Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Hatuoni shida kutoa fedha, timu ifanikiwe’

Uongozi wa Yanga umesema hasara ‘roho’ pesa makaratasi, na salio kwao ni kawaida sana ndo maana wameteketeza zaidi ya Euro 50,000 (Sh100 milioni ) kwa ajili ya kambi ya wiki mbili nchini Uturuki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TIMU YA UONGOZI WA FEDHA ZANZIBAR YAIFUNGA TIMU YA CHUO UTALII 2-1

Naibu Waziri akikagua timuNaibu W#aziri akikagua timu
Mashabiki wakiingia uwanjani.Wachezaji wa timu zote wakiingia uwanjani kucheza soka iliyiachezewa uwanja wa Aman anzibar.
Mashabiki wakiingia uwanja wa AmanNaibu Waziri wa Mifugo akisalimiana na marefaMahsahibi wakiwa wakiwauwanjani

 

11 years ago

Mwananchi

Hatuoni maandalizi ya medali michezo ya Madola

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo bendera yake itapepea jijini Glasgow huko Scotland katika ufunguzi wa michezo ya Jumuiya ya Madola utakaofanyika Julai 23.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam yaimwagia fedha timu ya Madola

KAMPUNI ya Azam jana ilitoa kiasi cha dola 93,000 za Marekani kwa timu ya taifa inayokwenda Glasgow, Scotland kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola. Fedha hizo zilizokabidhiwa jana kwa Naibu...

 

10 years ago

Michuzi

TIMU YA HARAKATI YA IMETOSHA KUELEKEA KANDA YA ZIWA KUTOA SOMO


Balozi Henry Mdimu akiongea na vyombo vya habari

Taasisi isiyo ya ki serikali ya Imetosha Foundation inayopinga unyanyapaa, ukatili na mauaji dhidi ya watu wenye ualbino kwa njia ya elimu, inatarajia kutuma ujumbe mzito kanda ya ziwa hapo kesho kwa maandalizi ya ujio wa timu nzima ya taasisi hiyo iliyojikita kwenye kubadilisha mtazamo (mind set) wa watu juu ya janga hili. Ujumbe huo utaongozwa na mwenyekiti wa taasisi hiyo Bw Masoud Kipanya, Balozi Henry Mdimu Mgaya na katibu Salome...

 

9 years ago

StarTV

Uhaba wa fedha Waikabili timu ya Kikapu mkoa wa Mwanza.

 Chama cha mpira wa kikapu  mkoa wa Mwanza MRBA kinakabiliwa na ukata wa fedha za kuendesha kambi ya timu ya mkoa inayojiandaa kwa michuano ya taifa cup itakayoanza novemba 21 mwaka huu mkoani Dodoma.

Katibu wa MRBA Shomari Almasi ametoa wito kwa wadau wa michezo mkoani hapo kukisaidia chama hicho ili kuiwezesha timu ya mkoa kushiriki vyema michuano ya Taifa CUP ambayo mkoa wa Mwanza umeshindwa kushiriki kwa miaka minne mfululizo.

 StarTV imefika katika viwanja vya BOT pasiansi Mwanza mahali...

 

10 years ago

Habarileo

‘Epukeni wagombea wenye kutoa fedha’

WATANZANIA wametakiwa kujihadhari na wanasiasa wanaowania urais, ubunge na udiwani kwa kutumia fedha ili kuepusha taifa kuongozwa na watu wenye nguvu za fedha, badala ya kusimamia Katiba ya nchi.

 

11 years ago

Habarileo

TASAF yaanza kutoa fedha kwa kaya masikini

MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF ) kwa upande wa Zanzibar tayari umetumia jumla ya Sh milioni 77.758 kwa ajili ya kuzihudumia kaya zenye watu masikini na kuendesha maisha yao na kujikwamua na umasikini.

 

10 years ago

Habarileo

Korea Kusini kutoa fedha za daraja jipya Selander

Balozi wa Jamhuri ya Korea Kusini nchini, Chung IlSERIKALI ya Jamhuri ya Korea ya Kusini hatimaye imekubali kutoa fedha kwa ajili ya kuanza ujenzi wa daraja jipya la kisasa la Selander.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI ITAENDELEA KUTOA KIPAUMBELE KUTAFUTA RASILIMALI FEDHA ZA NDANI NA NJE


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasilisha taarifa ya Ofisi hiyo kuhusu kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyotengewa fedha kwa mwaka wa fedha 2019/2020 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira jijini leo Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe. Sadiq Murad akiongoza kikao cha kupokea na kujadili taarifa ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani