Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam yaimwagia fedha timu ya Madola

KAMPUNI ya Azam jana ilitoa kiasi cha dola 93,000 za Marekani kwa timu ya taifa inayokwenda Glasgow, Scotland kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola. Fedha hizo zilizokabidhiwa jana kwa Naibu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TIMU YA UONGOZI WA FEDHA ZANZIBAR YAIFUNGA TIMU YA CHUO UTALII 2-1

Naibu Waziri akikagua timuNaibu W#aziri akikagua timu
Mashabiki wakiingia uwanjani.Wachezaji wa timu zote wakiingia uwanjani kucheza soka iliyiachezewa uwanja wa Aman anzibar.
Mashabiki wakiingia uwanja wa AmanNaibu Waziri wa Mifugo akisalimiana na marefaMahsahibi wakiwa wakiwauwanjani

 

11 years ago

Tanzania Daima

Membe: Tuna uhakika timu ya Madola

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema ana uhakika na wachezaji wote walioweka kambi nje ya nchi kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya Jumuiya...

 

11 years ago

Mwananchi

Fedha za Madola ‘zatafunwa’

Licha ya Kampuni ya Said Salim Bakhresa kutoa msaada wa dola 93,000 (Sh 153.9 milioni) kwa ajili ya kusaidia timu za Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola, imebainika kuwa fedha hizo zimetumika kinyume na malengo hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yapiga tafu madola

Wanamichezo wanaokwenda kushiriki michuano ya Madola wamepata dola 93,000, sawa na Sh160 milioni kutoka Kampuni ya Said Salim Bakharessa iliyowakabidhi jana mbele ya Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia.

 

11 years ago

Michuzi

TIMU YA TANZANIA KATIKA MICHEZO YA JUMUIYA YA MADOLA YATUA JIJINI GLASGOW, SCOTLAND

 Timu ya Tanzania kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola imewasili katika  uwanja wa ndege wa Kimataifa Glasgow, Scotland jana usiku wa kuamkia leo kwa ndege ya Shirika la ndege la Falme za Kiarabu (Emirates).

 Jumla ya wanamichezo 42 waliwasili Uwanjani hapo na kupokelewa  na Afisa Ubalozi wa Tanzania London Bw. Amos Msanjila. Pamoja na mapokezi na shamrashamra za wenyeji, baadhi ya Watanzania waishio Glasgow walikuwepo Uwanjani hapo wakipeperusha bendera za Tanzania kuwahamasisha wanamichezo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete akabidhi bendera timu ya taifa ya riadha itayoshiriki michuano ya jumuiya ya madola huko Glasgow, Scotland

ta6

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wachezaji na viongozi wa timu ya Taifa ya riadha inayoondoka kesho Julai 16, 2014 kwenda Glasgow, Scotland, kwenye Michezo ya Jumuiya ya Madola kwenye hafla fupi ya kukabidhi bendera iliyofanyika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam na kushuhudiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernand Membe, Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe Juma Nkamia na wadau wa michezo.(PICHA NA IKULU).

ta1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete...

 

11 years ago

Michuzi

Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola yakaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow

Waogeleaji wa Tanzania Mariam Foum, Hilal Hemed na Ammaar Ghadiyali wakiwa tayari kwa michuano jijini Glasgow. Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola imekaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow,  Uskochi.Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola imekaribishwa rasmi leo kayika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow,  Uskochi.

 

10 years ago

Mwananchi

Amisi Tambwe hatihati kuivaa timu ya Azam

Mshambuliaji mpya wa Yanga Amisi Tambwe huenda akakosekana kwenye pambano la Jumapili dhidi ya Azam FC baada ya kupata majeraha kwenye nyama za paja.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Hatuoni shida kutoa fedha, timu ifanikiwe’

Uongozi wa Yanga umesema hasara ‘roho’ pesa makaratasi, na salio kwao ni kawaida sana ndo maana wameteketeza zaidi ya Euro 50,000 (Sh100 milioni ) kwa ajili ya kambi ya wiki mbili nchini Uturuki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani