Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baba mzazi wa Nyalandu afagilia mwanae kutaka Urais

DSC03122

Baba yake Waziri wa Maliasili na Utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini,(Lazaro Samwel Nyalandu), mzee Samwel Nyalandu akizungumzia uamuzi wa mtotowake  Lazaro kuwania urasi kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Amedai amepokea uamuzi huo kwa mikono miwili akiamini kuwa Lazaro atamudu nafasi hiyo nyeti ya urais.

Na Nathaniel Limu, Singida

BABA mzazi wa Waziri wa Maliasili na Utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini, Samwel Nyalandu (70), alisema amepokea kwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WATOTO WAMJIA JUU BABA YAO MZAZI BAADA YA KUTAKA KUUZA ARDHI YAKE ILIYOKO ENEO LA KIJENGE JIJINI ARUSHA


Na Woinde Shizza ,ARUSHA
MGOGORO wa kugombea mali ikiwemo ardhi na majengo umeibuka katika familia ya Mzee  Saimon  Kamakia mara baada ya watoto wa mzee huyo kumtuhumu baba yao kutaka kuwapora ardhi ambayo waliachiwa urithi baada ya marehemu mama yao,  kufariki dunia.
Kuibuka kwa mgogoro huo umeonekana umevuta hisia za wakazi wa eneo la Kijenge na ndani ya Jiji la Arusha na umesababisha kuvuruga amani ndani ya familia hiyo.
Baadhi ya watoto wa Mzee Kamakia akiwemo Nusin Kamakia walidai hatua ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MBONGO AUAWA KWA SUMU UJERUMANI, MZAZI AOMBA MSAADA WA NAULI KWENDA KUMZIKA MWANAE


Marehemu Robert John Mpwata (34) enzi za uhai wake.
Na Makongoro Oging’, Issa Mnally/Uwazi
MTU mmoja anayeaminika kuwa ni Mtanzania, Robert John Mpwata (34) anadaiwa kuuawa kwa kuwekewa sumu na mwili wake kukutwa chumbani kwake katika Mji wa Shorten nchini Ujerumani siku chache zilizopita.

Habari kutoka kwa baadhi ya marafiki zake waliopo huko, zinasema Robert aliyekuwa mwanamichezo aliyecheza sarakasi, karate na judo, aliwasiliana nao kwa njia ya simu mara kwa mara na walipata taarifa za kifo...

 

11 years ago

GPL

BABA ACHOMA MOTO MWANAE

Stori: Francis godwin, Iringa
HUU ni ukatili uliopitiliza! Wakati  wanaharakati mbalimbali nchini wakiwemo wa Mtandao wa Kijinsia Tanzania (TGNP) wakipinga vikali vitendo vya ukatili, baba  wa kufikia, Musa Mdetela, mkazi wa mjini hapa anasakwa na polisi kwa kosa la kuwachoma moto miguuni wanaye wa kambo. Mdetela anadaiwa kuwafanyia unyama huo watoto hao, Baraka anayesoma darasa la kwanza na Mudi wa darasa la sita ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baba Mbeya aua mwanae kwa ngumi

MKAZI wa Kijiji cha Isisi, wilayani Mbarali, Patrick Njolo, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mwanae kwa kumpiga ngumi. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed Msangi, alisema jana kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

KATIKA HALI YA KUTATANISHA BABA AMTUPA MWANAE KWENYE MAJI


Daraja
Mwanaume mmoja amefikishwa mahakamani kwa kosa la mauaji baada ya polisi kudai kuwa alimtupa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 kutoka juu ya daraja mjini St Petersburg.Afisa wa polisi alisema alijionea tukio hilo la kushangaza baada kumwandama John Jonchuck Jr, mwenye umri wa miaka 25, baada ya kuona akiendesha gari lake kwa kasi, alisema afisaa mkuu wa polisi Anthony Holloway.Mtoto huyo aliyetupwa ndani ya maji yenye kina cha mita 18 alipatikana akiwa amefariki saa moja baadaye.Polisi...

 

10 years ago

Vijimambo

Diamond Platnumz 'Baba mtarajiwa' aanza kukusanya midoli ya mwanae kuchezea!

Diamond Platnumz kama mwanaume yeyote yule anayetarajia kuwa baba kwa mara ya kwanza tena kupitia mwanamke ampendaye, amepania vilivyo kumkaribisha mwanae kwenye sayari ya dunia.Staa huyo ambaye hivi karibuni alikuwa nchini India, amepost picha akiwa supermarket kununua midoli kadhaa kwaajili ya mwanae huyo ajaye.“Ushamba huu, eti nimeshaanza kununua vitoy vya kuchezea,” ameandika Diamond kwenye picha hiyo.

 

10 years ago

Bongo5

Baba wa marehemu Geez Mabovu amtembelea Lamar kusikiliza kazi alizoacha mwanae

Baba wa marehemu, Geez Mabovu, Mzee Ally, amemtembelea producer Lamar kwenye studio zake jijini Dar es Salaam na kuzungumza mambo mbalimbali kuhusu kazi za mwanae zilizosalia. Lamar ameiambia Bongo5 kuwa Mabovu aliacha ngoma saba ambazo zitatoka kwa njia ya album itakayouzwa. “Alikuja tu kunitembelea na kusikiliza kazi ambazo aliacha Geez,” amesema Lamar. “Mimi ndo nina […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa Syria: Baba amfundisha mwanae kuyacheka mabomu kukabiliana na dhiki ya vita

Mashambulio ya anga na mabomu yalimfanya baba wa Syria Abdullah Mohammad kubuni njia mpya ya kumsaidiabinti yake kuishi na sauti za vita: Kicheko.

 

10 years ago

GPL

BABA MZAZI KANIBAKA MIEZI 2

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya/Risasi
BINTI mwenye umri wa miaka 12 aliyejitambulisha kwa jina moja la Irine, mkazi wa Mbagala-Charambe, Dar amesimulia tukio la kusikitisha akidai kubakwa na baba yake mzazi kwa muda wa takribani miezi miwili. Akilisimulia Risasi Jumamosi mkasa huo wa kusikitisha hivi karibuni nyumbani kwao maeneo hayo, binti huyo alisema kuwa baba yake aliyemtaja kwa jina moja la Israel alikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani