Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DON BOSCO YAJA NA KAMPENI YA BINTI THAMANI

Kutoka kulia ni, Emanuel Mathias 'MC Pilipili', Mkurugenzi wa Vijana Don Bosco, Padri Dunstan Haule na Mkurugenzi wa Trumark ambao ndio waratibu wa kampeni hiyo, Agnes Mgongo. Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Elias Barnaba (kushoto) akizungumzia namna alivyojipanga kutoa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WASICHANA WAPEWA KIPAUMBELE NA TAASISI YA DON BOSCO NET KWA KAMPENI "BINTI THAMANI"

 Mkurugenzi wa Taasisi ya Don Bosco Net, Celestine Kharkongor akizungumza na mwandishi wetu katika kituo cha Don Bosco Ostabay jijini Dar es Salaam kuhusiana na wasichana kutokubweteka na kukaa nyumbani kulea familia bila kuwa na mafanikio au ujuzi wao wenyewe kwaajili ya kujikwamua kiuchumi.Afisa Mipango wa Taasisi ya Don Bosco Net, Rosemary Njoki akizungumza  leo katika kituo cha Ostabay jijini Dar es Salaam.
TAASISI ya Don Bosco Net yahamasisha wasichana katika kujiendeleza kimapato na...

 

9 years ago

GPL

KAMPENI YA BINTI THAMANI KURINDIMA DAR

Walioko mbele kutoka kushoto ni, Meneja Mipango wa Don Bosco, Rosemary Tery, Mkuu wa Chuo cha Don Bosco Mkoa wa Dar es Salaam, Jose Kaiphan na Mratibu, Agnes Mgongo. Baadhi ya wasichana watakaoshiriki kampeni hiyo wakiwa kwenye mkutano huo na wanahabari.…

 

9 years ago

Michuzi

KAMPENI YA BINTI THAMANI KUFANYIKA NOVEMBA 17 KATIKAUKUMBI WA KING SOLOMONI JIJINI DAR

Mratibu wa Kampeni ya BINTI THAMANI wa Taasisi ya Don Bosco Net Tanzania, Agnes Mgongo akizunumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Idara ya habari MAELEZO kuhusiana kampeni ya BINTI THAMANI itakayofanyika katika ukumbi wa King Solomoni jijini Dar es Salaam na kampeni hiyo itakuwa inawalenga hasa wasichana ili kufikia malengo yao kwa kutumia fursa zinazotolewa na vyuo vya Don Bosco hapa nchini.Mkurugenzi wa malezi ya vijana wa Taasisi ya Don Bosco Net Tanzania, Padre, Dustan Haule...

 

10 years ago

TheCitizen

JKT Stars beat Don Bosco 66-44

JKT Stars beat Don Bosco Lioness 66-44 in the Dar es Salaam Regional Basketball Women Category League match played at the National Indoor Stadium on Friday night.

 

9 years ago

Michuzi

WASICHANA WAPEWA KIPAUMBELE NA TAASISI YA DON BOSCO NET

Baadhi ya Wanafunzi wakiwa Darasani.Baadhi ya wanafunzi wakijifunza kushona.Masomo yakiendelea kwa baadhi ya wanafunzi.

TAASISI ya Don Bosco Net Tanzania yahamasisha wasichana katika kujiendeleza kimapato na kimawazo kutokana na wasichana wengi baada ya kumaliza elimu ya Msingi au  Sekondari  kutofanikiwa kuendelea na masomo yao ya juu kwasababu mbali mbali. Moja wapo ikiwa ada, hali ngumu ya uchumi na maisha inayositisha ndoto yao yakujimudu na kujiendeleza.
Taasisi hiyo imeaanda Kampeni ya...

 

10 years ago

Michuzi

Nusu fainali Dansi 100% kufanyika Don Bosco Jumamosi

Meneja wa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania,Liginiku Milinga(kulia)akiwaonesha waandishi wa habari(hawapo pichani)Simu aina ya Samsung E1205 yenye tochi na redio yenye thamani ya shilingi 25,000 tu.Zitakazopatikana katika Nusu fainali ya Dance 100 itakayofanyika jumamosi Don Bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam,pamoja nae kushoto ni Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu,Kikundi kitakachoshinda katika shindano hilo kitajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5. Meneja...

 

11 years ago

TheCitizen

Classy ABC, Don Bosco win Union League titles

>The 2014 Union basketball league curtain was brought down on Thursday with basketball giants ABC adding a silverware to their cabinet after beating Zanzibar’s Stone Town 77-50 in a thrilling match at the Gymkhana Club court in the Isles.

 

9 years ago

Michuzi

HAPATOSHA JUMAMOSI HII VIWANJA VYA DON BOSCO OYSTERBAY

 Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na mchuano wa  nusu fainali ya shindano la  Dance 100% 2015 litakalofanyika jumamosi katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam,Kundi litakaloibuka mshindi wa shindano hilo litaondoka na kitita cha shilingi Milioni 5. Anayeshuhudia kushoto ni mratibu wa shindano hilo linaloandaliwa  na EATV chini ya udhamini wa Vodacom Tanzania, Happy Shame.
 Moja...

 

9 years ago

GPL

HAPATOSHI JUMAMOSI HII VIWANJA VYA DON BOSCO OYSTERBAY

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)kuhusiana na mchuano wa nusu fainali ya shindano la Dance 100% 2015 litakalofanyika jumamosi katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam,Kundi litakaloibuka mshindi wa shindano hilo litaondoka na kitita cha shilingi Milioni 5. Anayeshuhudia kushoto ni mratibu wa shindano hilo linaloandaliwa na EATV...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani