Yanga play down investigation on Kaseja, Yondani
The reigning Mainland champions, Young Africans, have dismissed reports that their two players are under investigation for alleged match-fixing.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6HgOL6Vn7M-*XwkmKJD9xT5B3gsM7nomySjuE1NUe0diPUtDT3u8zxwsUFxEAr*0eteG*0PV9JnSVBagZ8eAGcdM/1.jpg?width=650)
YONDANI, KASEJA WATAJWA FEDHA ZA AZAM
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNbx2mRmi3e79ZiE4IuddfJQ9O2PNsRZeO5DxjXpFf17lnEwVgHBADn8qj0bOmVzzO8Eo7TGdFttcWCyU2XKVdNM/bobani.jpg?width=650)
Baba Yondani awavaa Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj1oUSquckziRkCQ79YD5GbY*dEFC0vQ3AizZF8pWaScJZW*SuTIRtVR8KzmVoRXffTz-rkrmft1jgcCMuhgAmZ9/YONDANI.jpg?width=650)
Yondani naye atoweka Yanga
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MECHI 15 LANGONI AKIWA YANGA NA KARUHUSU GOLI 10 YANGA YA SEMA NENDA KASEJA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-aPaGg6PG8Uo%2FVK63KAKkm_I%2FAAAAAAADVGg%2FKUDFaMpRG_s%2Fs1600%2FIMG_50362.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
YANGA SC imetangaza rasmi kuachana na mlinda mlango Juma Kaseja, iliyemsajili kwa Sh. Milioni 40 Novemba 8, mwaka juzi.Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga SC, Jerry Muro amewaambia Waandishi wa Habari leo katika hoteli ya Zanzibar Ocean View visiwani hapa kwamba, hatua hiyo imefikiwa baada ya mchezaji huyo kuanza kujiengua katika timu.“Tumefikia uamuzi wa kuachana na Kaseja, baada ya yeye mwenyewe kuanza kujiengua katika timu,”amesema MuroMwishoni mwa mwaka jana, Kaseja...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3eTK84mM5zdLfaf67oAonKYqNMT*0dRBh0cqH701vdnzDeJ9qxDYOSTlpnrWSh9mxfUILS5GmYZ8fZg8IekK-w4/yondani.gif?width=650)
Yondani, Kiiza wafunguliwa milango Yanga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j5WbzQSo3h-JWOss2wJ7rNsQkZDr3JrWzBifOjp2rloTRQpLpsuv*TDlJAl4d-mE87qmxOBw8g8eaeDSARQJ4ed7vfETfQRc/IMMMA.jpg)
Yondani, Cannavaro watupwa nje Yanga
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Kocha Pluijm amrudisha Yondani kikosini Yanga
10 years ago
Mtanzania09 Jan
Kaseja atimuliwa Yanga
JUDITH PETER NA SAADA AKIDA
KLABU ya soka ya Yanga, imevunja mkataba wake na kipa, Juma Kaseja, kwa kushindwa kufuata kanuni na masharti yaliyowekwa na uongozi wa klabu hiyo, kuchelewa kuripoti kambini kwa saa 48 na kutohudhuria mazoezi.
Yanga ilitoa tahadhari kuwa mchezaji yeyote ambaye atashindwa kuripoti kambini ndani ya saa 48 na kukosa mazoezi bila ruhusa maalumu ya kocha, atakuwa amevunja mkataba wake na kujifukuzisha kazi.
Kaseja amekuwa mchezaji wa kwanza wa Yanga kukumbwa na adhabu...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Kaseja: Yanga inapiga siasa