Athari ya lugha za asili katika Kiswahili
Niliwahi kueleza katika makala zangu za hapo awali na kusisitiza kuwa bado wako waandishi wengi wanaoendelea kufanya makosa ya hapa na pale bila kuzingatia ufasaha na usanifu wa lugha ya Kiswahili. Nilitilia mkazo katika uandishi hasa kwa upande wa sintaksia, mofolojia na semantiki katika Kiswahili. Niliwasihi waandishi wawe makini wanapoandika makala na taarifa  za matukio mbalimbali. Watumie lugha sanifu na iliyo fasaha ili wasomaji wapate habari zilizo sahihi na za ukweli....
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Sep
Nadharia za asili ya lugha ya Kiswahili
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE MINGINE .
KIINGILIO BUREEEEE

10 years ago
Mwananchi03 Nov
Jiendeleze katika lugha ya Kiswahili
10 years ago
Mwananchi19 May
Mambo ya msingi katika uandishi wa lugha ya Kiswahili
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili
9 years ago
Habarileo29 Dec
‘Maombi kwa lugha za asili si dhambi’
WAUMINI wa Kanisa Katoliki nchini wametakiwa wakati fulani kutumia lugha za makabila yao wanapofanya maombi binafsi wawapo kanisani.
11 years ago
BBCSwahili03 Feb
Uandishi lazima uheshimu Lugha Asili
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Utafiti wa Lugha ya Kiswahili
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Lugha sanifu ya Kiswahili.