Rapper AKA atoa somo kwa wanaodhani collabo ya kimataifa ni mpaka awe msanii wa nje ya Afrika
Wapo baadhi ya wasanii wa Tanzania ambao wameshafanya collabo na wasanii wa nchi za jirani kama Kenya na Uganda, lakini bado huwa wanakutana na maswali ya lini wataanza kufanya collabo za Kimataifa.
Hali hiyo imemkuta pia rapper wa Afrika Kusini, Kiernan Jarryd Forbes, maarufu kama AKA, ambaye licha ya kufanya kazi na wasanii wa Afrika lakini bado amekuwa akiulizwa na mashabiki ni lini atafanya kazi na msanii wa ‘KIMATAIFA’.
Kinachoonekana ni kwamba tafsiri ya mashabiki wengi kuhusu...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Sep
JK atoa somo kwa jumuiya ya kimataifa
USHIRIKI wa pamoja wa mataifa mbalimbali katika utatuzi wa matatizo yanayozikumba nchi hizo, ndiyo njia kuu na ya kipekee katika karne ya leo ya kukabiliana na changamoto za maendeleo. Hayo yalisemwa na Rais Jakaya Kikwete juzi katika Chuo Kikuu cha Rutgers, katika mji wa New Jersey, nchini Marekani.
9 years ago
Bongo502 Dec
Joh Makini ataja ma-rapper wanne wa kimataifa anaotamani kufanya nao collabo
![weusi1 (1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/weusi1-1-300x194.jpg)
‘Don’t Bother’ imetimiza moja ya ndoto alizokuwa nazo rapa wa Weusi, Joh Makini za kuja kufanya collabo na rapa wa Afrika Kusini Kiernan Jarryd Forbes a.k.a AKA.
Joh Makini amewataja ma-rapper aliokuwa, na ambao bado anatamani kuja kufanya nao collabo pindi fursa hiyo itakapojitokeza, akiwemo AKA ambaye tayari amefanikiwa kufanya naye ‘Don’t Bother’ inayofanya vizuri kwa sasa.
“Unajuaga kunakuwaga na watu wako flani ambao unawaskilizaga pia na unapenda wanachokifanya kwamba siku ikitokea ...
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Shilole mpaka Nigeria? kayazungumza haya kuhusu collabo aliyoifanya na msanii wa Nigeria…
Headlines za Dec 28 zinakwenda kwa Shilole ambaye wiki kadhaa zilizopita alikuwa nchini Nigeria kwaajili ya show yake akiwa na Feza Kessy & Lina Sanga, sasa msanii huyo baada ya kurudi Tanzania amefanya exclusive interview na ripota wa millardayo.com kufunguka kuhusu collabo aliyoifanya nchini Nigeria. ‘Nilikuwa niko Nigeria kwaajili ya kufanya show na kutafuta connection […]
The post Shilole mpaka Nigeria? kayazungumza haya kuhusu collabo aliyoifanya na msanii wa Nigeria… appeared first on...
9 years ago
Bongo530 Nov
Diamond na AKA washoot video ya collabo yao Afrika Kusini
![AKA X Diamond](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/AKA-X-Diamond-300x194.jpg)
Rapper Kiernan Jarryd Forbes, maarufu kama AKA na staa wetu Nasibu Abdul aka Diamond Platnumz wameingia location kushoot video ya collabo yao.
Taarifa ya kufanyika kwa video hiyo imetolewa na AKA kupitia akaunti yake ya Twitter jana Jumapili.
In other news: Off to shoot this video for this AKA X @diamondplatnumz collaboration.
— AKA (@akaworldwide) November 29, 2015
Inavyoonekana video hiyo inashutiwa Afrika Kusini kwasababu Diamond Platnumz yuko huko toka wiki iliyopita.
AKA na Diamond...
10 years ago
Bongo506 Feb
AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje
10 years ago
Bongo504 Sep
Nay Wa Mitego atoa sababu za kwanini halipishi msanii anayetaka kufanya nae collabo
9 years ago
Bongo511 Nov
Sio kwamba kila msanii wa nje tutampapatikia kufanya naye collabo — Joh Makini
![Johmakini.1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Johmakini.1-300x194.jpg)
Ni karibia saa 24 toka mashabiki wa muziki wa Afrika waishuhudie kwa mara ya kwanza video ya wimbo mpya wa rapper wa Tanzania Joh Makini ‘Don’t Bother’ ambayo kamshirikisha rapper wa Afrika Kusini AKA iliyotambulishwa kwa mara ya kwanza na MTV Base Nov.10.
Ni wazi kuwa collabo hiyo itawasaidia Joh Makini na AKA kuongeza mashabiki wapya kutokana na kwamba wote ni wasanii wakubwa kwenye nchi zao na tayari wana fanbase kubwa, lakini Joh Makini pia ametoa maoni yake juu ya mitazamo ya watu...
11 years ago
Mtanzania08 Aug
JK atoa somo la maendeleo Afrika
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
NA MWANDISHI MAALUMU, WASHINGTON
RAIS Jakaya Kikwete amesema sababu kubwa inayokwamisha maendeleo ya haraka kwa Afrika ni uzalishaji pamoja na matumizi madogo ya umeme.
Alisema hayo juzi kwenye mkutano wa kwanza wa wakuu wa nchi za Bara la Afrika uliofanyika chini ya uenyekiti wa Rais wa Marekani, Barack Obama, ambaye ni mwenyeji wa mkutano huo.
Rais Kikwete alisema bila kuwapo ongezeko kubwa la uzalishaji na matumizi ya umeme, Bara la Afrika halitatoka kwenye uduni.
“Kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MjACZjMns40SaYjnCy9kFTbbnPVPq14ZS5hBbSZi6h4nwke8LtoRuG5SIhXuIRkwRSHUPlsdmtVbaaUCpFGGO*5/08diamondtuzo8.jpg?width=650)
PONGEZI KWA MSANII NASSIB ABDUL AKA DIAMOND KWA KUSHINDA TUZO TATU ZA CHOAMVA14