Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WENGI WAMZIKA MTOTO WA KIONGOZI WA WAFUGAJI LUGOBARAIS ATUMA SALAMU

Na John Gagarini, Lugoba  Wagombea wa nafasi za uongozi hapa nchini wametakiwa kukubali matokeo mara uchaguzi utakapofanyika Oktoba 25 mwaka huu kwani kuna maisha mengine baada ya uchaguzi, na   kuendelea kufanya kampeni zao huku wakiendelea kuhubiri na kulinda amani iliyopo kwani wana nafasi kubwa ya kuwashawishi wafuasi wao wasifanye vurugu au kufanya vitendo vinavyosababisha uvunjifu wa amani.  Pia wagombea watakaoshindwa kwenye uchaguzi mkuu wameombwa wakubali matokeo kwani kwenye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Wengi wamzika Mtoto wa Kiongozi wa Wafugaji Lugoba, Rais atuma rambirambi

unnamed (78)Baadhi ya waombelezaji katika msiba huo. Kulia ni Ridhiwani Kikwete mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia CCM akifuatiwa na mkuu wa wilaya ya Bagamoyo Majid Mwanga, mkuu wa wilaya ya Nachingwea Pololet Mgema na mgombea ubunge Jimbo hilo kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Matayo Torongei wakiwa kwenye msiba huo.

Na John Gagarini, Lugoba 

 Wagombea wa nafasi za uongozi hapa nchini wametakiwa kukubali matokeo mara uchaguzi utakapofanyika Oktoba 25 mwaka huu kwani kuna maisha...

 

9 years ago

Mwananchi

Samata atuma salamu Malawi

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samata aimeitumia salamu Malawi baada ya kufunga mabao mawili na kuiongoza TP Mazembe kuichapa Al-Merreikh 3-0 na kufuzu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Malope atuma salamu Mwanza

MWIMBAJI wa nyimbo za injili wa kimataifa, Rebecca Malope, ametoa wito kwa wakazi wa Jiji la Mwanza na vitongoji vyake, kujitokeza kwa wingi kwenye tamasha hilo linalotarajia kufanyika Mei 4...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

MALINZI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI SAFA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, Jamal Malinzi ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Chama cha Mpira wa Miguu cha Afrika Kusini (SAFA) Dr.Danny Jordan kufuatia kifo cha nguli aliyewahi kuichezea timu ya Taifa ya nchi hiyo (BafanaBafana) John Lesiba "Shoe" Mashoeu kilichotokea jana Aprili 21.
Katika salamau zake kwa Dr. Jordan, Malinzi amesema nchi ya Afrika Kusini imepatwa na pigo kubwa katika tasnia ya mpira wa miguu, kufuatia kifo cha  Mashoeu aliyefariki dunia kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mazishi ya Mabina kesho,JK atuma salamu

Wakati maziko ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoani hapa na Diwani wa Kata ya Kisesa, Clement Mabina yakifanyika kesho katika kilima cha Kanyama, ikiwa ni eneo ambalo alilouawa na kundi la watu Jumapili iliyopita,Rais Jakaya Kikwete ametuma salaam za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kutokana na msiba huo.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI IRELAND

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ametumua salamu za rambirambi kwa Serikali ya Ireland kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Bw. Albert Reynolds.
Hayati Reynolds ambaye amefariki akiwa na miaka 81, alikuwa Waziri Mkuu wa nane wa nchi hiyo kwa miaka mitatu kuanzia mwaka 1992. Atakumbukwa kwa kuanzisha mchakato wa kuleta amani Ireland Kaskazini dhidi ya kundi la IRA.
Waziri Mkuu Pinda ambaye aliwasili jana (Alhamisi, Agosti 28, 2014) jijini Dar es Salaam akitokea Dodoma,...

 

10 years ago

Habarileo

JK atuma salamu za rambirambi kwa vifo vya waandishi

RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara kuomboleza vifo vya waandishi wa habari, Innocent Munyuku wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd na Baraka Karashani, aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (Taswa).

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete atuma salamu za rambirambi kifo cha Liundi

RAIS Jakaya Kikwete ameeleza kusikitishwa na kuhuzunishwa na kifo cha ghafla cha aliyekuwa msajili wa kwanza wa vyama vya siasa nchini, George Liundi kilichotokea Januari 12 mwaka huu nyumbani kwake Keko, mjini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani