LHRC: Wanasiasa acheni lugha chafu
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeomba Msajili wa Vyama vya Siasa, kukaa na vyama vya siasa na kuvitaka viache kutoa lugha ya vitisho, kashfa na ubaguzi wa kijinsia kwenye mikutano ya kampeni.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Baraza lasikitishwa lugha chafu za wabunge
BARAZA la Vyama vya Siasa Tanzania, limesikitishwa na hatua inayofanywa na baadhi ya wabunge ambao wanaonyesha tabia zisizoendana na nyadhifa walizopewa na wananchi. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini...
11 years ago
Habarileo27 Mar
Lugha chafu Chalinze zamkera Lubuva
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema vipo baadhi ya vyama vya siasa vinavyotumia lugha za chuki na zisizokuwa na staha katika kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Chalinze, mkoani Pwani.
9 years ago
BBCSwahili18 Dec
Putin atumia lugha chafu kushutumu Uturuki
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Kubenea kizimbani kwa kutoa lugha chafu
9 years ago
GPLBASATA YAONYA LUGHA CHAFU NA MAADILI KWENYE KAMPENI
10 years ago
Mwananchi02 Apr
‘Viongozi wa dini acheni kuwatembeza wanasiasa’
9 years ago
Mwananchi21 Oct
NEC: Wanasiasa acheni kutumia majukwaa vibaya
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
BASATA yaonya wasanii dhidi ya lugha chafu, maadili wakati huu wa kampeni za kisiasa
Katibu Mtendaji, Basata, Godfrey L. Mngereza.
Katika siku za hivi karibuni kumeibuka wimbi la wasanii kuvunja maadili, kukaidi adhabu na kutumia lugha chafu kwa makusudi katika kazi za Sanaa hususan muziki hali ambayo imezua malalamiko, masikitiko na hofu kwa jamii ambayo ni walaji wa kazi za Sanaa.
Lugha hiyo chafu ambayo inajidhihirisha kwa matusi ya wazi, maneno ya uchochezi, kashfa, kejeli, dharau na udhalilishaji wa kada mbalimbali za kijamii wakiwemo viongozi wa kitaifa inaonesha wazi...
9 years ago
MichuziBASATA YAONYA LUGHA CHAFU, MAADILI HUSUSAN KATIKA KIPINDI HIKI CHA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
Lugha hiyo chafu ambayo inajidhihirisha kwa matusi ya wazi, maneno ya uchochezi, kashfa, kejeli, dharau na udhalilishaji wa kada mbalimbali za kijamii wakiwemo viongozi wa kitaifa inaonesha wazi kulenga katika kuigawa jamii na kufifisha...