Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taifa Stars now to don jerseys from Adidas

The national team, Taifa Stars, will be donning Adidas kits, it was announced yesterday. Tanzania Football Federation (TFF) information officer, Boniface Wambura said the federation entered into a contract with the German sportswear maker through the African soccer controlling body, Caf.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TAIFA STARS KUTUMIA UZI WA ADIDAS

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) lilifikia makubaliano na kampuni ya Adidas kupitia msaada wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kupatiwa vifaa vya michezo.
Kufuatia makubaliano hayo TFF tulipatiwa vifaa kadhaa vya adiads kwa ajili ya timu ya Taifa ya wakubwa (Taifa Stars). Vifaa hivyo zikiwemo jezi tulianza kuvitumia kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Namibia iliyochezwa Machi 5 mwaka huu jijini Windhoek kama inavyoonekana pichani.
Vifaa hivyo zikiwemo jezi...

 

11 years ago

GPL

TAIFA STARS KUTUMIA JEZI ZA ADIDAS

Taifa Stars wakiwa ndani ya uzi mpya wa Adidas. Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) lilifikia makubaliano na kampuni ya Adidas kupitia msaada wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kupatiwa vifaa vya michezo. Kufuatia makubaliano hayo TFF tulipatiwa vifaa kadhaa vya Adiads kwa ajili ya timu ya Taifa ya wakubwa (Taifa Stars). Vifaa hivyo zikiwemo jezi tulianza kuvitumia kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Namibia...

 

11 years ago

Mwananchi

Adidas yaipamba kwa vifaa Taifa Stars

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limefikia makubaliano na Kampuni ya Adidas kutegeneza jezi za timu ya taifa, Taifa Stars.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Four stars for 4-time World Champs (and major shirt sales for Adidas)

A new home jersey adorned with four stars for Germany’s four World Cup wins quickly sold out Monday a mere hours after Die Mannschaft’s victory at the Maracana, reports Reuters.

 

11 years ago

Michuzi

KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS

Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei 4 mwaka huu katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...

 

10 years ago

Michuzi

Taifa Stars yatakata Uwanja wa Taifa leo,Yaitungua Bao 4-1 Benin

Mshambuliaji wa timu ya Taifa Stars,Juma Luizio akiipachikia bao nne timu yake katika mtangange wa kikataifa wa kirafiki dhidi ya Benin,uliomalizika hivi punde katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Taifa Stars imeshinda 4-1 dhidi ya Benin. Wachezaji wa Taifa Stars,wakishangilia ushindi wao huku wakiwaacha wapinzani wao wa Benin wakiwa hoi tena wakiwa hawaamini wanachokiona uwanjani hapo. Washabiki wa Taifa stars wakiisapoti vilivyo timu yao. Ubao wa ulionyesha hivi kabla jamaa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Taifa stars, Harambee Stars hoi

Michezo ya awali ya kusaka tiketi ya kushiriki kombe la dunia nchini Urusi 2018 ukanda wa Afrika, zimepigwa usiku wa kuamka leo

 

10 years ago

TheCitizen

JKT Stars beat Don Bosco 66-44

JKT Stars beat Don Bosco Lioness 66-44 in the Dar es Salaam Regional Basketball Women Category League match played at the National Indoor Stadium on Friday night.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani