Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Athari ya lugha za asili katika Kiswahili

Niliwahi kueleza katika makala zangu za hapo awali na kusisitiza kuwa bado wako waandishi wengi wanaoendelea kufanya makosa ya hapa na pale bila kuzingatia ufasaha na usanifu wa lugha ya Kiswahili. Nilitilia mkazo katika uandishi hasa kwa upande wa sintaksia, mofolojia na semantiki katika Kiswahili. Niliwasihi waandishi wawe makini wanapoandika makala na taarifa   za matukio mbalimbali. Watumie lugha sanifu na iliyo fasaha ili wasomaji wapate habari zilizo sahihi na za ukweli....

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Nadharia za asili ya lugha ya Kiswahili

Historia ya lugha ya Kiswahili imegawanyika katika vipindi tofauti katika ukuaji na kuenea kwake, lakini asili ya lugha hii imeelezewa na wataalamu wengi kupitia hoja mbalimbali.

 

10 years ago

Vijimambo

DARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER

Image result for atc metro DMVJUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAWAKARIBISHA WATOTO WOTE KUSHIRIKI SIKU YA WHITE OAK CENTER ; SAA 5:00 ASUBUHU HADI SAA 8:00 MCHANA1700 April Lane, Silver Spring
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE  MINGINE .

KIINGILIO  BUREEEEE        











 

10 years ago

Mwananchi

Jiendeleze katika lugha ya Kiswahili

Watu makini katika lugha ya Kiswahili waliwahi kusema kuwa njia pekee za kukieneza na kukiimarisha Kiswahili ni kuandaa maandishi ambayo yatasomwa na watu wengi kwa kuzingatia msemo usemao, “Watu hupenda kusikia lakini zaidi sana hutaka kuona”. Kwa hiyo kwa kupitia njia ya uandishi itawezesha kusaidia habari kusomwa na kuenea sehemu kubwa ya nchi na watu wengi wakasoma maandishi hayo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo ya msingi katika uandishi wa lugha ya Kiswahili

>KABLA kuanza makala yangu,  napenda  kuwafahamisha  wasomaji  wangu kuwa  baadhi yao wameniletea   maoni na mawazo  kuhusu mambo mbalimbali ya  msingi katika  lugha.

 

10 years ago

Mwananchi

Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili

makala zangu kwa muda mrefu uliopita, nilieleza juu makosa mbalimbali yanayotokea katika magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Nilieleza kuwa kipimo cha kujitathmini kwetu kama kweli tunathamini utamaduni wetu ni jinsi tunavyoenzi mila na desturi zetu na hasa lugha yetu ya Kiswahili ambayo ni urithi tuliopata kutoka kwa wazee wetu waliotutangulia. Wazee wetu walijitoa muhanga kuilinda lugha yetu kwa kutunga tenzi, mashairi, hadithi, tambo za aina mbalimbali  na hasa nyimbo, misemo, nahau na...

 

9 years ago

Habarileo

‘Maombi kwa lugha za asili si dhambi’

WAUMINI wa Kanisa Katoliki nchini wametakiwa wakati fulani kutumia lugha za makabila yao wanapofanya maombi binafsi wawapo kanisani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uandishi lazima uheshimu Lugha Asili

Mwandishi Profesa Abbas Kiyimba, wa chuo kikuu cha Makerere amesisitiza umuhimu wa kuendeleza lugha za Afrika katika Uandishi.

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti wa Lugha ya Kiswahili

Katika mojawapo ya makala zangu, nimewahi       kueleza kuwa mojawapo ya njia za kukiimarisha Kiswahili ili kiwe kweli ni tunu ya taifa ni lazima serikali itoa fedha za kutosha za kufanya utafiti lengo likiwa ni kuimarisha msamiati na istilahi za Kiswahili na hatimaye kuchapisha kamusi za istilahi za taaluma mbalimbali. Tunaweza kufanya hivyo kwa kutumia hazina iliyopo katika lugha zetu za asili zikiwamo lugha za Kibantu na pia zile ambazo siyo za Kibantu. Eneo jingine la...

 

10 years ago

Mwananchi

Lugha sanifu ya Kiswahili.

Katika makala zangu zilizotangulia, nilijikita zaidi katika makosa yanayojitokeza katika magazeti ya Kiswahili ya kila siku. Wanaosoma makala haya baadhi wamefanikiwa kuepuka makosa yao. Ni matumaini yangu kuwa moyo wa kupenda kujiendeleza uendelee kuimarika na kushamiri kwa lengo la kuwa mfano wa kuigwa kwa waandishi wengin

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani