Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VURUGU KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI HII SIYO SIASA

Na Igenga Mtatiro, Tarime Hii siyo siasa! Ndivyo walivyokuwa wakisema watu wengi mjini hapa baada ya hivi karibuni kushuhudia mtu mmoja, Mwita Bhoke Watei (37), mkazi wa Kijiji cha Nyandage, Kata ya Nyanungu, Tarime mkoani hapa, akiuawa kwa kukatwa mapanga katika vurugu za kampeni za uchaguzi zinazoendelea nchini kote kwa sasa......Soma zaidi===>http://bit.ly/1J9g6dp ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Vurugu hizi kwenye kampeni ni ishara mbaya

Wiki iliyopita tulitoa pongezi kwa vyama vya siasa kwa kuanza kampeni kistaarabu na mikutano mingi kutoingiliwa na vurugu, isipokuwa kwenye sehemu chache ambazo viongozi walidiriki kutoa maneno yasiyostahili dhidi ya wapinzani wao.

 

9 years ago

Habarileo

Tume yakemea vurugu, matusi kwenye kampeni

TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imekemea vurugu na mauaji yaliyotokea wakati wa mikutano ya kampeni za vyama vya siasa inayoendelea katika sehemu mbalimbali nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vurugu hizi kwenye uchaguzi hapana

JUMAPILI iliyopita, kata 27 nchini zilifanya uchaguzi mdogo kujaza nafasi zilizoachwa wazi na waliokuwa madiwani wake kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za vifo na kujiuzulu. Vyama mbalimbali vilishiriki uchaguzi huo,...

 

11 years ago

CloudsFM

WASANII WAMWALIKA RAIS KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI YA ‘NAIAMINIA TANZANIA’,JUMAMOSI HII KWENYE UWANJA WA JAMHURI, DODOMA

Naiminia Tanzania ndiyo habari ya mjini, weekend hii siku ya Jumamosi ndani ya uwanja wa Jamhuri,Mkoani Dodoma wasanii wa fani mbalimbali hapa nchini wameandaa ufunguzi wa kampeni kubwa inayoitwa ‘Naiaminia Tanzania’.Ambayo ni muendelezo wa ile ngoma yao ya miaka 50 ya tanzania, ambayo waliirekodi wasanii 50, wakashuti na video.Msanii wa Bongo Fleva,Mwana FA pamoja na Nikki Wa Pili watatoa speech mbele ya mgeni rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, rais wa...

 

9 years ago

GPL

KUELEKEA UCHAGUZI... MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAMBULISHA KAMPENI YA AMANI

Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini, Jaji Francis Mutungi (katikati) akizungumza na wanahabari mapema leo, kulia ni msanii wa tungo za kiswahili, Mrisho Mpoto na kulia ni mwimbaji wa nyimbo za Injili, Christina Shusho. Msanii wa nyimbo za asili, Mrisho Mpoto akizungumza wakati wa mkutano huo. TAAARIFA KWA VYOMO VYA HABARI Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, pamoja na majukumu yake ya msingi, inayo pia jukumu la...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kadinda: Wema Anachangamoto Hii Kwenye Siasa

Meneja wa Wema Sepetu, Martin Kadinda amesema anaamini kuwa muigizaji huyo anaweza kuwa kiongozi mzuri japo changamoto inayomkabili ni kubadilisha mawazo ya watu juu yake hasa kutokana na maisha yake ya ustaa na mapenzi.

Martin ameiambia Bongo5 kuwa kinachotakiwa sasa ni kuwabadili watu waanze kumchukulia kama mwanamke anayeweza kuwa kiongozi.

“Watu wengi wametokea kumsupport kwa sababu walikuwa wanamsikia baba yake akimtaka aingie kwenye siasa, na wengine walikuwa wanamtaka Wema aingie...

 

9 years ago

Michuzi

BARAZA LA VYAMA VYA SIASA NCHINI WAJADILI MWENENDO WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU

Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Peter Kuga Mziray akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na kutafakari  mwenendo  wa Kampeni unavyoendelea na Changamoto na Utatuzi wake katika Ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar,kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya Fedha ya Baraza la vyama vya Siasa Constantine Akitanda na kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge na Siasa ya Baraa la vyama vya Siasa Lifa Chopaka.-Baadhi ya Waandishi wa Habari waliohudhuria katika Mkutano na Mwenyekiti wa Baraza la...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baraza la vyama vya Siasa nchini wajadili mwenendo wa kampeni za Uchaguzi Mkuui!

DSC_0206

Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Peter Kuga Mziray akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na kutafakari  mwenendo  wa Kampeni unavyoendelea na Changamoto na Utatuzi wake katika Ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar,kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya Fedha ya Baraza la vyama vya Siasa Constantine Akitanda na kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge na Siasa ya Baraa la vyama vya Siasa Lifa Chopaka. (Picha na Yussuf Simai-Maelezo Zanzibar)

Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar

Baraza la...

 

11 years ago

Michuzi

Tume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo

TUME ya Taifa ya uchaguzi imevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuhakikisha kuwa wanawatumia mawakala wanaotoka katika maeneo au vituo husika vya kupigia kura,ambao watawafahamua na kuwatambua wapiga kura wa eneo husika. 
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani