Malinzi afafanua jezi mpya Stars
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema litaendelea kuzitumia jezi mpya za msaada zilizotoka Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) wakishirikiana na (CAF), hadi Desemba mwaka huu kwa mujibu wa mkataba...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Dec
Rais wa TFF Jamal Malinzi apokea jezi kutoka kampuni ya Proin kwaajili ya mashindano ya Women Taifa Cup
Mkurugenzi wa Makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza (kushoto) akimkabidhi Jezi Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Jamal Malinzi kwaajili ya Mashindano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa Women Cup yanayotarajiwa kutimbua vumbi tarehe 1 January 2015.
Na Josephat Lukaza – Lukaza Blog
Mkurugenzi wa makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza amkabidhi jezi Rais wa TFF, Mh Jamal Malinzi kwaajili ya michuano ya Mpira wa Miguu kwa Wanawake yajulikanayo kama Taifa...
9 years ago
Mwananchi19 Dec
DED Kahama afafanua ujenzi stendi mpya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt7eYfJ6dxrEFJ1JKpZSf0E72LQlpnXWEtlcyNjPbxo7APfUPt*mrMwrZ5YAfib1nM0Z5QXPb7QbRl5rAOvP-rGI/1group.jpg?width=650)
TAIFA STARS KUTUMIA JEZI ZA ADIDAS
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--fz3Wyrdl2k/VF5HgdBqqsI/AAAAAAAGwDI/6eR0jeX6Xlw/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
shindano la ubunifu wa jezi ya Taifa Stars
![](http://1.bp.blogspot.com/--fz3Wyrdl2k/VF5HgdBqqsI/AAAAAAAGwDI/6eR0jeX6Xlw/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Jezi za Kili Stars hazikuvunja kanuni-TFF
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Malinzi awajaza mapesa Stars
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Malinzi awatia usongo Stars
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, juzi aliungana na wachezaji wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, mjini Gaborone, Botswana kuwahamasisha, ikiwa ni maandalizi ya mechi...
9 years ago
Habarileo09 Oct
Malinzi awapa tano Taifa Stars
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ameipongeza timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ na Watanzania wote kwa ushindi waliopata dhidi ya Malawi juzi.
9 years ago
Mtanzania11 Sep
Malinzi asikitishwa matokeo Twiga Stars
NA ELLY MHAGAMA, DAR ES SALAAM
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Jamal Malinzi, amesikitishwa na matokeo mabovu ambayo timu ya Twiga Stars inayapata katika michuano ya All African Games inayoendelea nchini Congo Brazzaville.
Malinzi alitoa kauli hiyo jana, akidai matokeo hayo mabovu yanatokana na kukosa ligi ya Taifa ya soka la wanawake, ambayo ingesaidia kuibua vipaji lukuki.
“Tunafungwa kwa sababu hakuna Ligi ya mchezo huu, tunatarajia kuanzisha Ligi ambayo tutazalisha wachezaji...