Uhaba wa fedha kuathiri mechi za Malawi
Malawi imetangaza kuwa huenda ikashindwa kushiriki katika mechi za kufuzu kwa dimba la bara afrika mwaka 2015.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Uhaba wa fedha waathiri wagonjwa Zanzibar
9 years ago
StarTV13 Nov
Uhaba wa fedha Waikabili timu ya Kikapu mkoa wa Mwanza.
Chama cha mpira wa kikapu mkoa wa Mwanza MRBA kinakabiliwa na ukata wa fedha za kuendesha kambi ya timu ya mkoa inayojiandaa kwa michuano ya taifa cup itakayoanza novemba 21 mwaka huu mkoani Dodoma.
Katibu wa MRBA Shomari Almasi ametoa wito kwa wadau wa michezo mkoani hapo kukisaidia chama hicho ili kuiwezesha timu ya mkoa kushiriki vyema michuano ya Taifa CUP ambayo mkoa wa Mwanza umeshindwa kushiriki kwa miaka minne mfululizo.
StarTV imefika katika viwanja vya BOT pasiansi Mwanza mahali...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/1Gh6zLc17M0/default.jpg)
ANGALIA MECHI NZIMA YA TANZANIA NA MALAWI ILIYOCHEZWA JUMATANO OCT 7, 2015 UWANJA WA TAIFA
Mabao ya washambuliaji nyota wa TP Mazembe, Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu, yalitosha kuipa Taifa Stars ushindi wa 2-0 dhidi ya timu ya taifa ya Malawi katika mechi ya kwanza ya hatua ya awali kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia nchini Urusi 2018 iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana.
Ushindi huo ni wa kwanza kwa kocha mkuu mpya, mzawa Boniface Mkwasa tangu akabidhiwe mikoba Juni 21 mwaka huu na ni wa kwanza kwa timu hiyo ya taifa ya Tanzania mwaka huu baada ya...
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Mgogoro kuhusu amri ya kutotoka nje Malawi na mipango ya kuwalipa raia fedha
11 years ago
TheCitizen25 May
Malawi’s President Banda declares Malawi election ‘null and void’
11 years ago
Malawi Today24 Mar
Deadlock in Malawi and Tanzania on Lake Malawi border mediation talks
Coastweek
Malawi Today
Mediation talks between Malawi and neighbouring Tanzania on the border dispute over Lake Malawi ended in a deadlock last week. Head of the mediating team, former Mozambican President Joaquim Chissano is quoted by allafrica.com as having publicly ...
Tanzania: After Two Days, No Agreement Over Lake NiassaAllAfrica.com
Dar firm on border claimDaily News
Tanzania, Malawi fail to reach agreement on border...
5 years ago
MichuziKUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana.
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AWASILI MALAWI KUMWAKILISHA MHE. RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA ALIYEKUWA BALOZI WA MALAWI NCHIN