Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taarifa ya CAG kutawala Bunge

MKUTANO wa 14 wa Bunge unaendelea leo huku taarifa ya ukaguzi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na taarifa nyingine za kamati, zikitarajiwa kutawala mkutano huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Hoja za Muungano, maslahi kutawala Bunge wiki hii

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linatarajia kuendelea na shughuli zake leo ambapo Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, inatarajiwa kuwasilisha makadirio ya bajeti yake.

 

5 years ago

Michuzi

RAIS, DKT. MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA CAG YA 2018/2019, APOKEA TAARIFA YA PCCB IKULU YA CHAMWINO LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Ripoti ya Mwaka 2018-2019 kutoka kwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG Charles Kichere katika hafla fupi iliyofanyika katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 26/03/2020.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akisoma Muhtasari wa Taarifa ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG ya Mwaka 2018-2019 iliyokuwa ikiwasilishwa na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG Charles Kichere...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS, DKT. MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA CAG YA 2018/2019, APOKEA TAARIFA YA PCCB IKULU YA CHAMWINO LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Ripoti ya Mwaka 2018-2019 kutoka kwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG Charles Kichere katika hafla fupi iliyofanyika katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 26/03/2020.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akisoma Muhtasari wa Taarifa ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG ya Mwaka 2018-2019 iliyokuwa ikiwasilishwa na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG Charles Kichere...

 

11 years ago

Habarileo

CUF wawasilisha taarifa za hesabu kwa CAG

BARAZA Kuu la Chama cha Wananchi CUF, limesema chama hicho kimeandaa na kuwasilisha taarifa za fedha za chama hicho na kuziwasilisha kwa Msajili wa Vyama vya Siasa na kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serika (CAG).

 

11 years ago

Habarileo

Vyama 10 vyashindwa kutoa taarifa kwa CAG

VYAMA 10 vya siasa kati ya 21 vyenye usajili wa kudumu, vimeshindwa kuwasilisha hesabu zao za vyama kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa ajili ya ukaguzi. Kati ya hivyo, vyama 11 havikuwasilisha taarifa zao huku vinne vilivyokaguliwa havina akaunti ya benki.

 

10 years ago

Habarileo

CAG: Taarifa za ukaguzi ziripotiwe kwa uangalifu

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Juma AssadMDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Musa Juma Asaad ametoa wito kwa asasi za kiraia pamoja na vyombo vya habari nchini kupitia kwa umakini na uangalifu taarifa za ukaguzi wa hesabu zinazotolewa na ofisi hiyo ili kuepusha upotoshaji wakati wa kuelimisha jamii.

 

11 years ago

Habarileo

'CAG akague matumizi Bunge Maalum'

WAJUMBE wa Bunge Maalamu la Katiba, kutoka kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), limemtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya ukaguzi maalumu kwenye matumizi ya fedha za bunge hilo, ili kubaini ufujaji wa fedha usio halali.

 

10 years ago

TheCitizen

Bunge team begins work on CAG report

>A parliamentary team today begins to dissect the voluminous report by the Controller and Auditor General (CAG) on the Tegeta escrow account scandal following the official release of the document by the Office of the Speaker.

 

10 years ago

Habarileo

Bunge laanza kufuatilia dosari ripoti ya CAG

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeanza kushughulikia dosari zilizobainishwa kwenye ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) kwenye halmashauri 140 nchini kwa mwaka wa fedha 2012/2013.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani