taifa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani