Abaka ajuza wa miaka 90
MAHAKAMA ya Mkoa wa Tabora, imemhukumu mkazi wa Kijiji cha Mabama wilayani Uyui, Malando Charles (30), kifungo cha miaka 30 jela na kulipa fidia ya Sh 500,000, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka bibi kizee wa umri wa miaka 90.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Ajuza miaka 90: anasoma darasa la nne
Priscilla Gogo Sitienei ana ana umri wa miaka tisini anasoma darasa la nne.
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vya corona: Ajuza wa miaka 111 apona nchini Chile
Bi Zúñiga alikutwa na ugonjwa huo baada ya kutokea mlipuko wa maambukizi katika kituo cha kulea wazee ambacho anatunzwa.
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Lata Kare: Ajuza mwenye umri wa miaka 68 anayekimbia bila viatu kuokoa maisha ya mume wake
Lata Kare ni ajuza mwenye umri wa miaka 68. Kwa kipindi cha miaka mitatu iliopita amekimbia na kushinda mbio za marathon za kilomita 3 katika eneo la Maharashatra, magharibi mwa I
11 years ago
Mwananchi28 Jun
UKATILI: Baba abaka bintiye, amwambukiza Ukimwi
>“Amini usiamini hizi ni zama za mwisho mwanangu, mimi hili suala bado haliniingii akilini kabisa, kwani nilizoea kusikia kama hadithi kuwa mzazi ana uhusiano wa mapenzi na mwanawe, lakini leo hii yamenikuta ya kunikuta,†haya ni maneno ya Bhoke Mwita (siyo jina halisi), mama mzazi wa binti anayedaiwa kubakwa na baba yake mzazi kwa miaka minne.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm0vB8bbcVEW1OnMnjha9QThGx*lVEz8XgxmA3j-uAt61QbIvLAXgt1fLO6EjSFmuAegoTp3DnpfXwDuLeKCzrMI/oya.jpg?width=650)
DENTI SEKONDARI ABAKA MADENTI 3 WA SHULE YA MSINGI
Gladness Mallya na Deogratius Mongela
UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Firauni! Katika hali isiyo kawaida denti wa kidato cha kwanza aliyetajwa kwa jina moja la Musa anadaiwa kuwabaka wanafunzi watatu wa shule ya msingi hadi kuwaharibu sehemu za siri. Mmoja wa watoto wanaodaiwa kubakwa na mwanafunzi wa sekondari.
Tukio hilo la karne lilitokea Kigogo-Luhanga jijini Dar ambapo denti huyo wa sekondari anayeishi na bibi yake...
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Ajuza aliyedhulumiwa kukutana na Abe
Mwanammke mmoja wa Korea aliyedhulumiwa kingono na jeshi la Japan atarajiwa kuhudhuria kikao cha baraza la Congress
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Ajuza awatukana wapiganaji wa IS Syria
Zaidi ya watu millioni moja katika mtandao wa facebook wameiona video katika mtandao kuhusu ajuza wa Syria anayewakashifu IS
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Ajuza amfundisha adabu jambazi
Ajuza mwenye umri wa miaka 80 alimpiga mwizi usoni mwake nchini Uingereza na kumuogopesha kiasi cha kutoroka.
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Google yamtuza mwanafunzi ajuza Kenya
Marehemu mzee Maruge aliweka historia kwa kuwa mwanafunzi mkongwe zaidi kujiunga na shule na msingi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania