IGP MANGU ATOA HESHMA KWA ASKARI WALIOUAWA WILAYANI MKURANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TRSLPv0SJ1g/VRxTEE0JuwI/AAAAAAAHO3U/hTFXyhMXR2Y/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Inspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Jumbe Mangu akitoa heshma za mwisho kwa miili ya askari wawili waliouawa na watu wasiojulikana huko vikindu wilaya ya mkuranga, mkoani Pwani hivi karibuni. Shughuli za kuiaga miili hiyo zilifanyika jana katika maeneo hospitali ya barabara ya kilwa jijini Dar es Salaam . Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi.
nspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Jumbe Mangu akitoa heshma za mwisho kwa miili ya askari waliouawa na watu wasiojulikana huko vikindu wilaya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-VVz0AoxKNek/VRwRT1euv7I/AAAAAAAAR3M/TN16CzqfFfY/s72-c/Slain%2Bpolice.jpg)
IGP MANGU AONGOZA WAKAZI WA DAR ES SALAAM NA PWANI KUAGA MIILI YA ASKARI WALIOUAWA KINYAMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-VVz0AoxKNek/VRwRT1euv7I/AAAAAAAAR3M/TN16CzqfFfY/s640/Slain%2Bpolice.jpg)
10 years ago
Michuzi18 Nov
IGP MANGU AONGEZA ASKARI KITETO
![E88A9486](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/E88A9486.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini,IGP Ernest Mangu akimsikiliza Diwani wa Kata ya Matui Wilayani Kiteto Bw.Athuman Kidawa wakati alipofanya ziara wilayani humo kufuatia kuwepo kwa migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji iliyosababisha kutokea mapigano yaliyosababisha kutokea kwa vifo.kushoto ni Afisa tarafa wa Matui Bw.Eliakimu Ndelekwa.(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)
![E88A9514](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/E88A9514.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ug-NBABHisU/VozvSJ8k3aI/AAAAAAAIQyo/GiQ08RZjjnE/s72-c/New%2BPicture.png)
Rais Magufuli atuma salamu za pole kwa IGP Mangu
![](http://2.bp.blogspot.com/-ug-NBABHisU/VozvSJ8k3aI/AAAAAAAIQyo/GiQ08RZjjnE/s1600/New%2BPicture.png)
Simu: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tzTovuti : www.ikulu.go.tz Faksi: 255-22-2113425
OFISI YA RAIS, IKULU, 1 BARABARA YA BARACK OBAMA, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Jeshi la Polisi hapa Nchini IGP Ernest Mangu kufuatia kifo cha msaidizi wake Inspekta - Gerald Ryoba...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-asuCk-VGCIc/UvJK9Vtpl3I/AAAAAAAFLAw/76XDIsDXTzI/s72-c/New+Picture+(8).bmp)
NEWS ALERT: IGP MANGU AFANYA MABADILIKO KWA BAADHI YA MIKOA
![](http://4.bp.blogspot.com/-asuCk-VGCIc/UvJK9Vtpl3I/AAAAAAAFLAw/76XDIsDXTzI/s1600/New+Picture+(8).bmp)
Miongoni mwa makamanda wa mikoa waliofanyiwa mabadiliko ni pamoja na aliyekuwa kamanda wa Mkoa wa Ruvuma Kamishna msaidizi mwandamizi (SACP) Deusdedit Nsimeki anayekwenda kuwa kamanda wa Polisi mkoa wa Manyara, Aliyekuwa kamanda wa Polisi...
9 years ago
Habarileo22 Dec
IGP akanusha kufuta askari kwa madai ya vyeti feki
MKUU wa Polisi nchini Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu amekanusha kufutwa kazi kwa askari kadhaa wanaodaiwa kuwa na vyeti feki kama iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii juzi na akasema Jeshi lake linamtafuta mtu ambaye amesambaza taarifa hizo alizoita za uzushi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GxEmomufk0E/Xpa1__UdKbI/AAAAAAAEGuc/NI5mxhcw8TEKXBekpL3bOAFy1rfSCtgCgCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bajali.jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: WATU 18 WAFARIKI DUNIA NA WENGINE 15 WAJERUHIWA KWA AJALI WILAYANI MKURANGA.
Watu 18 wamefariki na wengine 15 kujeruhiwa baada ya magari mawili kugongana katika kijiji cha Kilimahewa Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji, Onesmo Lyanga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Kamanda Lyanga amesema kuwa ajali hiyo imetokea leo Jumatano Aprili 15, 2020 na kwamba imehusisha lori na gari la abiria aina ya Toyota Coaster.“Ni Kweli tuko kwenye eneo la tukio, ajali imetokea na imesababisha vifo vya watu 18 na majeruhi 15,” amebainisha...