Maombi ya asante kwa Museveni Uganda
Waumini nchini Uganda wamekusanyika katika uwanja wa Kololo mjini Kampala kwa maombi maalum ya kutoa shukurani kwa Rais Museveni kwa kuidhinisha sheria dhidi ya mapenzi ya jinsia moja
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Rais wa Uganda Yoweri Museveni atangaza amri ya kutotoka nje kwa siku 14
9 years ago
Mtanzania26 Sep
Museveni, JK wajadili mafuta ya Uganda
NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete na mwenzake Yoweri Museveni wa nchini Uganda, wamekutana jijini New York, Marekani na kujadili mambo mbalimbali ikiwemo maendeleo ya uchimbaji wa mafuta yanayopatikana nchini Uganda.
Marais hao walikutana juzi katika Hoteli ya Trump International and Tower iliyopo jijini humo ambako viongozi hao wapo huko ili kuhudhuria shughuli za mwaka huu za Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Taarifa iliyotolewa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, ilisema...
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
Aliyemkashifu Museveni akamatwa Uganda
10 years ago
BBCSwahili15 Jun
Aliyemuudhi Museveni aachiliwa Uganda
9 years ago
TheCitizen10 Dec
I’m not in Uganda to campaign for Museveni, says Ruto
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Museveni agharamia Uganda Cranes
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/14A27/production/_86491548_86490863.jpg)
VIDEO: Uganda: Museveni and Mbabazi hold rallies
9 years ago
TheCitizen08 Dec
Uganda fishing industry team commends President Museveni
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IqLZ2_8Z01A/XpXA9B5pkWI/AAAAAAAC3DU/XKXJX7dcHdEFN6x5cas8oxL9AoQf-qa9QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MUSEVENI UGANDA AONGEZA SIKU NYINGINE 21 KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IqLZ2_8Z01A/XpXA9B5pkWI/AAAAAAAC3DU/XKXJX7dcHdEFN6x5cas8oxL9AoQf-qa9QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mpaka sasa watu 54 wamegunduliwa kuwa na maambukizi ya virusi hivyo na kati yao wanne wamepona. Hakuna kifo kilichoripotiwa kufikia sasa.
Machi 31, Museveni alitangaza marufuku ya watu kutokutoka nje kwa siku 14, ambazo zilikuwa zinaisha leo Aprili 14.
Hii...