Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Linah ana collabo mbili za kimataifa kibindoni

12298833_944662165599178_1629279455_n

Linah Sanga amesema tayari ameshafanya collabo mbili na wasanii wa kimataifa na amepanga kuzitoa mwakani.

12298833_944662165599178_1629279455_n

Ameiambia Bongo5 kuwa kazi hizo zitatoka mwakani kutokana na muda uliobaki kila msanii kutaka kutoa wimbo.

“Kabla sijafunga mwaka nilikuwa nataka kufanya kolabo kubwa za kimataifa. Nashukuru tayari nimefanikiwa ila siwezi kuziweka wazi nimefanya na nani na nchi gani.

Lakini ni kubwa na nimeshindwa kuziachia kwa sasa kutokana na muda uliobaki. Ila mashabiki wangu sitawaacha hivyo hivyo,...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Linah nimesha kamilisha Collabo za kimataifa mbili kubwa bado kuzitoa tu

linah 2

Msanii wa bongo fleva Linah Sanga a.k.a ndege Mnana ameweka wazi kwamba tayari ameshafanya kolabo mbili na wasanii wa kimataifa na amejipanga kuzitoa mwakani.

linah 2

Linah akiongea na mtandao wa Saluti5 amesema kuwa, “Kabla sijafunga mwaka nilikuwa nataka kufanya kolabo kubwa za kimataifa na nashukuru tayari nimefanikiwa, ila siwezi kuweka wazi nimefanya na nani na nchi gani,” alisema Linah. kikubwa kwake ni kwamba ameshindwa kuziachia kwa sasa kutokana na muda uliobaki ila amedai mashabiki wake...

 

10 years ago

Bongo Movies

Linah Bado Ana Dukuduku na Wema

Siku chache baada kuenea kwa taarifa za kuporwa bwana na Wema Sepetu, staa wa Bongo Fleva Esterlinah Sanga ‘Linah’ amefunguka kuwa bado ana dukuduku kubwa moyoni ambalo anajipanga hivi karibuni kulianaika hadharani kwa njia ya tamko rasmi ambalo atalitoa kwa njia hiyo hiyo ya mtandao

Kwa mujibu wa linah ,amesema kuwa tamko hilokwa sehemu linahusiana na tuhuma za kulalamika kuibiwa  bwana, kitu ambacho kinaendelea akiwa haoni sababu ya kuendelea kukaa kimya zaidi na kuumia roho.

Linah...

 

10 years ago

Bongo5

D’Banj na Akon wafanya collabo mbili

Staa mwingine wa Nigeria D’Banj amethibitisha kuwa amefanya collabo na staa wa Konvict Muzik, Akon. Akon na D’Banj kila mmoja kwenye Instagram yake leo asubuhi wameshare picha wakiwa pamoja na kutease kuwa kuna kazi wanafanya pamoja huko Atlanta, Marekani, na kwa mujibu wa caption zao inavyoonekana wawili hao wamefanya collabo mbili. Akon ameandika,“Money making Africans […]

 

9 years ago

Bongo5

Vitu gani wasanii wa nje wanavyoviangalia kabla ya kukubali kufanya collabo? — Shetta ana majibu

Collabo za kimataifa ni kitu muhimu kwa mwanamuziki yeyote mwenye malengo ya kujitangaza zaidi nje ya mipaka ya nyumbani. Japo sio kazi rahisi kwa msanii kupata collabo na wasanii wakubwa wa nje kama msanii huyo asipozingatia vitu muhimu. Moja ya faida za collabo ni pande zote mbili kupata mashabiki wapya kutoka kila upande wa wasanii […]

 

9 years ago

Mtanzania

Ali Kiba: ‘collabo’ zitatuvusha kimataifa

alikibaNA MWANDISHI WETU

MWANAMUZIKI nguli wa miondoko ya Bongo Fleva, Ali Kiba, amesema moja ya mafanikio anayojivunia katika kazi ya muziki kwa mwaka huu ni ushiriki wake katika onyesho la Coke Studio msimu wa tatu.

Kiba, ambaye amefanya kolabo kwa kushirikiana na mwanamuziki wa kike anayetamba nchini Kenya, Victoria Kimani, alisema anajivunia kuwa miongoni mwa wanamuziki wanaoshiriki maonyesho hayo.

Alisema kuwa ushiriki wake huo umemwezesha kuongeza rekodi yake katika anga la kimataifa na...

 

10 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz azungumzia ukubwa wa Ndagushima, ujio mpya na collabo ya kimataifa

Muimbaji wa ‘Ndagushima’, Ommy Dimpoz ameeleza sababu iliyoufanya wimbo wake ‘Ndagushima’ kutofanya vizuri mapema kama mashabiki wake walivyozoea kwenye nyimbo zake zilizopita huku akitoa faida na hasara ya wimbo kufanya vizuri mapema. Ommy ameiambia Bongo5 kuwa wimbo wa Ndagushima ulianza vibaya mpaka watu wake wa karibu wakamshauri atoe wimbo mpya mapema. “Katika nyimbo zangu nilizowahi […]

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini ataja ma-rapper wanne wa kimataifa anaotamani kufanya nao collabo

weusi1 (1)

‘Don’t Bother’ imetimiza moja ya ndoto alizokuwa nazo rapa wa Weusi, Joh Makini za kuja kufanya collabo na rapa wa Afrika Kusini Kiernan Jarryd Forbes a.k.a AKA.

weusi1 (1)

Joh Makini amewataja ma-rapper aliokuwa, na ambao bado anatamani kuja kufanya nao collabo pindi fursa hiyo itakapojitokeza, akiwemo AKA ambaye tayari amefanikiwa kufanya naye ‘Don’t Bother’ inayofanya vizuri kwa sasa.

“Unajuaga kunakuwaga na watu wako flani ambao unawaskilizaga pia na unapenda wanachokifanya kwamba siku ikitokea ...

 

9 years ago

Bongo5

Rapper AKA atoa somo kwa wanaodhani collabo ya kimataifa ni mpaka awe msanii wa nje ya Afrika

Wapo baadhi ya wasanii wa Tanzania ambao wameshafanya collabo na wasanii wa nchi za jirani kama Kenya na Uganda, lakini bado huwa wanakutana na maswali ya lini wataanza kufanya collabo za Kimataifa.

AKA-South-Africa-Rapper-740x431

Hali hiyo imemkuta pia rapper wa Afrika Kusini, Kiernan Jarryd Forbes, maarufu kama AKA, ambaye licha ya kufanya kazi na wasanii wa Afrika lakini bado amekuwa akiulizwa na mashabiki ni lini atafanya kazi na msanii wa ‘KIMATAIFA’.

Kinachoonekana ni kwamba tafsiri ya mashabiki wengi kuhusu...

 

10 years ago

Mtanzania

Maximo atuma maombi ya mechi mbili kimataifa

Marcio Maximo

Kocha mpya wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, Marcio Maximo

NA JENNIFER ULLEMBO

KOCHA mkuu wa timu ya Yanga, Marcio Maximo, ametuma maombi kwa uongozi wa klabu hiyo kumtafutia michezo miwili zaidi ya kimataifa kabla ya kuivaa Azam FC Septemba 13 jijini Dar es Salaam, katika mechi ya Ngao ya Hisani.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Ofisa Habari wa klabu hiyo, Baraka Kizuguto alithibitisha kutumwa maombi hayo kwa uongozi.

Kiziguto alisema mchezo wa kwanza wa kimataifa, utachezwa kesho dhidi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani