Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuandikwa na kufutwa uanachama chama cha siasa

HATUA ya kufutiwa uanachama huwa haieleweki vizuri kwa watu wengi. Kuna mambo mengi ya kufanya pale unapofutiwa uanachama. Unaweza kukaa kimya. Ukakubali kuondoka katika chama na hata ukaanzisha chama chako...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

Wambura: Sitambui kufutwa uanachama

Michael Wambura

Katibu Mkuu wa zamani wa Simba, Michael Wambura,

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MWANACHAMA wa Simba, Michael Wambura, amesema hatambui uamuzi wa mkutano mkuu wa klabu hiyo kumfuta uanachama yeye na wanachama wengine, akidai uamuzi huo unapingana na Katiba ya Simba na ile ya nchi.

Agosti 3, mwaka huu, Mkutano Mkuu wa Simba ulimfuta uanachama Wambura na wanachama 71 waliopeleka kesi ya uchaguzi mahakamani, suala hilo linalokinzana na Katiba ya Simba ibara ya 55, ambayo inaonyesha wazi kuwa...

 

11 years ago

Habarileo

Chama kingine cha siasa chasajiliwa

CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania), jana kilikabidhiwa cheti cha usajili wa kudumu na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi.

 

9 years ago

GPL

CHAMA KIPYA CHA SIASA CHAZINDULIWA DAR

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi (kushoto) akimkabidhi cheti cha usajili wa mmoja wa waanzilishi wa chama hicho, Deonatus F. Mutani kwenye Ofisi za Msajili wa Vyama vya Siasa jijini Dar. Waanzilishi wa chama kipya cha…

 

10 years ago

Vijimambo

Uliona alichoandika Naibu waziri wa fedha mh.Mwigulu Nchemba baada ya kupokea taarifa ya kufutwa uanachama Zitto Z.Kabwe

kulia ni Mb.Mwigulu Nchemba,katikati ni Mbunge wa Jimbo la Manyovu Kigoma Obama na anaefuata ni Mb.Zitto Z.KabweImenisikitisha sana,Nimesikia taarifa za kuenguliwa uanachama kwa Mh.Zitto Kabwe ndani ya Chama alichoanzia siasa,alichokitumikia kwa Jasho na mali,alichowekeza muda na akili yake kwa zaidi ya miaka 19.Zitto amekuwa/anaendelea kuwachachu ya mabadiliko kwa Vitendo kwa Taifa letu.Uwezo wa kisiasa wa Kabwe adhabu yake sio kumfukuza,Demokrasia ni lazima itumike.
Nakusihi kijana...

 

9 years ago

Michuzi

HATUTOKIBEBA WALA KUKIVUMILIA CHAMA CHOHCOTE CHA SIASA- POLISI

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles MkumboKamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles Mkumbo.
JESHI la Polisi mkoani Mwanza, limesema halipo tayari kukipendelea chama chochote kile cha siasa katika kipindi hiki cha uchaguzi utakaofanya Oktoba 25 mwaka huu.Kauli hiyo imetolewa jana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi, Charles Mkumbo, wakati akizungumza na wanahabari.
Mkumbo amesema kuwa katika kipindi hiki, jeshi halitakuwa tayari kukipendelea chama cha siasa kwani lipo kwa ajili ya kutenda haki na...

 

9 years ago

Bongo5

Lulu atoa sababu kwanini hafungamani na chama cha siasa

Lulu ameitaja sababu iliyomfanya asifungamane na nde wowote wa chama cha siasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi. Kupitia akaunti yake ya Instagram Lulu ameandika: Nimeulizwa na Wengi na pengine yanasemwa mengi kuhusu ni Chama kipi cha Siasa nina support Kama ilivyoonekana Kwa Wasanii Wenzangu wengine..! Kwa kifupi nitajaribu kufafanua machache Kwa huu uwezo mdogo […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Siasa za Kenya: Fukuto ndani ya chama cha Jubilee, nani anayelengwa?

Duru zinaeleza kuwa kuna mazungumzo yanayoendelea kati ya chama cha Jubilee na vyama vya upizani kuunda muungano, kunani?

 

9 years ago

Mtanzania

NURU THE LIGHT: Hakuna tatizo msanii kushabikia chama cha siasa

Nuru the LighttNA JULIET MORI, (Tudarco)
MSANII wa Bongo Fleva anayefanyia shughuli zake za kimuziki nchini Sweeden, Nuru Magram ‘Nuru the Light’, amesema haoni ubaya kwa wasanii kuweka wazi ushabiki wao kwenye vyama vya siasa kwa kuwa kila mtu ana chama anachokipenda.
Nuru aliweka wazi hilo jana baada ya kutumbuiza na wafanyakazi wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd ikiwa ni ishara ya kukubali mchango wa kazi zinazofanywa na wafanyakazi wa kampuni hiyo kupitia magazeti yake matano ya Mtanzania, Bingwa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani