Lulu atoa sababu kwanini hafungamani na chama cha siasa
Lulu ameitaja sababu iliyomfanya asifungamane na nde wowote wa chama cha siasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi. Kupitia akaunti yake ya Instagram Lulu ameandika: Nimeulizwa na Wengi na pengine yanasemwa mengi kuhusu ni Chama kipi cha Siasa nina support Kama ilivyoonekana Kwa Wasanii Wenzangu wengine..! Kwa kifupi nitajaribu kufafanua machache Kwa huu uwezo mdogo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1.2.jpg)
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATOA TAMKO KUHUSU CHAMA CHA TPP
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uECxyRuL2bQ/VTd2RwQiOqI/AAAAAAAAsX8/KxpwoamA3Js/s72-c/ommy-picha%2B(1).jpg)
Ommy Dimpoz atoa sababu za kwanini hajawahi kumtambulisha hadharani mpenzi wake
![](http://3.bp.blogspot.com/-uECxyRuL2bQ/VTd2RwQiOqI/AAAAAAAAsX8/KxpwoamA3Js/s640/ommy-picha%2B(1).jpg)
'Sijapenda kuweka wazi sana swala la mahusiano kwasababu inatakiwa mimi niweze kuwa na uhakika kwamba huyu ambaye namtambulisha kwa wananchi ni kweli wakati umefika,
kwasababu leo unaweza ukawatambulisha huyu baada ya siku tatu mambo hayaeleweki ukatambulisha mwingine, kwahiyo mwisho wa siku utaonekana kijana unatumia nafasi yako kuweza kuchezea watoto wa kike, kwahiyo najaribu kuwa makini kwa hilo lakini kipindi kitakapofika watu wataweza kufahamu kama Ommy ‘bae’ wake ni yupi'...
10 years ago
Bongo504 Sep
Nay Wa Mitego atoa sababu za kwanini halipishi msanii anayetaka kufanya nae collabo
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
10 years ago
Bongo504 Nov
Fid Q kwenda kushoot video mpya nje ya nchi, atoa sababu za kwanini alikuwa hafanyi video
11 years ago
Habarileo06 May
Chama kingine cha siasa chasajiliwa
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania), jana kilikabidhiwa cheti cha usajili wa kudumu na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Kuandikwa na kufutwa uanachama chama cha siasa
HATUA ya kufutiwa uanachama huwa haieleweki vizuri kwa watu wengi. Kuna mambo mengi ya kufanya pale unapofutiwa uanachama. Unaweza kukaa kimya. Ukakubali kuondoka katika chama na hata ukaanzisha chama chako...
9 years ago
GPLCHAMA KIPYA CHA SIASA CHAZINDULIWA DAR
9 years ago
Michuzi23 Oct
HATUTOKIBEBA WALA KUKIVUMILIA CHAMA CHOHCOTE CHA SIASA- POLISI
![Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles Mkumbo](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/aPl2SfMT18NSrApzfK0Na-CBxBfoHrj10HxFg-jJ3sAgKM_3ogD5P4x_JHpe17rmrdfRL3tudWibYx2oYHVgt1jeJWaKNPOnrAIOadJZ44DtecjLsuEU0zLOfh5eM2KbwEzhEwk4-BE=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/10/Charles-Mkumbo-620x309.png)
JESHI la Polisi mkoani Mwanza, limesema halipo tayari kukipendelea chama chochote kile cha siasa katika kipindi hiki cha uchaguzi utakaofanya Oktoba 25 mwaka huu.Kauli hiyo imetolewa jana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles Mkumbo, wakati akizungumza na wanahabari.
Mkumbo amesema kuwa katika kipindi hiki, jeshi halitakuwa tayari kukipendelea chama cha siasa kwani lipo kwa ajili ya kutenda haki na...