TIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA DAR WAENDELEA KUJIFUA KUJIANDAA KUWAKABILI WENZAO WA MKOA WA ARUSHA
Wachezaji wa timu ya Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini Mkoa wa Dar es Salaam, wakiwa katika mazoezi ya pamoja yanayoendelea kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa kirafiki kati yao na timu ya Kamati ya Amani ya Mkoa wa Arusha unaotarajiwa kuchezwa mwishoni mwa mwezi huu.
Mbali na mchezo huo pia timu hizo zinatarajia kufanya shughuli za Kijamii, ikiwa ni pamoja na kutembelea wagonjwa na Vituo vya Albino kwa lengo la kudumisha Amani na Mshikamano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fOPdXHGg36o/Vd2v7g9NK6I/AAAAAAAH0K4/e3s6pin_3Hc/s72-c/1.jpg)
TIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA DAR, YAENDELEA KUJIFUA UWANJA WA KARUME KUJIANDAA KUWASAMBARATISHA WENZAO WA ARUSHA MWEZI UJAO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fOPdXHGg36o/Vd2v7g9NK6I/AAAAAAAH0K4/e3s6pin_3Hc/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z36_hzm3vZs/Vd2v-5x7SzI/AAAAAAAH0Lw/cnDEx-rvP4k/s640/3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Kamanda Mpinga atembelea kambi ya timu ya kamati Amani ya viongozi wa dini mkoa wa Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-WBowwnVQC5g/Vd2qqYeHqNI/AAAAAAACh-I/mBMfKQ5rtIs/s640/5.jpg)
Kamanda Mpinga, akisalimiana na walimu wa timu hiyo, baada ya mazoezi yao kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, leo asubuhi.
*Yajifua uwanja wa Karume kujiandaa kuwasambaratisha wenzao wa Arusha mwezi ujao
Mchungaji wa Kanisa la Penuel Healing Ministry Ubungo Kibangu, Mch. Alphonce Temba (kulia) akimramba chenga Mchungaji wa Kanisa la KKKT Mashariki ya Pwania, George Fupe, wakati wa mazoezi yao yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, leo asubuhi kwa ajili ya...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/TMz0w96JaQE/default.jpg)
RAIS KIKWETE AISHUKURU NA KUIPONGEZA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA MWANZA
10 years ago
Dewji Blog03 May
9 years ago
MichuziTIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI YAJIFUA NA MABALOZI, YAKABIDHIWA MIPIRA
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Pinda aalikwa futari ya kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini wa Dar na Mwanza
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Kamati za Amani za mikoa ya Dar es salaam na Mwanza walioshiki katika futari iliyoandaliwa na Kamatiya Amaniya mkoa wa Dar es salaam kwenye ukumbi wa Karimjee Juni 3, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
9 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DODOMA AWATAKA VIONGOZI WA DINI KUSISITIZA AMANI NA UTULIVU WAKATI WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Cd6Cu0UY7JE/VZefM-zAFtI/AAAAAAAHmwk/edCEdtxiluE/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
WAZIRI MKUU PINDA AALIKWA FUTARI NA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI WA DAR ES SALAAM NA MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cd6Cu0UY7JE/VZefM-zAFtI/AAAAAAAHmwk/edCEdtxiluE/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DSjnqFFp5os/VZefMYlTo3I/AAAAAAAHmwg/YO7yDZFsJmw/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t-DlWN_auq4/VZefOCq92sI/AAAAAAAHmws/jecxmB5lWMY/s640/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete Afungua Mkutano wa Kamati ya Amani Mkoa wa Dar es Salaam