Muhongo: Niombeeni niiinue Tanzania
MMOJA wa makada wa CCM waliojitokeza kuchukua fomu za kuwania urais wa chama hicho, Profesa Sospeter Muhongo amesema pamoja na utiriri wa wagombea kutoka chama hicho tawala, mwisho wa siku nchi inapaswa kuongozwa na mtu mwenye kuielewa vyema Tanzania na ambaye atakuwa tayari kuivusha nchi kiuchumi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
Jonas Mkude: Niombeeni
KIUNGO wa timu ya Simba, Jonas Mkude amewataka Wanasimba, kumuombea aweze kupona haraka, mkono wa kushoto alioumia katika mchezo wa juzi dhidi ya Yanga, uliopigwa katika Uwanja wa Taifa, jijini...
9 years ago
Habarileo09 Nov
Magufuli: Watanzania Niombeeni
RAIS Dk John Magufuli amewataka Watanzania wa dini zote na viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali, kuendelea kumuombea ili atekeleze ahadi alizozitoa pamoja na kuinua maisha ya Watanzania.
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Afya yangu kwa sasa inaimarika, niombeeni-Pengo
10 years ago
Bongo511 Nov
‘Niombeeni’ — asema Chidi Benz, kupanda kizimbani leo
9 years ago
AllAfrica.Com17 Dec
Tanzania: Muhongo Detractors Should Prove Him Wrong
AllAfrica.com
Last Thursday, President John Magufuli announced his cabinet, approximately 37 days after he was sworn into office on November 5, this year. In the Cabinet, which is seen as lean compared to his predecessor Jakaya Kikwete's, of 60 ministers and ...
11 years ago
Habarileo21 Jul
Muhongo: Bei ya umeme Tanzania ni ya chini zaidi
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Tanzania ndiyo nchi pekee miongoni mwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), ambayo bei ya umeme ni ya chini zaidi.
9 years ago
AllAfrica.Com31 Dec
Tanzania: Time Investors Proved Muhongo Wrong
AllAfrica.com
Mwanza — The government has through the Energy and Minerals Ministry and Tanzania Electricity Supply Company (Tanesco) invited local investors to invest in the power sector. The Energy and Minerals minister, Prof Sospeter Muhongo, initially made the ...
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Profesa Muhongo: Mwenye uwezo wa kuikwamua Tanzania ni mimi
* Atangaza nia kwa kutoa takwimu za umasikini na utajiri
*Asema viwanda, gesi, umeme utaipaisha Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Musoma
WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini Sospeter Muhongo, ametangaza nia rasmi ya kuwaomba Wana CCM kumteua kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba, huku akisema ni yeye pekee mwenye uwezo wa kuikwamua nchi katika hali mbaya ya umasikini na ukosefu wa wataalamu, hali inayoifanya nchi ishindwe kupiga hatua.
Pamoja na mambo mengine, Muhongo...
11 years ago
Habarileo09 Jan
Muhongo: Tanzania ina mengi ya kuiga kwa Algeria
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Tanzania ina mambo mengi ya kuiga kutoka nchi ya Algeria, hasa eneo la uchimbaji wa madini mafuta na gesi huku akiwataka wananchi kukubali mabadiliko ili kufikia eneo walipofikia wenzetu.