Dk. Mengi: Muhongo ameupotosha umma
MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi amemvaa tena Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kwamba ameupotosha umma kwa kusema kuwa yeye anamiliki eneo kubwa la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Muhongo haitakii mema nchi — Mengi
MWENYEKITI wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, amemshambulia tena Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, akidai kuwa haitakii mema nchi kutokana na kugawa vitalu vyote 27 vya gesi...
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Mengi asema Profesa Muhongo siyo mkweli
11 years ago
Habarileo09 Jan
Muhongo: Tanzania ina mengi ya kuiga kwa Algeria
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Tanzania ina mambo mengi ya kuiga kutoka nchi ya Algeria, hasa eneo la uchimbaji wa madini mafuta na gesi huku akiwataka wananchi kukubali mabadiliko ili kufikia eneo walipofikia wenzetu.
10 years ago
Habarileo28 Nov
Muhongo: Fedha za Escrow si za umma
SERIKALI imesema kuwa fedha zilizokuwamo katika akaunti ya Tegeta Escrow ya wanahisa wa Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), hazikuwa za umma, na ilichukua tahadhari ya kutosha dhidi ya madai mengine yanayoweza kujitokeza kabla ya kutolewa kwa fedha katika akaunti hiyo iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Waziri Prof Muhongo asema fedha za Escrow si mali ya umma, adai bado Serikali inadaiwa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRfgzkddG9BHSifj9qMfvmCETXAvV8pgO430hKdm4IyfBK5HP2VJ*mbmoWWef9C8FdfifdQlg*sPsfZ*GxUCmV9P/mengi.jpg?width=640)
TAARIFA RASMI YA DKT. REGINALD A. MENGI MWENYEKITI MTENDAJI WA IPP LIMITED YENYE KUJIBU MAELEZO YA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA MUHONGO KUHUSU HODHI YA VITALU
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-393RB8L67uw/VSkgUxufGwI/AAAAAAAAaac/VOBM3x0ayd0/s72-c/jk823.jpg)
MKE WA BILLIONEA MENGI K-LYIN AAMUA KUBADILI JINA MARA BAADA YA KUFUNGA NDOA NA MH. MENGI
![](http://3.bp.blogspot.com/-393RB8L67uw/VSkgUxufGwI/AAAAAAAAaac/VOBM3x0ayd0/s640/jk823.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-riMQ3-qlTZs/VSkgUxBCNEI/AAAAAAAAaaY/zFfW6l5uG-s/s640/jk89.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AVxR5UeiMtw/VSkgW24dBCI/AAAAAAAAaao/0WxrEGDQO4Q/s640/meng879.jpg)
5 years ago
BBCSwahili23 Feb
Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Mkewe Reginald Mengi adai kuzuiwa kuona kaburi la mumewe Tanzania