MALINZI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI SAFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-1GXy87GtxeI/VTeR5vmaMjI/AAAAAAAHSh8/9jlWb6LX7io/s72-c/MMGN8022.jpg)
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, Jamal Malinzi ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Chama cha Mpira wa Miguu cha Afrika Kusini (SAFA) Dr.Danny Jordan kufuatia kifo cha nguli aliyewahi kuichezea timu ya Taifa ya nchi hiyo (BafanaBafana) John Lesiba "Shoe" Mashoeu kilichotokea jana Aprili 21.
Katika salamau zake kwa Dr. Jordan, Malinzi amesema nchi ya Afrika Kusini imepatwa na pigo kubwa katika tasnia ya mpira wa miguu, kufuatia kifo cha Mashoeu aliyefariki dunia kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi30 Apr
11 years ago
Michuzi05 Aug
MALINZI ATUMA RAMBIRAMBI FIFA KUOMBOLEZA KIFO CHA MAKAMU WA BLATTER
![](https://2.bp.blogspot.com/-at26zELvqw4/U-DE635YhGI/AAAAAAAAs9w/W0ckErzWEzU/s1600/julio-grondona.jpg)
Rais wa Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Shrikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (Fifa), Sepp Blatter kutokana na kifo cha makamu wake mwandamizi Julio Grondora.Amesema yeye binafsi na jamii ya mpira wa miguu Tanzania kwa ujumla wanaomboleza msiba wa Grondora ambaye pia alikuwa Rais wa Chama cha Mpira wa Miguu cha Argentina (AFA).Ameongeza kuwa Grondora alikuwa mtumishi mwandamizi wa mpira wa miguu, kwani alijitoa katika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-l3u18glzL0Q/VAAqQp2cuCI/AAAAAAAGRd4/Gv8fgitoimA/s72-c/albert-reynolds-1.jpg)
WAZIRI MKUU ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI IRELAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-l3u18glzL0Q/VAAqQp2cuCI/AAAAAAAGRd4/Gv8fgitoimA/s1600/albert-reynolds-1.jpg)
Hayati Reynolds ambaye amefariki akiwa na miaka 81, alikuwa Waziri Mkuu wa nane wa nchi hiyo kwa miaka mitatu kuanzia mwaka 1992. Atakumbukwa kwa kuanzisha mchakato wa kuleta amani Ireland Kaskazini dhidi ya kundi la IRA.
Waziri Mkuu Pinda ambaye aliwasili jana (Alhamisi, Agosti 28, 2014) jijini Dar es Salaam akitokea Dodoma,...
10 years ago
Habarileo23 Nov
JK atuma salamu za rambirambi kwa vifo vya waandishi
RAIS Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara kuomboleza vifo vya waandishi wa habari, Innocent Munyuku wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd na Baraka Karashani, aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (Taswa).
11 years ago
Habarileo15 Jan
Kikwete atuma salamu za rambirambi kifo cha Liundi
RAIS Jakaya Kikwete ameeleza kusikitishwa na kuhuzunishwa na kifo cha ghafla cha aliyekuwa msajili wa kwanza wa vyama vya siasa nchini, George Liundi kilichotokea Januari 12 mwaka huu nyumbani kwake Keko, mjini Dar es Salaam.
11 years ago
Uhuru Newspaper02 Jul
JK atuma salamu za rambirambi kifo cha Nkwabi Ng’wanakilala
Na Mwamvua Mwinyi
RAIS Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha mwandishi wa habari mkongwe na mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine, Nkwabi Ng’wanakilala.
Ng’wanakilala alifariki dunia Juni 27, mwaka huu katika hospitali ya rufani Bugando, jijini Mwanza, baada ya kusumbuliwa na figo.
Katika salamu zilizotumwa kwa Mkuu wa chuo hicho, Askofu Trcisius Ngalalekumtwa, Rais Kikwete, alisema kifo hicho kimelinyang’anya taifa mwana taaluma mahiri wa habari na mtumishi...
11 years ago
CloudsFM01 Aug
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI AJALI YA BASI LA MORO BEST
Katika ajali hiyo, watu 13 walifariki katika eneo la ajali, na majeruhi wapatao 56 walifikishwa hospitalini. Kati ya majeruhi hao hadi sasa waliolazwa ni 30 na wengine wameruhusiwa baada ya kupata matibabu.
Rais amemuomba Dkt. Nchimbi kumfikishia...
11 years ago
Michuzi15 Apr
JK RAIS KIKWETE AMLILIA MAALIM GURUMO, ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PXnpR4w2Q6c/VGEjliwIUDI/AAAAAAAGweM/7pNOMDNsY5U/s72-c/download.jpg)
JK ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA AMIGOLAS WA TWANGA PEPETA
![](http://4.bp.blogspot.com/-PXnpR4w2Q6c/VGEjliwIUDI/AAAAAAAGweM/7pNOMDNsY5U/s1600/download.jpg)