WAZIRI MKUU ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI IRELAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-l3u18glzL0Q/VAAqQp2cuCI/AAAAAAAGRd4/Gv8fgitoimA/s72-c/albert-reynolds-1.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ametumua salamu za rambirambi kwa Serikali ya Ireland kufuatia kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Bw. Albert Reynolds.
Hayati Reynolds ambaye amefariki akiwa na miaka 81, alikuwa Waziri Mkuu wa nane wa nchi hiyo kwa miaka mitatu kuanzia mwaka 1992. Atakumbukwa kwa kuanzisha mchakato wa kuleta amani Ireland Kaskazini dhidi ya kundi la IRA.
Waziri Mkuu Pinda ambaye aliwasili jana (Alhamisi, Agosti 28, 2014) jijini Dar es Salaam akitokea Dodoma,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa mkoa wa Tanga
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mheshimiwa Rajabu Rutengwe kuomboleza vifo vya watu 11 ambapo wengine kadhaa walijeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea tarehe 27 Novemba, 2014.
Ajali hiyo ilitokea katika eneo la Mkanyageni Mkoani Tanga baada ya basi dogo aina ya Toyota Coaster Na. T 410 BJD iliyokuwa ikitoka Tanga Mjini kuelekea Lushoto kugongana na Lori aina ya Scania Na. T 605...
10 years ago
Michuzi04 Mar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZCRA-tSzyHY/XqfsTTx1ShI/AAAAAAALocY/44P8byYuKoQfgHLnuvFZ7PDHkcizN4VtgCLcBGAsYHQ/s72-c/47410160_303.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sMbzTU1E1FQ/U_XuhfUJN9I/AAAAAAAGBLA/ATp2sugQBMY/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-06-21%2Bat%2B5.17.07%2BPM.png)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MKUU WA MKOA WA TABORA KUFUATIA AJALI ILIYOTOKEA HIVI KARIBUNI
![](http://2.bp.blogspot.com/-sMbzTU1E1FQ/U_XuhfUJN9I/AAAAAAAGBLA/ATp2sugQBMY/s1600/Screen%2BShot%2B2014-06-21%2Bat%2B5.17.07%2BPM.png)
Ajali hiyo iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo Wilayani Sikonge, ilihusisha basi la abiria la Kampuni ya Sabena lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza ambalo lililogongana uso kwa uso na basi lingine la...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-APapVOpDzDQ/XquzLpI_uHI/AAAAAAAC4Tc/IDQkABaHulYvXEBNbwba6ekYUfTKVOmngCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200501_082631.jpg)
TANZIA: WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA MH. BALOZI DKT. AUGUSTINE MAHIGA AFARIKI DUNIA...RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
![](https://1.bp.blogspot.com/-APapVOpDzDQ/XquzLpI_uHI/AAAAAAAC4Tc/IDQkABaHulYvXEBNbwba6ekYUfTKVOmngCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200501_082631.jpg)
Mhe. Balozi Mahiga ameugua ghafla akiwa nyumbani kwake Jijini Dodoma na amefikishwa hospitali akiwa tayari ameshafariki dunia.
Mhe. Rais Magufuli ametoa salamu za pole kwa familia ya Marehemu, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z3BWMoplk5QOQWHysa-Bb38l9rnz9e7TPgGkSNxogXGybgR9UfdUGQ1jj-xSGx0XTKaMK6ZSJR7b1YeGNFpJZl*DG-GV3tde/IKULU.png?width=650)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA WAISLAMU WOTE NA BAKWATA KUFUATIA KIFO CHA SHEIKH MKUU WA TANZANIA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s72-c/New+Picture+(5).bmp)
Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,kufuatia vifo vya watu 11 katika ajali ya basi
![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s1600/New+Picture+(5).bmp)
Katika salamu hizo, Rais Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa ajali zabarabarani zinaendelea kuchukua maisha ya watu wasiokuwa na hatia.
“Nimepokea kwa huzuni nyingi taarifa ya ajali hiyo ambayo...
11 years ago
Michuzi30 Apr