Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto amuibia nyanyake na kuwashangaza wengi

Mtoto mwenye umri wa miaka 11 alimuibia nyanyake maelfu ya dola kisha kukodi taxi kumpeleka eneo la mbali kukutana na kijana ambaye walikuwa wakiongea naye tu kupitia mtandao wa Internet.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Zimevuja jezi mpya za Man City za msimu wa 2016/2017, rangi yake kuwashangaza wengi, cheki hapa …

Imekuwa ni kawaida kwa vilabu vya soka vya Ulaya ila mwaka kubadili aina ya jezi kwa ajili ya msimu mpya, lengo kubwa la kubadili aina ya jezi huwa inatajwa kuwa ni namna ya kutengeneza mauzo ya jezi na kuongezea mapato kwa klabu. January 5 footy headlines imetangaza kuvuja kwa aina ya jezi za ugenini watakazo […]

The post Zimevuja jezi mpya za Man City za msimu wa 2016/2017, rangi yake kuwashangaza wengi, cheki hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA YA WEMA SEPETU AKIWA HOSPITALI YASHUA WENGI. WENGI WAULIZA KAMA NDO AMEANZA MATIBABU YA KUPATA MTOTO


The socialite, The Actress kutoka kiwanda cha filamu Tanzania Bongo Movie Wema Sepetu, baada ya kutangaza kuwa anatatizo la kutozaa kwa muda mrefu na angetamani siku moja kupata mtoto wamejitokeza madakatari wengi na kutaka kumtibu.Lakini kabla ya kuanza kumtibu amewapa angalizo kwamba wakati anaanza kutiwa akawa na mwenza wake kabisa ambae wwatukuwa wamekubaliana pale tatizo litakapokuwa limeisha tu basi mara moja waweze kupata mtoto..Hilo ndilo angalizo la Wema Sepetu ambae anatamani sana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto Ashukiwa kuwaambukiza wengi Mali

WHO linasema kwa msichana wa mdogo aliyethibitishwa kuwa mgonjwa wa kwanza wa ebola nchini Mali anashukiwa kuwaambukiza wengi

 

10 years ago

Vijimambo

Mtoto ashukiwa kuwaambukiza wengi Mali-BBC

Shirika la afya duniani WHO linasema kwa msichana wa umri wa miaka miwili ambaye alithibitishwa kuwa mgonjwa wa kwanza wa ebola nchini Mali alisafiri kilomita kadha kwa basi nchini humo huku akionyesha dalili za kuugua ugonjwa huo.

Zaidi ya watu 40 ambao walikaribiana naye wametengwa. Huenda msichana huyo alisafirishwa kwenda nchini Mali na nyanyake baada ya mazishi ya mamake nchini Guinea moja ya nchi ambazo zimeathirka pakubwa na ugonjwa wa ebola.

Utawala nchini Mali sasa umethibitisha kuwa...

 

9 years ago

Michuzi

WENGI WAMZIKA MTOTO WA KIONGOZI WA WAFUGAJI LUGOBARAIS ATUMA SALAMU

Na John Gagarini, Lugoba  Wagombea wa nafasi za uongozi hapa nchini wametakiwa kukubali matokeo mara uchaguzi utakapofanyika Oktoba 25 mwaka huu kwani kuna maisha mengine baada ya uchaguzi, na   kuendelea kufanya kampeni zao huku wakiendelea kuhubiri na kulinda amani iliyopo kwani wana nafasi kubwa ya kuwashawishi wafuasi wao wasifanye vurugu au kufanya vitendo vinavyosababisha uvunjifu wa amani.  Pia wagombea watakaoshindwa kwenye uchaguzi mkuu wameombwa wakubali matokeo kwani kwenye...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wengi wamzika Mtoto wa Kiongozi wa Wafugaji Lugoba, Rais atuma rambirambi

unnamed (78)Baadhi ya waombelezaji katika msiba huo. Kulia ni Ridhiwani Kikwete mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia CCM akifuatiwa na mkuu wa wilaya ya Bagamoyo Majid Mwanga, mkuu wa wilaya ya Nachingwea Pololet Mgema na mgombea ubunge Jimbo hilo kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Matayo Torongei wakiwa kwenye msiba huo.

Na John Gagarini, Lugoba 

 Wagombea wa nafasi za uongozi hapa nchini wametakiwa kukubali matokeo mara uchaguzi utakapofanyika Oktoba 25 mwaka huu kwani kuna maisha...

 

10 years ago

Bongo Movies

KAULI YA WEMA YALIZA WENGI. Aweka wazi kuwa hawezi kupata mtoto.

Kupitia page yake ya mtandao mmoja wa kijamii, LEO mwanadada wema Sepetu ameamua kuvunja ukimya kwa kuamua kuweka wazi kuwa hana uwezo wa kushika ujauzito... hichi ndicho alichosema!

“…Ningekuwa na uwezo wa kuzaa ningekuwa nimezaa muda mrefu sana... But sina... Na siwezi kumkufuru mwenyezi mungu.... Au mngependa niwe nawaambia jinsi ninavyo hangaika usiku na mchana kupata mtoto wangu mwenyewe... Is dat wat u want...? kila ntakachofanya kwa ajili ya tumbo langu basi nitangaze... Au mnadhani...

 

10 years ago

GPL

VIDEO YA MTOTO WA KIM NA KANYE, NORTH WEST AKIVUTWA PAMOJA NA SANDUKU LA NGUO YAVUTIA WENGI MTANDAONI

North West akivutwa akiwa amelala juu ya sanduku la nguo. VIDEO iliyowekwa katika mtandao wa Instagram na Khloe Kardashian ya mtoto wa dada yake, Kim Kardashian aitwaye North West imevutia watu wengi. Angalia video hiyo hapo juu. Video hiyo inamuonyesha North mwenye mwaka mmoja na miezi tisa akivutwa akiwa amelala juu ya sanduku la nguo kuelekea uwanja wa ndege.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani