Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NCCR-Mageuzi yakanusha kumshinikiza Ruhuza kujiengua

CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimeelezea kusikitishwa na uzushi kuwa, kilimshinikiza Katibu Mkuu aliyemaliza muda wake, Samwel Ruhuza kujitoa kutetea kiti hicho katika dakika za mwisho siku ya uchaguzi mkuu wa chama hicho mwishoni mwa wiki iliyopita.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mbatia, Ruhuza kuwania tena uongozi NCCR-Mageuzi

>Chama cha NCCR-Mageuzi kitafanya Uchaguzi Mkuu wake Januari 18 mwaka huu, huku Mwenyekiti wa chama hicho, James Mbatia na  Katibu Mkuu wake, Samwel Ruhuza wakijitosa.

 

9 years ago

Vijimambo

ALIYEKUWA MAKAMU MWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI ASEMA TARARIBU ZA KUNING'OA NAFASI YANGU ZILIKIUKWA NA NCCR -MAGEUZI


Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi,Letcia Mosore (katikati)akizungumza na waandishi wa (habari hawapo pichani)  juu  ya ukiukaji wa katiba ya chama hicho kumvua madaraka iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mwakilishi NCCR-Mageuzi ,Hamlyn Erasto,Kushoto ni Kamishina Mkoa wa Ruvuma,Mchatta Mchatta.Baadhi ya waandishi wakiwa katika mkutano huo.

Na Chalila Kibuda

AALIYEKUWA  Makamu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Letcia Mosore amesema kuwa taratibu za kumvua nafasi...

 

11 years ago

Mwananchi

Mizengwe yamng’oa Katibu Ruhuza NCCR

Mpango uliosukwa na baadhi ya wajumbe wa mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi kumng’oa aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Samwel Ruhuza umetimia baada ya Ruhuza kujitoa dakika za mwisho katika uchaguzi wa nafasi ya Katibu Mkuu, huku akieleza kuwa hakuwa tayari kugombea nafasi hiyo na aliyeibuka mshindi ni Mosena Nyambabe.

 

11 years ago

TheCitizen

NCCR-Mageuzi gets new secretary-general

Mr Mosena Nyambabe has been elected NCCR-Mageuzi Secretary-General. Mr Nyambabe was elected by the party’s Central Committee when it met on Sunday.

 

9 years ago

Habarileo

NCCR Mageuzi yaongezewa majimbo

CHAMA cha NCCR Mageuzi kimesema katika mgawanyo wa majimbo yaliyofanywa na vyama vinavyounda umoja wa katiba (Ukawa) kimeongezewa majimbo mengine matano na hivyo kufanya chama hicho kuwa na majimbo 19 ambako watasimamisha wagombea.

 

10 years ago

Mtanzania

NCCR-Mageuzi yapuliza kipenga

mosenaJonas Mushi na Adamu Mkwepu, Dar es Salaam
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimetoa ratiba kwa wanachama wake kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Ratiba hiyo ilitangazwa jana na Katibu Mkuu wa NCCR Mageuzi, Mosena Nyambabe, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika makao makuu ya chama hicho.
Alisema wanachama wenye sifa kwa mujibu wa katiba ya NCCR- Mageuzi pamoja na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wana haki ya...

 

11 years ago

Habarileo

NCCR-Mageuzi yamkingia kifua Kafulila

David KafulilaKITENGO cha Vijana wa Chama cha NCCRMageuzi kimesema kinamuunga mkono mbunge wa Kigoma Kusini kupitia chama hicho, David Kafulila, kuhusu harakati za kutaka uchunguzi huru kuhusu suala la fedha za akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu (BoT) inayoihusu kampuni ya IPTL.

 

9 years ago

Mwananchi

Meya Bukoba aibukia NCCR — Mageuzi

Aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Bukoba, Dk Anatory Amani amehama CCM na kujiunga NCCR – Mageuzi baada ya juhudi za kujiunga Chadema kugonga mwamba.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali: NCCR Mageuzi fuateni taratibu

>Siku moja baada ya Chama cha NCCR-Mageuzi kuitaka serikali kumpa ulinzi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kutokana na vitisho anavyopata baada ya kusimama  Bungeni na kutaka suala la upotevu wa fedha Escrow lichunguzwe, Serikali imesema ni lazima chama hicho kifuate taratibu zinazotakiwa ndipo waweze kupatiwa ulinzi wanaoutaka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani