Adidas yaipamba kwa vifaa Taifa Stars
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limefikia makubaliano na Kampuni ya Adidas kutegeneza jezi za timu ya taifa, Taifa Stars.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt7eYfJ6dxrEFJ1JKpZSf0E72LQlpnXWEtlcyNjPbxo7APfUPt*mrMwrZ5YAfib1nM0Z5QXPb7QbRl5rAOvP-rGI/1group.jpg?width=650)
TAIFA STARS KUTUMIA JEZI ZA ADIDAS
Taifa Stars wakiwa ndani ya uzi mpya wa Adidas. Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) lilifikia makubaliano na kampuni ya Adidas kupitia msaada wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kupatiwa vifaa vya michezo. Kufuatia makubaliano hayo TFF tulipatiwa vifaa kadhaa vya Adiads kwa ajili ya timu ya Taifa ya wakubwa (Taifa Stars). Vifaa hivyo zikiwemo jezi tulianza kuvitumia kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Namibia...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GSnlmWS81OQ/UxwbcB4HuXI/AAAAAAAFSVU/rFJiM4sP_e0/s72-c/Taifa+Stars.jpg)
TAIFA STARS KUTUMIA UZI WA ADIDAS
![](http://4.bp.blogspot.com/-GSnlmWS81OQ/UxwbcB4HuXI/AAAAAAAFSVU/rFJiM4sP_e0/s1600/Taifa+Stars.jpg)
Kufuatia makubaliano hayo TFF tulipatiwa vifaa kadhaa vya adiads kwa ajili ya timu ya Taifa ya wakubwa (Taifa Stars). Vifaa hivyo zikiwemo jezi tulianza kuvitumia kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Namibia iliyochezwa Machi 5 mwaka huu jijini Windhoek kama inavyoonekana pichani.
Vifaa hivyo zikiwemo jezi...
11 years ago
TheCitizen10 Mar
Taifa Stars now to don jerseys from Adidas
The national team, Taifa Stars, will be donning Adidas kits, it was announced yesterday. Tanzania Football Federation (TFF) information officer, Boniface Wambura said the federation entered into a contract with the German sportswear maker through the African soccer controlling body, Caf.
11 years ago
TheCitizen15 Jul
BRAZIL 2014: Four stars for 4-time World Champs (and major shirt sales for Adidas)
A new home jersey adorned with four stars for Germany’s four World Cup wins quickly sold out Monday a mere hours after Die Mannschaft’s victory at the Maracana, reports Reuters.
9 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA PARALYMPIC YAKABIDHIWA VIFAA KWA AJILI MICHEZO YA AFRIKA
10 years ago
BBCSwahili11 May
Taifa stars yajifua kwa Cosafa
Taifa Stars inaingia kambini Jumatatu wiki hii kwa ajili ya kuanza mazoezi ya kujiandaa na michuano ya Cosafa.
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Taifa Stars iandaliwe kwa CHAN2016
Shirikisho la Soka barani Afrika ‘CAF’ linataraji kupanga ratiba ya mashindano ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) Rwanda 2016 hapo Aprili 5, jijini Cairo, Misri.
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Taifa Stars yanyoosha mikono kwa Burundi
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, juzi ilishindwa kutamba kwa mara nyingine mbele ya Burundi, baada ya kulimwa mabao 2-0 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyopigwa mjibu Bujumbura....
10 years ago
BBCSwahili14 May
Taifa Stars yaanza kujifua kwa COSAFA
Taifa Stars inaendelea na mazoezi mepesi mjini Rustenburg, Afrika Kusini tayari kwa michuano ya Kombe la COSAFA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania