Uhaba wa fedha Waikabili timu ya Kikapu mkoa wa Mwanza.
Chama cha mpira wa kikapu mkoa wa Mwanza MRBA kinakabiliwa na ukata wa fedha za kuendesha kambi ya timu ya mkoa inayojiandaa kwa michuano ya taifa cup itakayoanza novemba 21 mwaka huu mkoani Dodoma.
Katibu wa MRBA Shomari Almasi ametoa wito kwa wadau wa michezo mkoani hapo kukisaidia chama hicho ili kuiwezesha timu ya mkoa kushiriki vyema michuano ya Taifa CUP ambayo mkoa wa Mwanza umeshindwa kushiriki kwa miaka minne mfululizo.
StarTV imefika katika viwanja vya BOT pasiansi Mwanza mahali...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV27 Nov
Uhaba waikabili Muhimbili licha ya kupata Mashine Ya Kupumulia moja
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imepokea msaada wa mashine moja ya kupumulia lakini bado inakabiliwa na uhaba wa mashine hizo kwani kabla ya msaada huo ilikuwa na mashine 12 za zamani.
Kulingana na viwango vya kimataifa vya Shirika la Afya Duniani WHO, hospitali kama ya Muhimbili inatakiwa kuwa na vitanda 150 vya wagonjwa mahututi na mashine za kupumulia.
Mashine iliyotolewa msaada ni ya kisasa ikiwa na thamani ya Dola elfu 36 za Marekani, ambazo ni sawa na Shilingi milioni 80 za...
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
18 wateuliwa timu ya taifa kikapu
SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu (TBF) limeteua makocha wa timu ya taifa itakayoshiriki michuano ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, mapema mwakani. Makocha walioteuliwa ni Evarist Mapunda...
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Kikapu wataja timu ya Taifa
9 years ago
MichuziWADAU WAJITOKEZA KUISAIDIA TIMU YA KIKAPU MBEYA
Na Emanuel Madafa, MbeyaWachezaji 22 wa mpira wa kikapu Mkoa wa Mbeya, tayari wamefanikiwa kuondoka mkoani humo kwa ajili ya kushiriki mashindano ya Taifa CUP, yatakayofanyika Mkoani Dodoma November 22 hadi November 30 mwaka huu.Wachezaji hao walishindwa kusafiri mapema kuelekea mkoani Dodoma kushiriki mashindano hayo kutokana na kukabiliwa na uhaba wa fedha hali iliyofanya kuwepo na maandalizi hafifu.Aidha kufanikiwa kwa timu hiyo kunatokana na kujitokeza kwa Kampuni ya vinywaji...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wunnLHpUvzk/VVt0I9IwmfI/AAAAAAADnvs/eHaQxTDcm5k/s72-c/unnamed.jpg)
TIMU YA UONGOZI WA FEDHA ZANZIBAR YAIFUNGA TIMU YA CHUO UTALII 2-1
![](http://4.bp.blogspot.com/-wunnLHpUvzk/VVt0I9IwmfI/AAAAAAADnvs/eHaQxTDcm5k/s640/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VKGyuln3ZZ0/VVt0NY0RHRI/AAAAAAADnv0/8yE-Lbkopd4/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y23eP06eif0/VVtzqkm5S2I/AAAAAAADnu8/iAOTF8A8V0A/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_-RPV7OtOQo/VVtzukBiK5I/AAAAAAADnvE/qp-kH9kmR3g/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y4fzTTDcM0o/VVtzx5K4nlI/AAAAAAADnvM/2f5qVOxvxgM/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JGPyptHD2Do/VVtz16SVKBI/AAAAAAADnvU/R2zj2qSXNzc/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vi9doOien00/VVtz_6Xo9WI/AAAAAAADnvc/CiuBZs1Ljqw/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UhG8RudvJvk/VVt0E7dAMdI/AAAAAAADnvk/C8IS84IHxYU/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Uhaba wa fedha waathiri wagonjwa Zanzibar
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Uhaba wa fedha kuathiri mechi za Malawi
9 years ago
MichuziTIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA DAR WAENDELEA KUJIFUA KUJIANDAA KUWAKABILI WENZAO WA MKOA WA ARUSHA
Mbali na mchezo huo pia timu hizo zinatarajia kufanya shughuli za Kijamii, ikiwa ni pamoja na kutembelea wagonjwa na Vituo vya Albino kwa lengo la kudumisha Amani na Mshikamano...