Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jonas Savimbi, mtoto wa ‘mtumishi’ aliyeingia msituni

Risasi 15 zilizoingia katika maeneo tofauti ya mwili wa Jonas Malheiro Savimbi ziliukatiza uhai wake, baada ya miaka 27 ya mapambano ya msituni dhidi ya Serikali ya Angola.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wazazi wakubali kumzika mtoto aliyeuawa msituni

WAZAZI wakazi wa Kijiji cha Kamsisi wilayani Mlele katika Mkoa wa Katavi wamekubali kuuzika mwili wa mtoto wao Moshi Salehe (17) anayedaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi za moto na askari wa wanyamapori wa Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa).

 

10 years ago

Vijimambo

MTOTO WA NAIBU WAZIRI WA ZAMANI WA AFYA JONAS NKYA AKANA TUHUMA ZA KURUSHIANA RISASI NA MAMA YAKE

Mtoto wa Naibu Waziri wa Afya wa zamani Jonas Nkya
Jonas Nkya mtoto wa Naibu Waziri wa zamani wa Afya na Mbunge wa Morogoro kusini masgariki Lucy Nkya amewaambia waandishi wa habari kwamba habari zilizozagaa kwenye mitandao ya kijami kwamba amerushiana risasi za moto na mama yake mzazi ofisini kwao leo mkoani Morogoro.

Jonas Nkya amesema kilichotokea alipokwenda ofisini hapo kuchukua gari alielekee shamba bastola ilidondoka chini na ikajifyatua risasi moja na kuzua taharuki kwa watu. Kwanza...

 

10 years ago

Vijimambo

Mtoto albino aliyenyang'anywa mikononi mwa mamaye akutwa amekatwa miguu, mikono yote. Kiwiliwili chake chatelekezwa msituni


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo.

Siku tatu baada ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Yohana Bahati (1), kutekwa na watu wasiofahamika, hatimaye mwili wake umepatikana ukiwa umekatwa miguu, mikono yote na kiwiliwili chake kufukiwa shambani katika Kitongoji cha Mapinduzi, Kijiji cha Rumasa ndani ya hifadhi ya msitu wa Biharamulo Wilaya ya Chato, mkoani Geita.

Mtoto huyo alinyakuliwa Jumapili iliyopita nyumbani kwao saa 2:15 usiku akiwa amebebwa na mama yake mzazi, Esther...

 

9 years ago

Habarileo

RC: Diwani aliyeingia kutajirika ajiondoe

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu amesema diwani anayefikiri ameingia madarakani kwa lengo la kupata utajiri ni vyema ajiondoe mapema, kwa kuwa serikali haitavumilia mtu atakayebainika kujihusisha na rushwa, watachukuliwa hatua.

 

10 years ago

Mwananchi

Savimbi alikimbia udaktari ili kupigania uhuru-2

Baada ya kuuawa katika mapambano na vikosi vya Serikali ya Namibia mwaka 2002, Jonas Savimbi alizikwa katika Kijiji cha Lucusse kilichopo umbali wa kilometa 1000 kutoka mji mkuu wa Angola, Luanda.

 

11 years ago

Mwananchi

Savimbi: Kabla ya kuuawa alinusurika kifo mara 15

Jonas Malheiro Savimbi alizaliwa Agosti 3, 1934 katika mji wa Munhango, Jimbo la Moxico katika kitongoji cha Reli ya Benguela, nchini Angola.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jonas Mkude: Niombeeni

KIUNGO wa timu ya Simba, Jonas Mkude amewataka Wanasimba, kumuombea aweze kupona haraka, mkono wa kushoto alioumia katika mchezo wa juzi dhidi ya Yanga, uliopigwa katika Uwanja wa Taifa, jijini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jonas Mkude arejea Simba

KIUNGO wa Simba, Jonas Mkude, amerejea rasmi kikosini na kuanza mazoezi baada ya kuwa benchi kwa wiki sita akiwa na majeraha aliyopata akiwa na timu ya soka ya Tanzania, Taifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani