Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Savimbi alikimbia udaktari ili kupigania uhuru-2

Baada ya kuuawa katika mapambano na vikosi vya Serikali ya Namibia mwaka 2002, Jonas Savimbi alizikwa katika Kijiji cha Lucusse kilichopo umbali wa kilometa 1000 kutoka mji mkuu wa Angola, Luanda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

AFRICAN BARRICK YASAINI MKATABA WA KUENDELEZA NA KUBORESHA CHUO CHA MUHIMBILI ILI KUBORESHA TAALUMA YA UDAKTARI

Kampuni ya African Barrick Gold (ABG) imesaini mkataba wa miaka miwili (MoU) na Chuo Kikuu cha Afya cha Muhimbili (MUHAS) idara ya Mazingira na Afya bora kazini(Environmental and Occupational Health Sciences) ili kuboresha taluma za madaktari.
Ushirikiano huu utawezesha wanafunzi wa idara hiyo kupata nafasi za kwenda kufanya masomo kwa vitendo yani (field practise) kwenye ofisi na migodi ya kampuni ya ABG, pia pesa hizo zitatumika kwenye kukarabati majendo na utoaji wa vifaa...

 

5 years ago

Michuzi

Ofisi za ukaguzi kujengwa nchi nzima ili kuongeza uhuru wa kufanya kazi


Na Amiri kilagalila,Njombe

Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali nchini Bw,Charles E Kichere,amesema ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa ofisi ya Taifa ya ukaguzi mkoa wa Njombe inayoendelea kujengwa mkoani humo,huku akiagiza kukamilishwa kwa ofisi hizo kabla ya mwezi wa sita ili ziweze kutumika.

Akiwa katika eneo la jengo za ofisi hizo lililopo Lunyanywi halmashauri ya mji wa Njombe,Kichere amesema anahitaji majengo hayo kukamilika kabla ya mwezi wa sita ili watumishi wapate...

 

10 years ago

GPL

Phiri alikimbia bao la Jaja Taifa

Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri. Na Wibert Molandi
KOCHA Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri, wikiendi iliyopita alipishana na bao kali lililofungwa kiufundi na Geilson Santos Santana ‘Jaja’ na lingine la kiungo mshambuliaji, Simon Msuva. Mzambia huyo, alipishana na mabao hayo wakati alipokwenda kuushuhudia mpambano wa Ngao ya Jamii uliowakutanisha wapinzani wao Yanga na Azam FC uliomalizika kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Jonas Savimbi, mtoto wa ‘mtumishi’ aliyeingia msituni

Risasi 15 zilizoingia katika maeneo tofauti ya mwili wa Jonas Malheiro Savimbi ziliukatiza uhai wake, baada ya miaka 27 ya mapambano ya msituni dhidi ya Serikali ya Angola.

 

11 years ago

Mwananchi

Savimbi: Kabla ya kuuawa alinusurika kifo mara 15

Jonas Malheiro Savimbi alizaliwa Agosti 3, 1934 katika mji wa Munhango, Jimbo la Moxico katika kitongoji cha Reli ya Benguela, nchini Angola.

 

11 years ago

Habarileo

Tucta kupigania PAYE ishuke

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), limeazimia kuendelea kupigania kushushwa kwa Kodi ya Mshahara (PAYE) kutoka asilimia 13 inayokatwa hivi sasa hadi asilimia tisa, ili mfanyakazi apate ahueni ya maisha.

 

9 years ago

BBCSwahili

TP Mazembe watua Japan kupigania ubingwa

Mabingwa wa soka Afrika TP Mazembe wamewasili mjini Osaka, Japan wa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake 5 kupigania taji la soka la BBC

Mshindi wa taji hilo atatangazwa mnamo mwezi May.

 

9 years ago

BBCSwahili

Yaya Toure kupigania tuzo ya CAF

Kiungo wa kati wa Ivory Coast Yaya Toure yumo miongoni mwa wachezaji 10 walioteuliwa kushindania tuzo ya mchezaji bora wa CAF mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani