Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JKT Stars beat Don Bosco 66-44

JKT Stars beat Don Bosco Lioness 66-44 in the Dar es Salaam Regional Basketball Women Category League match played at the National Indoor Stadium on Friday night.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

DON BOSCO YAJA NA KAMPENI YA BINTI THAMANI

Kutoka kulia ni, Emanuel Mathias 'MC Pilipili', Mkurugenzi wa Vijana Don Bosco, Padri Dunstan Haule na Mkurugenzi wa Trumark ambao ndio waratibu wa kampeni hiyo, Agnes Mgongo. Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Elias Barnaba (kushoto) akizungumzia namna alivyojipanga kutoa…

 

9 years ago

Michuzi

WASICHANA WAPEWA KIPAUMBELE NA TAASISI YA DON BOSCO NET

Baadhi ya Wanafunzi wakiwa Darasani.Baadhi ya wanafunzi wakijifunza kushona.Masomo yakiendelea kwa baadhi ya wanafunzi.

TAASISI ya Don Bosco Net Tanzania yahamasisha wasichana katika kujiendeleza kimapato na kimawazo kutokana na wasichana wengi baada ya kumaliza elimu ya Msingi au  Sekondari  kutofanikiwa kuendelea na masomo yao ya juu kwasababu mbali mbali. Moja wapo ikiwa ada, hali ngumu ya uchumi na maisha inayositisha ndoto yao yakujimudu na kujiendeleza.
Taasisi hiyo imeaanda Kampeni ya...

 

10 years ago

Michuzi

Nusu fainali Dansi 100% kufanyika Don Bosco Jumamosi

Meneja wa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania,Liginiku Milinga(kulia)akiwaonesha waandishi wa habari(hawapo pichani)Simu aina ya Samsung E1205 yenye tochi na redio yenye thamani ya shilingi 25,000 tu.Zitakazopatikana katika Nusu fainali ya Dance 100 itakayofanyika jumamosi Don Bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam,pamoja nae kushoto ni Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu,Kikundi kitakachoshinda katika shindano hilo kitajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5. Meneja...

 

9 years ago

GPL

HAPATOSHI JUMAMOSI HII VIWANJA VYA DON BOSCO OYSTERBAY

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)kuhusiana na mchuano wa nusu fainali ya shindano la Dance 100% 2015 litakalofanyika jumamosi katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam,Kundi litakaloibuka mshindi wa shindano hilo litaondoka na kitita cha shilingi Milioni 5. Anayeshuhudia kushoto ni mratibu wa shindano hilo linaloandaliwa na EATV...

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Don Bosco: Viungo wa Azam mzigo kwa washambuliaji

Kocha wa klabu ya Ligi Kuu ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Don Bosco, Kasongo Ngandu amekichambua kikosi cha Azam na kugundua upungufu au kasoro moja ya msingi.

 

11 years ago

TheCitizen

Classy ABC, Don Bosco win Union League titles

>The 2014 Union basketball league curtain was brought down on Thursday with basketball giants ABC adding a silverware to their cabinet after beating Zanzibar’s Stone Town 77-50 in a thrilling match at the Gymkhana Club court in the Isles.

 

9 years ago

Michuzi

HAPATOSHA JUMAMOSI HII VIWANJA VYA DON BOSCO OYSTERBAY

 Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na mchuano wa  nusu fainali ya shindano la  Dance 100% 2015 litakalofanyika jumamosi katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam,Kundi litakaloibuka mshindi wa shindano hilo litaondoka na kitita cha shilingi Milioni 5. Anayeshuhudia kushoto ni mratibu wa shindano hilo linaloandaliwa  na EATV chini ya udhamini wa Vodacom Tanzania, Happy Shame.
 Moja...

 

10 years ago

GPL

NUSU FAINALI DANSI 100% KUFANYIKA DON BOSCO JUMAMOSI‏

Meneja wa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania,Liginiku Milinga(kulia)akiwaonesha waandishi wa habari(hawapo pichani)Simu aina ya Samsung E1205 yenye tochi na redio yenye thamani ya shilingi 25,000 tu.Zitakazopatikana katika Nusu fainali ya Dance 100 itakayofanyika jumamosi Don Bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam,pamoja nae kushoto ni Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu.
Meneja Uhusiano wa Umma wa...

 

9 years ago

Michuzi

TAASISI YA DON BOSCO YAHAMASISHA WASICHANA KUPENDA KUJIUNGA NA VYUO VYAO

 Meneja wa mipango  wa kapeni ya Binti Thamani Rosemacy Njoki   akizungumza na waandishi wa habari  (hawapo pichani) juu ya kampeni ya  kuwahamasisha wasichana kupenda kujiunga  na vyuo vya ufundi  ili kujifunza ufundi stadi  na kujiendeleza kimaisha  ikiwa ni pamoja na kujipatia ajira endelevu, amesema hayo katika kutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kushotoni Mkuu wa Chuo cha ufundi cha Don Bosco Dodoma Fromac Mulu. Mratibu wa kampeni ya Binti Thamani wa taasisi ya Don Bosco, Agnes...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani