TAIFA STARS KUTUMIA JEZI ZA ADIDAS
![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt7eYfJ6dxrEFJ1JKpZSf0E72LQlpnXWEtlcyNjPbxo7APfUPt*mrMwrZ5YAfib1nM0Z5QXPb7QbRl5rAOvP-rGI/1group.jpg?width=650)
Taifa Stars wakiwa ndani ya uzi mpya wa Adidas. Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) lilifikia makubaliano na kampuni ya Adidas kupitia msaada wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kupatiwa vifaa vya michezo. Kufuatia makubaliano hayo TFF tulipatiwa vifaa kadhaa vya Adiads kwa ajili ya timu ya Taifa ya wakubwa (Taifa Stars). Vifaa hivyo zikiwemo jezi tulianza kuvitumia kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Namibia...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GSnlmWS81OQ/UxwbcB4HuXI/AAAAAAAFSVU/rFJiM4sP_e0/s72-c/Taifa+Stars.jpg)
TAIFA STARS KUTUMIA UZI WA ADIDAS
![](http://4.bp.blogspot.com/-GSnlmWS81OQ/UxwbcB4HuXI/AAAAAAAFSVU/rFJiM4sP_e0/s1600/Taifa+Stars.jpg)
Kufuatia makubaliano hayo TFF tulipatiwa vifaa kadhaa vya adiads kwa ajili ya timu ya Taifa ya wakubwa (Taifa Stars). Vifaa hivyo zikiwemo jezi tulianza kuvitumia kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Namibia iliyochezwa Machi 5 mwaka huu jijini Windhoek kama inavyoonekana pichani.
Vifaa hivyo zikiwemo jezi...
11 years ago
TheCitizen10 Mar
Taifa Stars now to don jerseys from Adidas
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Adidas yaipamba kwa vifaa Taifa Stars
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--fz3Wyrdl2k/VF5HgdBqqsI/AAAAAAAGwDI/6eR0jeX6Xlw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
shindano la ubunifu wa jezi ya Taifa Stars
![](http://1.bp.blogspot.com/--fz3Wyrdl2k/VF5HgdBqqsI/AAAAAAAGwDI/6eR0jeX6Xlw/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Wadhamini wa jezi wa Man United, Adidas watoa ya moyoni, yapo hapa
Mkurugenzi Mtendaji wa Adidas, Herbert Hainer.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Wadhamini wa Manchester United ambao ndiyo wanaoitengenezea klabu hiyo jezi, Adidas wametoa maoni yao kuhusu mwenendo wa klabu hiyo na kusema kuwa hawafurahishwi na aina ya uchezaji ya klabu hiyo ambayo wanaamini haiwavutii mashabiki wa soka.
Kampuni hiyo ya kutengeneza vifaa vya michezo ya Ujerumani ambayo imeingia mkataba na Manchester United wa miaka 10 wenye thamani ya Pauni Milioni 750 wameyasema hayo kupitia...
11 years ago
TheCitizen15 Jul
BRAZIL 2014: Four stars for 4-time World Champs (and major shirt sales for Adidas)
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Malinzi afafanua jezi mpya Stars
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema litaendelea kuzitumia jezi mpya za msaada zilizotoka Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) wakishirikiana na (CAF), hadi Desemba mwaka huu kwa mujibu wa mkataba...
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Jezi za Kili Stars hazikuvunja kanuni-TFF
10 years ago
Michuzi30 Oct