Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YONDANI, KASEJA WATAJWA FEDHA ZA AZAM

Kipa wa Yanga, Juma Kaseja. Na Sweetbert Lukonge
HALI si shwari Yanga, wachezaji wa timu hiyo, kipa Juma Kaseja na beki wake, Kelvin Yondani wamekalia kuti kavu ndani ya klabu hiyo na huenda wakatimuliwa baada ya kutuhumiwa kuihujumu katika mechi yake ya Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Mgambo kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, wikiendi iliyopita.
Wachezaji hao wanadaiwa kupokea mamilioni ya fedha kutoka Azam ili wacheze...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Yanga play down investigation on Kaseja, Yondani

The reigning Mainland champions, Young Africans, have dismissed reports that their two players are under investigation for alleged match-fixing.

 

9 years ago

Raia Mwema

Wazanzibar watajwa Wizara ya Fedha, Elimu

MAJINA ya Wazanzibari wawili yamechomoza kama mojawapo ya watu wanaoweza kupewa nafasi ya kuongoz

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam yaimwagia fedha timu ya Madola

KAMPUNI ya Azam jana ilitoa kiasi cha dola 93,000 za Marekani kwa timu ya taifa inayokwenda Glasgow, Scotland kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola. Fedha hizo zilizokabidhiwa jana kwa Naibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yanogesha usajili kwa kumwaga fedha

>Harakati za usajili zimeongezewa nguvu baada ya Kampuni ya Azam Media kutoa Sh462 milioni  kwa ajili ya maandalizi ya klabu za Ligi Kuu Bara msimu ujao utakaoanza Agosti 23.

 

11 years ago

GPL

Yondani aibukia Arusha

Beki wa Yanga, Kelvin Yondani ‘Vidic’. Na Martha Mboma
SIKU moja baada ya gazeti hili kuripoti kuwa beki wa Yanga, Kelvin Yondani ‘Vidic’, hajulikani alipo, huku baba yake mzazi, mzee Patrick Yondani, akikiri juu ya hilo, mchezaji huyo amerejea kikosini na kujiunga na msafara ulienda Arusha kucheza mechi dhidi ya JKT Oljoro. Yondani japokuwa amesafili na timu hiyo lakini kuna kila dalili kuwa mchezaji...

 

9 years ago

Mwananchi

Pluijm: Yondani, Cannavaro igeni

Kocha mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amewataka mabeki Ligi Kuu wakiwamo wa klabu yake, Kelvin Yondani na Nadir Haroub ‘Cannavaro’ waige aina ya ukabaji wa beki wa Azam, Pascal Wawa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Yondani mikononi mwa TFF

BENCHI la ufundi la timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars chini ya kocha wake Mart Nooij, limesema halitambui sababu za beki wa timu hiyo Kelvin Yondani kushindwa kwenda kambini,...

 

11 years ago

GPL

Yondani naye atoweka Yanga

Beki wa Yanga, Kelvin Yondani. Na Khadija Mngwai
IMEBAINIKA kuwa beki wa Yanga, Kelvin Yondani ameamua kuondoka klabuni hapo bila ya kufukuzwa tangu mechi dhidi ya Mgambo JKT, huku kocha wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm akiwa hana taarifa zozote juu yake. Yondani hakucheza mechi ya juzi dhidi ya Kagera Sugar pamoja na ile ya JKT Ruvu ambapo ilielezwa kuwa, aliwekwa nje kwa kuwa alikuwa na kadi tatu za njano. Kikizungumza na...

 

11 years ago

Mwananchi

Swita amvulia kofia Yondani

Kiungo wa JKT Ruvu, Emmanuel Swita amemtaja nahodha wa Kilimanjaro Stars, Kelvin Yondani kuwa ndiye mchezaji bora wa kikosi hicho kilichoshiriki michuano ya Chalenji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani