Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wambura: Sitambui kufutwa uanachama

Michael Wambura

Katibu Mkuu wa zamani wa Simba, Michael Wambura,

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MWANACHAMA wa Simba, Michael Wambura, amesema hatambui uamuzi wa mkutano mkuu wa klabu hiyo kumfuta uanachama yeye na wanachama wengine, akidai uamuzi huo unapingana na Katiba ya Simba na ile ya nchi.

Agosti 3, mwaka huu, Mkutano Mkuu wa Simba ulimfuta uanachama Wambura na wanachama 71 waliopeleka kesi ya uchaguzi mahakamani, suala hilo linalokinzana na Katiba ya Simba ibara ya 55, ambayo inaonyesha wazi kuwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Wambura afukuzwa uanachama Simba

Mwanachama mkongwe wa Simba, Michael Wambura. Nicodemus Jonas na Sweetbert Lukonge
JUMLA ya wanachama 800 wa Simba, jana walimvua rasmi uanachama, mwanachama mkongwe, Michael Wambura pamoja na wenzake 70 kwa kosa la kufungua kesi katika mahakama za kiraia. Wanachama hao waliridhia kufutwa uanachama huo katika mkutano mkuu wa klabu hiyo uliofanyika kwenye Bwalo la Polisi, Oysterbay Dar. Wambura ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kuandikwa na kufutwa uanachama chama cha siasa

HATUA ya kufutiwa uanachama huwa haieleweki vizuri kwa watu wengi. Kuna mambo mengi ya kufanya pale unapofutiwa uanachama. Unaweza kukaa kimya. Ukakubali kuondoka katika chama na hata ukaanzisha chama chako...

 

10 years ago

Vijimambo

Uliona alichoandika Naibu waziri wa fedha mh.Mwigulu Nchemba baada ya kupokea taarifa ya kufutwa uanachama Zitto Z.Kabwe

kulia ni Mb.Mwigulu Nchemba,katikati ni Mbunge wa Jimbo la Manyovu Kigoma Obama na anaefuata ni Mb.Zitto Z.KabweImenisikitisha sana,Nimesikia taarifa za kuenguliwa uanachama kwa Mh.Zitto Kabwe ndani ya Chama alichoanzia siasa,alichokitumikia kwa Jasho na mali,alichowekeza muda na akili yake kwa zaidi ya miaka 19.Zitto amekuwa/anaendelea kuwachachu ya mabadiliko kwa Vitendo kwa Taifa letu.Uwezo wa kisiasa wa Kabwe adhabu yake sio kumfukuza,Demokrasia ni lazima itumike.
Nakusihi kijana...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Taasisi za dini kufutwa



 Ni zilizoshindwa kuwasilisha mapato na matumizi  Zingine zajiingiza kwenye siasa kinyume cha sheria 
NA MWANDISHI WETU 
TAASISI za dini ziko hatarini kufutwa katika orodha ya usajili kutokana na kuvunja sheria kwa kushindwa kutoa taarifa za mapato na matumizi ya hesabu za fedha kwa mwaka, imeelezwa.  
Kazi ya kuzifuta taasisi hizo,  inatarajia kufanyika Jumatatu ijayo, baada ya kukamilisha uchambuzi wa taasisi hizo na kwamba itaanzia jijini Dar es Salaam na baaadaye mikoani.
Waziri wa Mambo ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Taasisi za dini kufutwa

Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI imetishia kuzifutia usajili taasisi mbalimbali za kidini, endapo zitabainika kukiuka sheria ya vyama vya kijamii kwa kutoa matamko na kushawishi waumini wao kutekeleza matakwa ya kisiasa.
Kauli ya Serikali, imekuja siku chache baada ya viongozi wa Jukwa la Kikristo Tanzania (PCT) kutoa tamkoa la kuwataka waumini wao kuipigia kura ya hapana Katiba inayopendekezwa, wakisema imeandaliwa kwa njia ya ubabe.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam...

 

10 years ago

Mtanzania

CUF yakubali kufutwa

kambayaNA AGATHA CHARLES
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimekubaliana na uamuzi wa Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi wa kukifuta katika orodha ya vyama vya siasa kwa sababu hakiko tayari kuvunja vikundi vyake vya ulinzi vinavyojulikana kwa majina ya Blue Guard na White Guard.
Kimesema kwa sasa licha ya kuwepo zuio la kuvitumia vikundi hivyo kutoka kwa Jaji Mutungi na Mkuu wa Jeshi la wa Polisi (IGP), Ernest Mangu, kitaendelea kuvitumia vikundi hivyo katika ziara zake za kichama...

 

9 years ago

BBCSwahili

EU wajadili uanachama wa Uingereza

Viongozi wa muungano wa Ulaya wamesema wako tayari kufikia mapatano ya kuiwezesha Uingereza kusalia katika Muungano huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hifadhi zilizopoteza hadhi kufutwa

SERIKALI imesema inafanya utaratibu wa kuzifuta hifadhi zote za taifa ambazo zimepoteza hadhi ya kuwa hifadhi na kuyagawa maeneo hayo kwa wafugaji. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Zeidan akanusha kufutwa kazi

Aliyekuwa waziri mkuu wa Libya Ali Zeidan amepuuzilia mbali kura ya kutokuwa na imani naye

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani