18 wateuliwa timu ya taifa kikapu
SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu (TBF) limeteua makocha wa timu ya taifa itakayoshiriki michuano ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, mapema mwakani. Makocha walioteuliwa ni Evarist Mapunda...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Kikapu wataja timu ya Taifa
9 years ago
MichuziWADAU WAJITOKEZA KUISAIDIA TIMU YA KIKAPU MBEYA
Na Emanuel Madafa, MbeyaWachezaji 22 wa mpira wa kikapu Mkoa wa Mbeya, tayari wamefanikiwa kuondoka mkoani humo kwa ajili ya kushiriki mashindano ya Taifa CUP, yatakayofanyika Mkoani Dodoma November 22 hadi November 30 mwaka huu.Wachezaji hao walishindwa kusafiri mapema kuelekea mkoani Dodoma kushiriki mashindano hayo kutokana na kukabiliwa na uhaba wa fedha hali iliyofanya kuwepo na maandalizi hafifu.Aidha kufanikiwa kwa timu hiyo kunatokana na kujitokeza kwa Kampuni ya vinywaji...
9 years ago
StarTV13 Nov
Uhaba wa fedha Waikabili timu ya Kikapu mkoa wa Mwanza.
Chama cha mpira wa kikapu mkoa wa Mwanza MRBA kinakabiliwa na ukata wa fedha za kuendesha kambi ya timu ya mkoa inayojiandaa kwa michuano ya taifa cup itakayoanza novemba 21 mwaka huu mkoani Dodoma.
Katibu wa MRBA Shomari Almasi ametoa wito kwa wadau wa michezo mkoani hapo kukisaidia chama hicho ili kuiwezesha timu ya mkoa kushiriki vyema michuano ya Taifa CUP ambayo mkoa wa Mwanza umeshindwa kushiriki kwa miaka minne mfululizo.
StarTV imefika katika viwanja vya BOT pasiansi Mwanza mahali...
10 years ago
MichuziTimu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.
11 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA CHESS YAKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA KWENDA KUSHIRIKI MASHINDANO YA KIMATAIFA NCHINI NORWAY
11 years ago
GPLTIMU 2O BORA ZA TAIFA DUNIANI
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Basi la timu ya taifa TZ lakamatwa
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Kolo kuacha kuchezea Timu ya Taifa