Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Angela Merkel azungumzia mzozo wa Syria.

Ujerumani imesema Rais wa Syria Bashar al-Asad, anapaswa kushiriki katika mazungumzo yenye lengo la kumaliza mzozo wa nchi yake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Deni la Ugiriki,mwiba kwa Angela Merkel

Bunge la Ujerumani limeanza kujadili kuhusu maamuzi ya mwisho ya kulipwa kwa deni la Ugiriki .

 

9 years ago

Michuzi

JK akutana na Kiongozi wa Ujerumani Angela Merkel jijini New York

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana  na kiongozi wa Ujerumani Chancellor Angela Merkel kwenye ubalozi wa kudumu wa Ujerumani Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani jana  jioni.Rais Kikwete yupo katika ziara ya kikazi nchini Marekani ambapo mbali na kukutana na wadau wa Maendeleo anatarajiwa kutoa hotuba yake katika kikao cha 70 cha Baraza Kuu la Umioja wa Mataifa(UN General AssemblyRais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kiongozi wa Ujerumani Chancellor Angela Merkel kwenye...

 

9 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete akutana na Kiongozi wa Ujerumani Angela Merkel jijini New York

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kiongozi wa Ujerumani Chancellor Angela Merkel kwenye ubalozi wa kudumu wa Ujerumani Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani leo jioni.Rais Kikwete yupo katika ziara ya kikazi nchini Marekani ambapo mbali na kukutana na wadau wa Maendeleo anatarajiwa kutoa hotuba yake katika kikao cha 70 cha Baraza Kuu la Umioja wa Mataifa(UN General Assembly.(picha na Freddy Maro)

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkutano kuhusu mzozo wa Syria waanza-Uswizi

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ameambia pande zinazozozana nchini Syria kuwa wakati umefika wa kufanya mashauriano ya kusitisha mzozo huo

 

5 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa Syria: Baba amfundisha mwanae kuyacheka mabomu kukabiliana na dhiki ya vita

Mashambulio ya anga na mabomu yalimfanya baba wa Syria Abdullah Mohammad kubuni njia mpya ya kumsaidiabinti yake kuishi na sauti za vita: Kicheko.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

10 years ago

BBCSwahili

Merkel:Ni sawa Uingereza kujitoa EU

Kiongozi wa Ujerumani, Angela Merkel amesema yuko tayari kuona Uingereza ikijitoa Umoja wa UIaya kuliko kukwamisha mambo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Merkel ataka suluhu kwa mazungumzo

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel,amesema historia inatoa funzo la umuhimu wa kupata suluhu ya migogoro kwa njia ya majadiliano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani