Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nay Wa Mitego atoa sababu za kwanini halipishi msanii anayetaka kufanya nae collabo

Kuna baadhi ya wasanii wakubwa wa bongo ambao hulipisha wasanii wadogo wanaowaomba kufanya nao collabo, lakini kwa Nay Wa Mitego mambo yako tofauti. Nay ambaye ameachia video mpya ya ‘Mr Nay’ hivi karibuni, amesema yeye huwa halipishi msanii kwa sababu naye aliwahi kufanyiwa hivyo akiwa anataka kutoka. “Mimi kiukweli kabisa hela nilizonazo zinanitosha, ninazopata zinanitosha […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Nay Wa Mitego aeleza sababu za kwanini hajaitoa collabo yake na Runtown wa Nigeria

nay true boy

Kuna kipindi Nay Wa Mitego alitangaza kuwa ana mpango wa kuanza kujitambulisha kwenye soko la kimataifa, kwa kufanya collabo na wasanii wa nje pamoja na kushoot video nje ya Tanzania pia.

nay true boy

Katika mahojiano ya siku za nyuma na Bongo5, Nay alisema tayari amekamilisha collabo na msanii wa Nigeria, Runtown, na alikuwa kwenye mipango ya kutafuta uwezekano wa kufanya kazi na Wizkid an D’Banj.

Wiki hii Nay Wa Mitego ameachia wimbo mpya unaoitwa ‘Nyumbani Kwetu’, hata kama hujausikia sina haja ya...

 

10 years ago

Bongo5

Ni collabo na Diamond au na Mnigeria: Nay wa Mitego kuachia kazi mpya wiki ijayo

Rapper Nay wa Mitego, wiki ijayo anatarajia kuachia kazi yake mpya ambapo amesema ni kati ya collabo aliyofanya na Diamond Platnumz au na msanii wa Nigeria. Nay ameiambia Bongo5 kuwa, bado yupo kwenye upembuzi ili kujua ni kitu gani kitakuja kati ya kazi hizo. “Kuna uwezekano tukawa tunaachia wimbo mpya wiki ijayo,” amesema. “Ni kitu […]

 

9 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego aeleza kwanini hakuweza kutoa filamu ya ‘Salamu Zao’

Rapper Nay wa Mitego hatimaye ameeleza kitu kilichomkwamisha akashindwa kuandaa filamu ya Salamu Zao. Nay ameiambia Bongo5 kuwa baada ya kumalizika kwa shooting ya video ya Salamu Zao walipanga kuendelea kushoot filamu hiyo lakini hawakufanikisha. “Kuna vitu vilitokea katikati tukashindwa kuendelea kufanya movie,” amesema. “Kwanza kulikuwa na Mjerumani ambaye alikuwa anataka kusimamia suala la ubora, […]

 

10 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego atenga milioni 60 kukamilisha kolabo na msanii wa Nigeria

Rapper Nay wa Mitego amesema kuwa ametenga bajeti ya shilingi milioni 60 kukamilisha kolabo na msanii wa Nigeria. Nay ameiambia Bongo5 kuwa gharama hiyo inajumuisha gharama ya video ambayo amedai atafanya na Godfather wa Afrika Kusini. “Kolabo sio rahisi kama watu wanavyodhani,” amesema Nay. “Inatakiwa uwe na pesa za kutosha na ujiandae vizuri ndo maana […]

 

10 years ago

CloudsFM

Nay Wa Mitego,Diamond waingia studio kwa mara nyingine kufanya ngoma.

Staa wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego anatarajia kuachia ngoma yake mpya aliyomshirikisha Diamond Platinumz hivi karibuni. Akizungumza na Clouds FM, Nay alisema kuwa ngoma hiyo ameifanya kwenye studio za Free Nation kwa producer Mr.Tee Touch na kwamba jina la ngoma hiyo atalisema siku ambayo atakayoitambulisha ngoma hiyo.

‘’Yaah nimefanya ngoma tena na Diamond Platinumz na nitaitambulisha hivi karibuni kikweli sijisifii ni bonge la ngoma,’’alisema Nay Wa Mitego.
Mastaa hao walishawahi kufanya...

 

9 years ago

Bongo5

Lulu atoa sababu kwanini hafungamani na chama cha siasa

Lulu ameitaja sababu iliyomfanya asifungamane na nde wowote wa chama cha siasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi. Kupitia akaunti yake ya Instagram Lulu ameandika: Nimeulizwa na Wengi na pengine yanasemwa mengi kuhusu ni Chama kipi cha Siasa nina support Kama ilivyoonekana Kwa Wasanii Wenzangu wengine..! Kwa kifupi nitajaribu kufafanua machache Kwa huu uwezo mdogo […]

 

9 years ago

Bongo5

Sio kwamba kila msanii wa nje tutampapatikia kufanya naye collabo — Joh Makini

Johmakini.1

Ni karibia saa 24 toka mashabiki wa muziki wa Afrika waishuhudie kwa mara ya kwanza video ya wimbo mpya wa rapper wa Tanzania Joh Makini ‘Don’t Bother’ ambayo kamshirikisha rapper wa Afrika Kusini AKA iliyotambulishwa kwa mara ya kwanza na MTV Base Nov.10.

Johmakini.1

Ni wazi kuwa collabo hiyo itawasaidia Joh Makini na AKA kuongeza mashabiki wapya kutokana na kwamba wote ni wasanii wakubwa kwenye nchi zao na tayari wana fanbase kubwa, lakini Joh Makini pia ametoa maoni yake juu ya mitazamo ya watu...

 

10 years ago

Bongo5

Wakazi aeleza kwanini haikuwa rahisi kufanya collabo na kina Wiz Khalifa, Kanye West na Diddy alipokutana nao

Wakazi ni msanii wa Hip Hop wa Tanzania aliyepata nafasi ya kukutana na kupiga picha na mastaa wengi wakubwa wa Marekani. Wakazi na Wiz Khalifa Kutokana na kuonekana akiwa amepiga picha na mastaa kama Wiz Khalifa, Kanye West, Diddy na wengine, amekuwa akiulizwa kama alifanikiwa kufanya collabo hata na mmoja wa mastaa hao. Wakazi na […]

 

9 years ago

Bongo5

Rapper AKA atoa somo kwa wanaodhani collabo ya kimataifa ni mpaka awe msanii wa nje ya Afrika

Wapo baadhi ya wasanii wa Tanzania ambao wameshafanya collabo na wasanii wa nchi za jirani kama Kenya na Uganda, lakini bado huwa wanakutana na maswali ya lini wataanza kufanya collabo za Kimataifa.

AKA-South-Africa-Rapper-740x431

Hali hiyo imemkuta pia rapper wa Afrika Kusini, Kiernan Jarryd Forbes, maarufu kama AKA, ambaye licha ya kufanya kazi na wasanii wa Afrika lakini bado amekuwa akiulizwa na mashabiki ni lini atafanya kazi na msanii wa ‘KIMATAIFA’.

Kinachoonekana ni kwamba tafsiri ya mashabiki wengi kuhusu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani