Wazazi wakubali kumzika mtoto aliyeuawa msituni
WAZAZI wakazi wa Kijiji cha Kamsisi wilayani Mlele katika Mkoa wa Katavi wamekubali kuuzika mwili wa mtoto wao Moshi Salehe (17) anayedaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi za moto na askari wa wanyamapori wa Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Nigeria:Wazazi wawasaka watoto msituni
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Jonas Savimbi, mtoto wa ‘mtumishi’ aliyeingia msituni
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qurjWLm0IL3Zg*GdwBKG0*YnZivT-ERAQD7bxteJFXn6tqe2ge16t5lVeDmmQjSEqt4S1xY113bFlaMkkNRwURs/4.jpg)
MAMA WA MTOTO ALBINO ALIYEUAWA AMLIZA JB
10 years ago
Vijimambo19 Feb
Mtoto albino aliyenyang'anywa mikononi mwa mamaye akutwa amekatwa miguu, mikono yote. Kiwiliwili chake chatelekezwa msituni
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Joseph-konyo-19Feb2015.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo.
Siku tatu baada ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Yohana Bahati (1), kutekwa na watu wasiofahamika, hatimaye mwili wake umepatikana ukiwa umekatwa miguu, mikono yote na kiwiliwili chake kufukiwa shambani katika Kitongoji cha Mapinduzi, Kijiji cha Rumasa ndani ya hifadhi ya msitu wa Biharamulo Wilaya ya Chato, mkoani Geita.
Mtoto huyo alinyakuliwa Jumapili iliyopita nyumbani kwao saa 2:15 usiku akiwa amebebwa na mama yake mzazi, Esther...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avqOshNr46D7vBhs9oF7yLzd3hNSR4mbmSNT3XhgNrYGIi**7YigpyyqJRjlmutkYl-scMHEmNmlkxwgprN4AElY/FRONTUWAZI.jpg)
POLISI ALIYEUAWA AKIMUOKOA MTOTO, HAYA NDIYO MANENO YAKE YA MWISHO!
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Bendera aongoza mamia kumzika mtoto Nasra
NA MWANDISHI WETU, MOROGORO
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, jana aliongoza mamia ya wakazi wa mkoa huo katika mazishi ya mtoto Nasra Mvungi, aliyekaa kwenye boksi kwa miaka minne.
Nasra alifariki dunia Jumapili iliyopita katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), alikokuwa amelazwa akitokea katika Hospitali ya Rufani ya Morogoro.
Mazishi hayo yalifanyika katika makaburi ya Kola, Manispaa ya Morogoro, ambayo yalitanguliwa na ibada ya sala pamoja na kuuaga mwili wa mtoto huyo katika...
10 years ago
Bongo Movies23 Feb
JB, Mzee Majuto na Richie Wamtembelea Mama wa Mtoto Albino Aliyeuawa…Wamwaga Machozi
Wikiendi iliyopita staa wa sinema za Kibongo, Jacob Steven ‘JB’ alijikuta akiangua kilio na kuungwa mkono na mastaa wenzake, Amri Athumani ‘Mzee Majuto’ na Single Mtambalike ‘Richie’ walipomtembelea wodini mama mzazi wa mtoto Albino, Yohana Bahati (1) aliyeuawa kikatili, Ester Thomas (30) ambaye naye alijeruhiwa vibaya kichwani, Ijumaa Wikienda linakuhabarisha.
Tukio hilo la majonzi lilijiri kwenye Hospitali ya Bugando mkoani hapa ambapo wasanii hao walikwenda kumfariji mama wa mtoto huyo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t8odeSRq6vc/VLLd22zKJeI/AAAAAAAG8x0/g2nCevSP7Ec/s72-c/unnamed%2B(48).jpg)
VIONGOZI MBALIMBALI WA AFRIKA WAJITOKEZA KUMZIKA MTOTO WA RAILA ODINGA NCHINI KENYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-t8odeSRq6vc/VLLd22zKJeI/AAAAAAAG8x0/g2nCevSP7Ec/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SXxdg3J_XEM/VLLd3DsWHoI/AAAAAAAG8x4/-ulYo8EoC6U/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PieiB-5Iqz8/VLLd3PuLblI/AAAAAAAG8x8/w7W-5OgLO7U/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
10 years ago
Habarileo10 Oct
'Wazazi zingatieni haki za mtoto'
WAZAZI na walezi wa watoto wamehimizwa kuzingatia haki za mtoto katika malezi yao kuanzia ngazi ya familia kwa kuwapa stahili zote muhimu zinazotajwa katika Katiba, sheria na mikataba ya kimataifa ambayo Tanzania imeiridhia.