Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maombi ya asante kwa Museveni Uganda

Waumini nchini Uganda wamekusanyika katika uwanja wa Kololo mjini Kampala kwa maombi maalum ya kutoa shukurani kwa Rais Museveni kwa kuidhinisha sheria dhidi ya mapenzi ya jinsia moja

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14

Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14 kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.

 

9 years ago

Mtanzania

Museveni, JK wajadili mafuta ya Uganda

Museveni - 1NA MWANDISHI WETU

RAIS Jakaya Kikwete na mwenzake Yoweri Museveni wa nchini Uganda, wamekutana jijini New York, Marekani na kujadili mambo mbalimbali ikiwemo maendeleo ya uchimbaji wa mafuta yanayopatikana nchini Uganda.

Marais hao walikutana juzi katika Hoteli ya Trump International and Tower iliyopo jijini humo ambako viongozi hao wapo huko ili kuhudhuria shughuli za mwaka huu za Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

Taarifa iliyotolewa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, ilisema...

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyemkashifu Museveni akamatwa Uganda

Aliyemkosoa rais Museveni wa Uganda kupitia mitandao ya kijamii awekwa rumande kwa madai ya matumizi mabaya ya mtandao

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyemuudhi Museveni aachiliwa Uganda

Mkosoaji mkuu wa serikali ya Uganda kupitia mtandao wa kijamii, Robert Shaka,ameachiliwa huru kwa dhamana na mahakama moja Kampala

 

9 years ago

TheCitizen

I’m not in Uganda to campaign for Museveni, says Ruto

Kenya’s deputy president, William Ruto who is currently in Uganda has refuted claims that the intention of his visit is to campaign for the incumbent and National Resistance Movement (NRM) presidential candidate Yoweri Museveni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Museveni agharamia Uganda Cranes

Rais Yoweri Museveni amegharamia safari ya timu ya Uganda Cranes kwenda Togo, kucheza mechi ya marudiano kufuzu kucheza fainali ya kombe la mataifa ya Afrika

 

9 years ago

BBC

VIDEO: Uganda: Museveni and Mbabazi hold rallies

Uganda's President Yoweri Museveni and his former prime minister Amama Mbabazi have each been officially sanctioned as presidential candidates.

 

9 years ago

TheCitizen

Uganda fishing industry team commends President Museveni

Fishermen under their association of the Uganda fishing industry rescue operation team (UFROT) are excited about the dismissal of the current fisheries enforcement teams.

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MUSEVENI UGANDA AONGEZA SIKU NYINGINE 21 KUKABILIANA NA CORONA

  Rais Yoweri Museveni wa Uganda ametangaza siku nyingine 21 kuanzia kesho April 15 hadi April May 05,2020 za Watu kuendelea kubaki nyumbani na kutofanya shughuli ambazo zilipigwa marufuku hapo awali ili kuzuia kuenea kwa virusi vya corona.
Mpaka sasa watu 54 wamegunduliwa kuwa na maambukizi ya virusi hivyo na kati yao wanne wamepona. Hakuna kifo kilichoripotiwa kufikia sasa.
Machi 31, Museveni alitangaza marufuku ya watu kutokutoka nje kwa siku 14, ambazo zilikuwa zinaisha leo Aprili 14.
Hii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani