'CAG akague matumizi Bunge Maalum'
WAJUMBE wa Bunge Maalamu la Katiba, kutoka kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), limemtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya ukaguzi maalumu kwenye matumizi ya fedha za bunge hilo, ili kubaini ufujaji wa fedha usio halali.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania