Muhongo: Tanzania ina mengi ya kuiga kwa Algeria
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Tanzania ina mambo mengi ya kuiga kutoka nchi ya Algeria, hasa eneo la uchimbaji wa madini mafuta na gesi huku akiwataka wananchi kukubali mabadiliko ili kufikia eneo walipofikia wenzetu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Oct
Warioba: Katiba bado ina maswali mengi
10 years ago
Bongo513 Dec
‘Tanzania ni mfano wa kuiga’ asema mrembo wa Burundi kutokana na umoja tulionesha kwa Idris na Happiness Watimanya
5 years ago
Michuzi
SIMIYU INA FURSA YA KUZALISHA MAZAO MENGI YA BIASHARA


Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akinawa mikono kwa maji na dawa alipowasili katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu kuanza ziara ya kukagua shughuli zinazofanywa na wizara ya kilimo

Katibu Mkuu wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya ( aliyevaa tai) akitoa maelekezo kwa Maj.E. Buberwa msimamizi wa...
10 years ago
Mwananchi30 Apr
TRL ina mengi ya kujifunza, haipaswi kurudia kosa - (2)
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Dk. Mengi: Muhongo ameupotosha umma
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi amemvaa tena Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kwamba ameupotosha umma kwa kusema kuwa yeye anamiliki eneo kubwa la...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Muhongo haitakii mema nchi — Mengi
MWENYEKITI wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, amemshambulia tena Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, akidai kuwa haitakii mema nchi kutokana na kugawa vitalu vyote 27 vya gesi...
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Mengi asema Profesa Muhongo siyo mkweli
5 years ago
BBCSwahili23 Feb
Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Mkewe Reginald Mengi adai kuzuiwa kuona kaburi la mumewe Tanzania