Ajuza miaka 90: anasoma darasa la nne
Priscilla Gogo Sitienei ana ana umri wa miaka tisini anasoma darasa la nne.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 Jun
Abaka ajuza wa miaka 90
MAHAKAMA ya Mkoa wa Tabora, imemhukumu mkazi wa Kijiji cha Mabama wilayani Uyui, Malando Charles (30), kifungo cha miaka 30 jela na kulipa fidia ya Sh 500,000, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka bibi kizee wa umri wa miaka 90.
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vya corona: Ajuza wa miaka 111 apona nchini Chile
10 years ago
Mtanzania21 Apr
Mwanafunzi darasa la nne ajinyonga chumbani
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
MWANAFUNZI wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Pugu jijini Dar es Salaam, Festo Filbert (11) amekutwa chumbani kwake akiwa amejinyonga hadi kufa kwa kutumia mkanda wa kuvalia nguo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, Mary Nzuki alisema tukio hilo lilitokea jana katika eneo la Majohe kwa Ngozoma.
Alisema sababu za kujinyonga mwanafunzi huyo bado hazijafahamika kwani hakuacha ujumbe wowote.
“Mtoto huyu alikutwa chumbani kwake anakolala akiwa peke...
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Lata Kare: Ajuza mwenye umri wa miaka 68 anayekimbia bila viatu kuokoa maisha ya mume wake
11 years ago
MichuziMWANAFUNZI DARASA LA NNE AKATWA MAPANGA NA MFANYAKAZI WA NYUMBANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-_MM7tpmIl2E/U6QJ4FTFCtI/AAAAAAAFr7Q/WGL50Sp5Yuo/s1600/Mama+mzazi+akiwa+na+Mwanafunzi+wa+darasa+la+nne+wa+shule+ya+msingi+Motomoto+kata+ya+Vumilia+wilayani+Urambo+aliyekatwakatwa+mapanga+na+mfanyakazi+wa+nyumbani+kwa+madai+ya+kunyimwa+hela+na+baba+mzazi+wa+mtoto+hu.jpg)
MTOTO Perezi Christian (12) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la nne
katika shule ya msingi Motomoto iliyoko katika kata ya Vumilia wilaya
ya Urambo mkoani Tabora amekatwakatwa mapanga mikononi na miguuni na mfanyakazi wa...
9 years ago
GPL16 Nov
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0tCD7jWaICQ/VEt2EVZBZuI/AAAAAAAGtRc/elPxLu9DFIA/s72-c/mgeni%2Brasmi2.jpg)
MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE NA DARASA LA SABA SHULE YA SEKONDARI MWILAMVYA KASULU KIGOMA
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Jenista Muhaga wakati wa mahafali ya kidato cha nne na darasa la saba wa shule ya sekondari ya Mwilayamvya medium iliyopo Wilayani Kasulu Mkoani...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/x0C--hI9EPU/default.jpg)
9 years ago
StarTV30 Nov
Watu wa nne wahukumiwa miaka 32 jela kwa uvamizi Nzega.
Mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya nzega imewahukumu kifungo cha miaka 32 jela watu nane kwa kosa la kufanya uvamizi na kuiba dhahabu tofali sita na nusu zenye thamani ya zaidi ya hsilingi bilioni 4 katika mgodi wa dhahabu wa resolute
Akitoa hukumu hiyo hakimu mkazi silyvester kainda amesema washitakiwa mawazo saliboko ,edward bunera ,shaaban amuru,john ndaki,pius shija ,aloyce zindoro ,davidi ndaki pamoja na frenk kabuche wamehukumiwa kwenda jela miaka 30 baada kutiwa...