Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Adidas yaipamba kwa vifaa Taifa Stars

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limefikia makubaliano na Kampuni ya Adidas kutegeneza jezi za timu ya taifa, Taifa Stars.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TAIFA STARS KUTUMIA JEZI ZA ADIDAS

Taifa Stars wakiwa ndani ya uzi mpya wa Adidas. Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) lilifikia makubaliano na kampuni ya Adidas kupitia msaada wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kupatiwa vifaa vya michezo. Kufuatia makubaliano hayo TFF tulipatiwa vifaa kadhaa vya Adiads kwa ajili ya timu ya Taifa ya wakubwa (Taifa Stars). Vifaa hivyo zikiwemo jezi tulianza kuvitumia kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Namibia...

 

11 years ago

Michuzi

TAIFA STARS KUTUMIA UZI WA ADIDAS

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) lilifikia makubaliano na kampuni ya Adidas kupitia msaada wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kupatiwa vifaa vya michezo.
Kufuatia makubaliano hayo TFF tulipatiwa vifaa kadhaa vya adiads kwa ajili ya timu ya Taifa ya wakubwa (Taifa Stars). Vifaa hivyo zikiwemo jezi tulianza kuvitumia kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Namibia iliyochezwa Machi 5 mwaka huu jijini Windhoek kama inavyoonekana pichani.
Vifaa hivyo zikiwemo jezi...

 

11 years ago

TheCitizen

Taifa Stars now to don jerseys from Adidas

The national team, Taifa Stars, will be donning Adidas kits, it was announced yesterday. Tanzania Football Federation (TFF) information officer, Boniface Wambura said the federation entered into a contract with the German sportswear maker through the African soccer controlling body, Caf.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Four stars for 4-time World Champs (and major shirt sales for Adidas)

A new home jersey adorned with four stars for Germany’s four World Cup wins quickly sold out Monday a mere hours after Die Mannschaft’s victory at the Maracana, reports Reuters.

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA TAIFA YA PARALYMPIC YAKABIDHIWA VIFAA KWA AJILI MICHEZO YA AFRIKA

 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda akiikabidhi Timu ya Taifa ya Paralympic vifaa vya michezo kwa ajili ya kwenda nchini Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika  (All African Games).Kushoto anayepokea vifaa hivyo ni Kocha wa Timu hiyo Bw. Zaharan Mwenemti. 

 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Juliana Yassoda akiongea na kikosi cha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Taifa stars yajifua kwa Cosafa

Taifa Stars inaingia kambini Jumatatu wiki hii kwa ajili ya kuanza mazoezi ya kujiandaa na michuano ya Cosafa.

 

10 years ago

Mwananchi

Taifa Stars iandaliwe kwa CHAN2016

Shirikisho la Soka barani Afrika ‘CAF’ linataraji kupanga ratiba ya mashindano ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) Rwanda 2016 hapo Aprili 5, jijini Cairo, Misri.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Taifa Stars yanyoosha mikono kwa Burundi

TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, juzi ilishindwa kutamba kwa mara nyingine mbele ya Burundi, baada ya kulimwa mabao 2-0 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyopigwa mjibu Bujumbura....

 

10 years ago

BBCSwahili

Taifa Stars yaanza kujifua kwa COSAFA

Taifa Stars inaendelea na mazoezi mepesi mjini Rustenburg, Afrika Kusini tayari kwa michuano ya Kombe la COSAFA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani