Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nay wa Mitego aeleza kwanini hakuweza kutoa filamu ya ‘Salamu Zao’

Rapper Nay wa Mitego hatimaye ameeleza kitu kilichomkwamisha akashindwa kuandaa filamu ya Salamu Zao. Nay ameiambia Bongo5 kuwa baada ya kumalizika kwa shooting ya video ya Salamu Zao walipanga kuendelea kushoot filamu hiyo lakini hawakufanikisha. “Kuna vitu vilitokea katikati tukashindwa kuendelea kufanya movie,” amesema. “Kwanza kulikuwa na Mjerumani ambaye alikuwa anataka kusimamia suala la ubora, […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Nay Wa Mitego aeleza sababu za kwanini hajaitoa collabo yake na Runtown wa Nigeria

nay true boy

Kuna kipindi Nay Wa Mitego alitangaza kuwa ana mpango wa kuanza kujitambulisha kwenye soko la kimataifa, kwa kufanya collabo na wasanii wa nje pamoja na kushoot video nje ya Tanzania pia.

nay true boy

Katika mahojiano ya siku za nyuma na Bongo5, Nay alisema tayari amekamilisha collabo na msanii wa Nigeria, Runtown, na alikuwa kwenye mipango ya kutafuta uwezekano wa kufanya kazi na Wizkid an D’Banj.

Wiki hii Nay Wa Mitego ameachia wimbo mpya unaoitwa ‘Nyumbani Kwetu’, hata kama hujausikia sina haja ya...

 

10 years ago

Bongo5

Nay Wa Mitego atoa sababu za kwanini halipishi msanii anayetaka kufanya nae collabo

Kuna baadhi ya wasanii wakubwa wa bongo ambao hulipisha wasanii wadogo wanaowaomba kufanya nao collabo, lakini kwa Nay Wa Mitego mambo yako tofauti. Nay ambaye ameachia video mpya ya ‘Mr Nay’ hivi karibuni, amesema yeye huwa halipishi msanii kwa sababu naye aliwahi kufanyiwa hivyo akiwa anataka kutoka. “Mimi kiukweli kabisa hela nilizonazo zinanitosha, ninazopata zinanitosha […]

 

10 years ago

CloudsFM

Nay Wa Mitego awataka wasanii kutoa misaada kwa jamii

upendo na kutoa msaada kwa jamii. Akizungumza jijini Dar, Ney alisema kuwa yeye ni kioo cha jamii na katika matatizo ya kibinadamu anakuwa kama mtu wa kawaida kwa kusaidia.
“Unajua sisi ni binadamu na kama umefanikiwa kwa kiasi fulani basi na wewe unatakiwa kutoa msaada kidogo ulichokua nacho, hivyo nawaasa wasanii wenzangu kujitolea,” alisema.
Msanii huyo amefanikiwa kufanya vizuri nchini kupitia nyimbo zake kama Akadumba, Nakula ujana na nyinginezo.

 

9 years ago

Bongo5

Kajala aeleza kwanini ametoa filamu chache mwaka huu

kajala

Kajala amesema mwaka 2015 ametayarisha filamu nyingi lakini ameshindwa kuzitoa kutokana na soko la filamu kusuasua.

Kajala na Quick

Muigizaji ameiambia Bongo5 kuwa mwaka 2016 utakuwa ni mwaka mzuri kwa kuwa tayari ana kazi ndani ambazo hajazitoa.

“Siwezi sema kwangu kuna tatizo ni kujipanga tu licha ya changamoto za wezi wa kazi zetu ambao wanatukatisha tamaa,” alisema.

“Lakini nashukuru kuona serikali tayari imeanza kurudisha matumaini kwa kujaribu kuweka sheria ili tupate haki zetu kwa sababu wasanii...

 

9 years ago

Bongo5

Martin Kadinda aeleza kwanini filamu ya Van Vicker na Wema inachelewa kutoka

Meneja wa mwanadada wa filamu Wema Sepetu, Martin Kadinda ameelezea sababu ya kuchelewa kutoka kwa filamu ya ‘Day After Death’ iliyochezwa na Wema pamoja na muigizaji wa Ghana, Van Vicker ‘Day After Death’. Martin amesema filamu hiyo ilikuwa itoke September mwaka huu lakini imeshindikana kutokana na kampeni za uchaguzi. “Filamu mpaka sasa ipo tayari, lakini […]

 

10 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA FILAMU YA WAPE SALAMU ZAO JUMAPILI

UZINDUZI wa filamu ya Wape Salamu Zao unatarajia kufanyika siku ya Jumapili tarehe 9 November katika ukumbi Travetine Magomeni, jijini Dar es salaam.Uzinduzi huo utambatana na ujio wa sesson 2 kipindi cha Ulimwenguni wa filamu cha TBC 1,kinachoongozwa na Juma Mtetwa katika, kivutio kikubwa ni Jackson Kabirigi ‘Kisate’. “Nimepanga kuacha historia katika uzinduzi wa filamu ya Wape Salamu Zao, kuna vitu vingi sana ambavyo sijawahi kuwaonyesha watazamaji hajawahi kuviona kutoka kwangu tarajieni...

 

9 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego: Mpango wa kufanya filamu na Diamond upo pale pale

Nay wa Mitego amesema alikuwa na mpango wa kutengeneza filamu ya pamoja na Diamond – na kwamba bado hauhafa! Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa baada ya kuharibika kwa mipango ya filamu ya Salam Zao, alipanga kufanya kitu kikubwa akiwa na Diamond. “Nilikuwa na idea ya kufanya movie kubwa na tuliwahi kukaa team yangu pia nakumbuka […]

 

10 years ago

Bongo5

Behind The Scenes: Utengenezaji wa video ya Nay Wa Mitego ‘Mr Nay’ nchini Kenya

Nay Wa Mitego ni miongoni mwa wasanii wa Tanzania walioamua kwenda kufanya video nje mwaka huu, na hii ikiwa ni mara yake ya pili kufanyia video nchini Kenya. Hii ni video ya behind the scenes ya wakati wa utengenezaji wa video ya ‘Mr Nay’ iliyofanyika Nairobi, Kenya wiki chache zilizopita na kuongozwa na director Kevin […]

 

10 years ago

Bongo5

Usichokifahamu kuhusu ‘concept’ ya video mpya ya Nay wa Mitego ‘Mr Nay’

Kwa mtu ambaye tayari ameiona video mpya ya Nay Wa Mitego, ‘Mr Nay’ huenda swali la kwanza ambalo atajiuliza mara baada ya kuitazama au akipata nafasi ya kukutana na Nay atamuuliza ni ‘hiyo concept ya video, zile damu damu na ‘mask’ za kutisha, minyororo na hizo sign zote zina maana gani?’ Mara nyingi au mara […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani