D’Banj na Akon wafanya collabo mbili
Staa mwingine wa Nigeria D’Banj amethibitisha kuwa amefanya collabo na staa wa Konvict Muzik, Akon. Akon na D’Banj kila mmoja kwenye Instagram yake leo asubuhi wameshare picha wakiwa pamoja na kutease kuwa kuna kazi wanafanya pamoja huko Atlanta, Marekani, na kwa mujibu wa caption zao inavyoonekana wawili hao wamefanya collabo mbili. Akon ameandika,“Money making Africans […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo525 Sep
New Video: D’Banj ft. Akon — Frosh
9 years ago
Africanjam.ComNEW VIDEO: D'BANJ - FROSH ft. AKON (Watch it here)
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
10 years ago
Bongo504 Feb
New Video: D’banj & Akon – Feeling The Nigga (REMIX)
9 years ago
Bongo510 Sep
Ben Pol ayasema haya kuhusu 2Face na D’Banj, ni collabo?
9 years ago
Bongo524 Nov
Picha: Mayunga akamilisha collabo yake na Akon na kushoot video siku moja, amtumia model wa Chris Brown
![Mayunga na Akon](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Mayunga-na-Akon-300x194.jpg)
Kazi iliyompeleka mshindi wa Airtel Trace Music Star, Mayunga Nalimi nchini Marekani, ya kufanya collabo na boss wa label ya Konvict Music, Akon imekamilika.
Mayunga ameelezea jinsi kazi hiyo ilivyofanyika kwa siku moja, kuanzia kupewa wimbo kuushika, kurekodi na kushoot video vyote ndani ya saa 24.
“Nilikua nina siku moja tu yakushika kila kitu kwenye wimbo niliopewa” Mayunga ameiambia TeamTz “Kwahiyo ilinibidi nijitume ili niufahamu vizuri wimbo ili nifanye kitu kizuri hata bwana Akon...
9 years ago
Bongo523 Nov
Navy Kenzo wafanya collabo na kundi hili la Ghana
![Navy Kenzo na R2bees](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Navy-Kenzo-na-R2bees-300x194.jpg)
Kundi la Navy Kenzo linaloundwa na producer na muimbaji Nahreel pamoja na girlfriend wake Aika wako nchini Afrika Kusini, walikoenda kutumbuiza kwenye tamasha la African Music Concert (AMC 2015).
Baada ya tamasha hilo lililofanyika Jumamosi Nov. 21 jijini Johannesburg, na kuwakutanisha wasanii mbalimbali wa Afrika kwenye jukwaa moja kama Davido, Wizkid, Vanessa Mdee, Victoria Kimani na wengine, hit makers wa ‘Game’, Navy Kenzo walipata fursa ya kuingia studio kurekodi collabo na kundi la...
9 years ago
Bongo527 Nov
Linah ana collabo mbili za kimataifa kibindoni
![12298833_944662165599178_1629279455_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12298833_944662165599178_1629279455_n-300x194.jpg)
Linah Sanga amesema tayari ameshafanya collabo mbili na wasanii wa kimataifa na amepanga kuzitoa mwakani.
Ameiambia Bongo5 kuwa kazi hizo zitatoka mwakani kutokana na muda uliobaki kila msanii kutaka kutoa wimbo.
“Kabla sijafunga mwaka nilikuwa nataka kufanya kolabo kubwa za kimataifa. Nashukuru tayari nimefanikiwa ila siwezi kuziweka wazi nimefanya na nani na nchi gani.
Lakini ni kubwa na nimeshindwa kuziachia kwa sasa kutokana na muda uliobaki. Ila mashabiki wangu sitawaacha hivyo hivyo,...
9 years ago
Bongo502 Dec
Linah nimesha kamilisha Collabo za kimataifa mbili kubwa bado kuzitoa tu
![linah 2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/linah-2-300x194.jpg)
Msanii wa bongo fleva Linah Sanga a.k.a ndege Mnana ameweka wazi kwamba tayari ameshafanya kolabo mbili na wasanii wa kimataifa na amejipanga kuzitoa mwakani.
Linah akiongea na mtandao wa Saluti5 amesema kuwa, “Kabla sijafunga mwaka nilikuwa nataka kufanya kolabo kubwa za kimataifa na nashukuru tayari nimefanikiwa, ila siwezi kuweka wazi nimefanya na nani na nchi gani,” alisema Linah. kikubwa kwake ni kwamba ameshindwa kuziachia kwa sasa kutokana na muda uliobaki ila amedai mashabiki wake...
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Kamati mbili zakamilisha kujadili #rasimu, zote zapendekeza serikali mbili[VIDEO]